Ugonjwa wa Kusahau/Kupoteza Kumbukumbu: Dalili, Tiba na Ushauri wa Kukabiliana na Hali Hii

Kuna dawa inaitwa neurobian kama sijakosea jina nilipewaga miaka ya nyuma kwa tatizo la kupoteza kumbukumbu pia.
 
Memory Loss

Causes of Memory Loss


Here are some of the more common things that can cause memory loss:

Medications. A number of prescription and over-the-counter medications can interfere with or cause loss of memory. Possible culprits include: antidepressants, antihistamines, anti-anxiety medications, muscle relaxants, tranquilizers, sleeping pills, and pain medications given after surgery.

Alcohol, tobacco, or drug use. Excessive alcohol use has long been recognized as a cause of memory loss.

Smoking harms memory by reducing the amount of oxygen that gets to the brain. Studies have shown that people who smoke find it more difficult to put faces with names than do nonsmokers. Illicit drugs can change chemicals in the brain that can make it hard to recall memories.

Sleep deprivation. Both quantity and quality of sleep are important to memory. Getting too little sleep or waking frequently in the night can lead to fatigue, which interferes with the ability to consolidate and retrieve information.

Depression and stress. Being depressed can make it difficult to pay attention and focus, which can affect memory. Stress and anxiety can also get in the way of concentration. When you are tense and your mind is overstimulated or distracted, your ability to remember can suffer. Stress caused by an emotional trauma can also lead to memory loss.

Nutritional deficiency. Good nutrition -- including high-quality proteins and fats -- is important to proper brain function. Deficiencies in vitamin B1 and B12 specifically can affect memory.

Head injury. A severe hit to the head -- from a fall or automobile accident, for example -- can injure the brain and cause both short- and long-term memory loss. Memory may gradually improve over time.

Stroke. A stroke occurs when the blood supply to the brain is stopped due to the blockage of a blood vessel to the brain or leakage of a vessel into the brain. Strokes often cause short-term memory loss. A person who has had a stroke may have vivid memories of childhood events but be unable to recall what he or she had for lunch.

Dementia. Dementia is the name for progressive loss of memory and other aspects of thinking that are severe enough to interfere with the ability to function in daily activities. Although there are many causes of dementia -- including blood vessel disease, drug or alcohol abuse, or other causes of damage to the brain -- the most common and familiar is Alzheimer's disease. Alzheimer's disease is characterized by a progressive loss of brain cells and other irregularities of the brain.

Other causes. Other possible causes of memory loss include an underactive or overactive thyroid gland and infections such as HIV, tuberculosis, and syphilis that affect the brain.

Memory Loss Treatment

Treatment for memory loss depends on the cause. In many cases, it may be reversible with treatment. For example, memory loss from medications may resolve with a change in medication. Nutritional supplements can be useful against memory loss caused by a nutritional deficiency. And treating depression may be helpful for memory when depression is a factor. In some cases -- such as following a stroke -- therapy may help people remember how to do certain tasks such as walking or tying shoes. In others, memory may improve over time.

Treatments may also be specific to conditions related to memory loss. For example, drugs are available to treat memory problems related to Alzheimer's disease, and drugs to help lower blood pressure can help reduce risk of more brain damage from dementia related to high blood pressure.
 
Kukosa kumbukumbu siyo jambo geni kwa baadhi ya watu. Hali hii tuikuwa tukiichukula zaidi huwapata wazee lakini hapana hiyo hali hutokea mtu yeyote na ni kwa sababu ya kuwa na mawazo mengi wakti mwingine juu ya jambo fulani hadi linakuwa linasababisha athari katika ubongo ambapo athari mojawapo ni kupoteza kumbukumbu. Mfano wa baadhi ya watu wa namna hii ni baadhi ya watu wanaoishi kwa kutumia ARVs, wanaoishi wenyewe(wapweke). Watu wa namna hii hushauriwa mara nyingi kutotakiwa kuwa peke yao na wanatakiwa kujichanganya na watu ili wasiweze kuendelea kuwa katika hali yenye kuleta madhara zaidi. Pia zipo lishe maalumu kwa ajili ya kuondoa tatizo la kupoteza kumbukumbu. Lishe hiyo imeandaliwa kiasilia na imefanyiwa utafiti wa muda mrefu na kuonekana kutokuwa na madhara kiafya na imethibitishwa tayari kwa matumizi ya kiafya kote duniani. Kwa hapa Tanzania imepitishwa na TFDA kwa ajili ya matumizi pia ya Watanzania.

Fuatilia maelezo muhimu ya lishe kwa wale waliopoteza kumbukumbu. Hii ni lishe na inaweza kutumiwa na mtu yeyote kwa ajili ya kuimarisha afya na siyo lazima mtu awe amepata tatizo.

