Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Katika mazungumzo yetu leo kuhusu sakata la Vincent Nyerere na Mkapa daktari mmoja rafiki yangu wa Muhimbili amenidokeza kwamba ugonjwa wa ngozi alioupata Dr Harrison Mwakyembe unafanana sana na ule alioupata hayati Mwalimu Julius Nyerere ambao hatimaye ndiyo uliyomuuwa.
Nikaanza kutafakari, jee inawezekana chanzo cha huu ugonjwa wa Dr Mwakyembe ni kile kile cha ugonjwa wa Mwalimu Nyerere? Yaani aliyehusika kumpa Dr Mwakyembe ugonjwa huo ni yule yule aliyempa Mwalimu? Najaribu sana kuunganisha dots ………
Nikaanza kutafakari, jee inawezekana chanzo cha huu ugonjwa wa Dr Mwakyembe ni kile kile cha ugonjwa wa Mwalimu Nyerere? Yaani aliyehusika kumpa Dr Mwakyembe ugonjwa huo ni yule yule aliyempa Mwalimu? Najaribu sana kuunganisha dots ………