Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
We unataka ni-run mento!Dawa ya kusahau kuwa wewe ni M Tanzania jaribu kila siku unapo amka nenda baharini katizame maji ya bahari karibu saa nzima, na kila unapokwenda kuzika makaburini angalia majina ya marehemu kama 10 uwe unayasoma majina ya Marehemu Tarehe aliyozaliwa mwaka aliokufa fanya hivyo kila wakati kwa muda kama miezi 6 basi utasahau kuwa wewe ni MTanzania mpaka utamsahau Rais wako jaribu kisha unipe feedback. Usije tena ukasahau kutokunipa Feedback. mkuu GateCrasher
Makaburi?
Duh!