CORDY ROYAL JELLY

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps sinensis na Royal jelly.
Royal jelly – Inatokana na chakula maalum cha malkia wa nyuki.
FAIDA ZA CORDY ROYAL JELLY

  • Ina vitamin A,B,C,D,E na K ni chakula kilichokamilika.
  • Inaondoa cholesterol
  • Inaimarisha mfumo wa damu mwilini.
  • Ina faty Acid
  • Inaongeza nguvu na kutoa uchovu na kutoa sumu mwilini
  • Inakufanya usizeeke haraka(anti aging)
  • Kulainisha ngozi na kufanya ngozi kuwa nzuri
  • Inafanya damu kuwa nyepesi
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Kuweka kiwango cha mafuta na cholesterol sawa.
  • Mafuta yaliyoganda kuzunguka moyo na kwenye mishipa ya damu huyeyusha na kulainisha mishipa ya damu.

CORDY ACTIVE

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps, sinensis. Mmea huu unapatikana Asia Mashariki uko kwenye familia ya kutumia mizizi na uyoga. Kinatumika kiini chake kinachoitwa cordy cepine.

FAIDA ZA CORDY ACTIVE

  • Huimarisha kinga ya mwili. Uchunguzi unaonyesha kuwa bidhaa hii ina kila kitu tunachohitaji mwilini(vitamin,wanga,protini,madini nk)
  • Huondoa matatizo yote kwenye mfumo wa hewa(upumuaji).
  • Huponya pumu, dyspnea, allergy, homa ya mafua
  • Kuondoa msongo wa mawazo na uchovu mwilini.
  • Kuondoa matatizo ya figo, moyo kutanuka.
  • Matatizo ya uvimbe, kuzuia kansa kuenea mwilini

CA + FE + ZI PLUS

  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA

  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA

  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI

  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.

Kwa yeyote anayehitaji kuuliza swali au kutaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia email ishealthy@hotmail.com

Gharama za CORDY ROYAL JELLY ni Tsh 68000/-, CORDY ACTIVE ni 66500/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-
 

Attachments

  • CORDY ROYAL JELLY.jpg
    CORDY ROYAL JELLY.jpg
    15.7 KB · Views: 177
I recommend you find ginko plus, a suppliment from ginko biloba, it function very well in people with memory problems and extreme tirednes.
 
aisee i' 24yrs old!,sio mlevi wala wakutumia madawa ya kulevya,sijaathirika na madawa mengine,!

Nakubaliana Na Rex hapo juu! Tafuta vidonge vya Gingo Biloba (herbal remedy), vinaweza kusaidi, lakini itabidi utumia angalau kwa miezi mitatu ndo uone Kama kuna tofauti au la! Otherwise itabidi uende hospitalini kwa uchunguzi zaidi ( hospitali kubwa/ pengine Aga Khan)
 
Kukosa kumbukumbu siyo jambo geni kwa baadhi ya watu. Hali hii tuikuwa tukiichukula zaidi huwapata wazee lakini hapana hiyo hali hutokea mtu yeyote na ni kwa sababu ya kuwa na mawazo mengi wakti mwingine juu ya jambo fulani hadi linakuwa linasababisha athari katika ubongo ambapo athari mojawapo ni kupoteza kumbukumbu. Mfano wa baadhi ya watu wa namna hii ni baadhi ya watu wanaoishi kwa kutumia ARVs, wanaoishi wenyewe(wapweke). Watu wa namna hii hushauriwa mara nyingi kutotakiwa kuwa peke yao na wanatakiwa kujichanganya na watu ili wasiweze kuendelea kuwa katika hali yenye kuleta madhara zaidi. Pia zipo lishe maalumu kwa ajili ya kuondoa tatizo la kupoteza kumbukumbu. Lishe hiyo imeandaliwa kiasilia na imefanyiwa utafiti wa muda mrefu na kuonekana kutokuwa na madhara kiafya na imethibitishwa tayari kwa matumizi ya kiafya kote duniani. Kwa hapa Tanzania imepitishwa na TFDA kwa ajili ya matumizi pia ya Watanzania.

Fuatilia maelezo muhimu ya lishe kwa wale waliopoteza kumbukumbu. Hii ni lishe na inaweza kutumiwa na mtu yeyote kwa ajili ya kuimarisha afya na siyo lazima mtu awe amepata tatizo.

CORDY ROYAL JELLY

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps sinensis na Royal jelly.
Royal jelly – Inatokana na chakula maalum cha malkia wa nyuki.
FAIDA ZA CORDY ROYAL JELLY

  • Ina vitamin A,B,C,D,E na K ni chakula kilichokamilika.
  • Inaondoa cholesterol
  • Inaimarisha mfumo wa damu mwilini.
  • Ina faty Acid
  • Inaongeza nguvu na kutoa uchovu na kutoa sumu mwilini
  • Inakufanya usizeeke haraka(anti aging)
  • Kulainisha ngozi na kufanya ngozi kuwa nzuri
  • Inafanya damu kuwa nyepesi
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Kuweka kiwango cha mafuta na cholesterol sawa.
  • Mafuta yaliyoganda kuzunguka moyo na kwenye mishipa ya damu huyeyusha na kulainisha mishipa ya damu.

CORDY ACTIVE

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps, sinensis. Mmea huu unapatikana Asia Mashariki uko kwenye familia ya kutumia mizizi na uyoga. Kinatumika kiini chake kinachoitwa cordy cepine.

FAIDA ZA CORDY ACTIVE

  • Huimarisha kinga ya mwili. Uchunguzi unaonyesha kuwa bidhaa hii ina kila kitu tunachohitaji mwilini(vitamin,wanga,protini,madini nk)
  • Huondoa matatizo yote kwenye mfumo wa hewa(upumuaji).
  • Huponya pumu, dyspnea, allergy, homa ya mafua
  • Kuondoa msongo wa mawazo na uchovu mwilini.
  • Kuondoa matatizo ya figo, moyo kutanuka.
  • Matatizo ya uvimbe, kuzuia kansa kuenea mwilini

CA + FE + ZI PLUS

  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA

  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA

  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI

  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.

Kwa yeyote anayehitaji kuuliza swali au kutaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia email ishealthy@hotmail.com

Gharama za CORDY ROYAL JELLY ni Tsh 68000/-, CORDY ACTIVE ni 66500/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-

thank you mkuu,
 
Nakubaliana Na Rex hapo juu! Tafuta vidonge vya Gingo Biloba (herbal remedy), vinaweza kusaidi, lakini itabidi utumia angalau kwa miezi mitatu ndo uone Kama kuna tofauti au la! Otherwise itabidi uende hospitalini kwa uchunguzi zaidi ( hospitali kubwa/ pengine Aga Khan)

thank you kwa ushauri mkuu
 
Habar wakuu jf,
kila kukicha naona kama kumbukumbu zangu zinapotea,na nakosa umakini na nnachokifanya! Yaan inabidi niwe makini sana ndo nikumbuke nilichofanya,
naomba mwenye dawa,au mlo wa kuzingatia amwage hapa,
mimi si daktari lakini ni mfuatiliaji wa natural remedies. nenda pale Mliman City utafute kitabu kilichoandikwa Natural Remdies for Health and Well Being na Enrique Garza.humo kuna maelezo ya dawa moja inaitwa Ginkgo Biloba uwasiliane na watu wanaotembeza madawa yaasili kama forever, GNLD n.k utapatiwa maelezo namnaya kuipata tumia kwa muda mrefu utaona mabadiliko. pili tumia asali mara kwa mara na mazao yanayotokana na asali. kula matunda ya aina mbalimbali na mboga aina tofauti ni lazima utaona mabadiliko.
 
naomba msaada wenu ni jinsi gani mtu anaweza kuweka kumbukumbu ya kichwa chake vizuri naona na matatizo ya kusahau sana na umri wangu bado mdogo sana

kwa kusoma machapisho yako humu, umri wako hauwezi kuwa mdogo asilani

pia angalia vitu kama pombe, nidhamu ya kujali watu na matukio na pia kupunguza uvivu
 
KUPOTEZA KUMBUKUMBU

Kupoteza kumbukumbu limekuwa ni jambo la kawaida sana kusikia kwa watu wenye umri mkubwa. Mtu anaweza kuanza kuzungumzia tamthilia ambayo amesahau inaitwaje kwa jina, mtu anaweza akaingia jikoni lakini akawa anajiuliza ni kitu gain kimempeleka jikoni akawa ameshasahau. Lakini yote katika kusahau siyo kila moja husababishwa na uzee kwa sababu ubongo unatakiwa uwe unazalisha seli mpya kila wakati. Yapo ambayo husababishwa na uzee kutokana na protini na homoni zinazohusika na kukua kwa seli kupungua, ile kasi ya damu kutembea kwenda kwenye ubongo hupumgua na pia ule uwezo wa ubongo kunyonya virutubisho hupungua. Mambo yanayosababisha kukosa kumbukumbu nzuri hata ikiwa siyo kuwa na umri mkubwa(uzee) huchangiwa na haya yafuatayo:

  • Madhara yatokanayo na madawa hasa mchanganyiko wa aina nyingi na hii hutokea zaidi kwa wenye umri mkubwa kwa sababu ya uwezo wa kuyeyusha na kunyonya dawa ni wa taratibu.
  • Kuvunjika moyo. Hii huchangia kupunguza kumbukumbu sababu huwa ni kazi kubwa kwa ubongo kutulia, kupangilia mambo na kuyatekeleza.
  • Kutokuwa na vitamin B12 ya kutosha. Ukosefu wa vitamin B12 huaribu kabisa ubongo na kwa wazee unyonyaji wa virutubisho mwilini ni kwa polepole na hivyo husababisha kutopata vizuri vitamini B12. Kama tatizo hili likigundulika mapema linaweza kutatuliwa ambapo huwa matibabu hufanyika kwa sindano za kila mwezi.
  • Matatizo katika tezi zijulikanazo kwa kiingereza kama (thyroid glands) ambapo husababisha matatizo katika kumbukumbu na hutakiwa kuwahi hospitalini tatizo kama hili likitokea.
  • Matumizi makubwa ya pombe pia ni sumu katika seli za ubongo na hupunguza uwezo wa kukumbuka.
  • Ukosefu wa maji ya kutosha mwilini husababisha pia tatizo la kukosa kumbukumbu nzuri na inashauriwa mwili kuwa na maji ya kutosha muda wote.
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo husababisha kupoteza kumbukumbu na inatakiwa kuzingatia yafuatayo ili kuwa na afya njema na kumbukumbu nzuri.
-Ufanyaji wa mazoezi. Ufanyaji wa mazoezi huimarisha afya na husisimua uzalishaji wa seli mpya za ubongo pia hupunguza matatizo yanayosabisha upungufu wa kumbukumbu kama matatizo ya moyo, kisukari.
- Kujihusisha vizuri na watu. Watu ambao huwa hawana mahusiano ya karibu na jamii mfano familia na marafiki huwa katika riski ya kupata matatizo ya kupoteza kumbukumbu kuliko wale ambao wapo karibu na jamii.
-Uangalizi wa lishe. Ulaji wa matunda na mboga za majani ni mzuri sana kwani hutunza seli za ubongo katika hali nzuri ya kutochoka. Pia inatakiwa kula vyakula visivyo na mafuta mengi na nguvu nyingi sababu husababisha matatizo katika mfumo wa damu.
-Kutunza afya katika mazingira ya kuepukana na matatizo ya presha kwa sababu husababisha kuwa na wakati mgumu kufikiria jambo fulani
-Kupata usingizi wa kutosha. Usingizi ni muhimu sana katika ukuaji wa afya na upangiliaji mzuri wa kumbukumbu. Mtu anayekosa usingizi wa kutosha husababisha ubongo kutotunza kumbukumbu, kutokuwa makini, kutokuwa na maamuzi mazuri katika kile anachokifanya ambapo baadaye husababisha uvunjikaji wa moyo.
-Uvutaji ni muhimu kuepuka sababu husababisha matatizo ya moyo kutofanya kazi vizuri na damu kutoweza kusafirisha vema damu kwenda katika ubongo ili kuweza kulisha hewa safi na virutubisho vinavyohitajika.

Pia kutokana na mazingira mengine yanayofanya lishe husika kutopatikana kirahisi au kupatikana lakini ikiwa virutubisho husika havipo, pia kuimarisha afya ili kuweza kuwa na kumbukumbu nzuri imeandaliwa lishe kiasilia isiyokuwa na madhara kiafya na iliyothibitishwa kutumika duniani kote. Hapa Tanzania pia lishe hii imethibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa(TFDA). Fuatilia lishe katika maelezo hapo chini kwa ajili ya afya na kuimarisha kumbukumbu nzuri.

CORDY ROYAL JELLY

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps sinensis na Royal jelly.
Royal jelly – Inatokana na chakula maalum cha malkia wa nyuki.

FAIDA ZA CORDY ROYAL JELLY

  • Ina vitamin A,B,C,D,E na K ni chakula kilichokamilika.
  • Inaondoa cholesterol
  • Inaimarisha mfumo wa damu mwilini.
  • Ina faty Acid
  • Inaongeza nguvu na kutoa uchovu na kutoa sumu mwilini
  • Inakufanya usizeeke haraka(anti aging)
  • Kulainisha ngozi na kufanya ngozi kuwa nzuri
  • Inafanya damu kuwa nyepesi
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Kuweka kiwango cha mafuta na cholesterol sawa.
  • Mafuta yaliyoganda kuzunguka moyo na kwenye mishipa ya damu huyeyusha na kulainisha mishipa ya damu.

CORDY ACTIVE


Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps, sinensis. Mmea huu unapatikana Asia Mashariki uko kwenye familia ya kutumia mizizi na uyoga. Kinatumika kiini chake kinachoitwa cordy cepine.

FAIDA ZA CORDY ACTIVE

  • Huimarisha kinga ya mwili. Uchunguzi unaonyesha kuwa bidhaa hii ina kila kitu tunachohitaji mwilini(vitamin,wanga,protini,madini nk)
  • Huondoa matatizo yote kwenye mfumo wa hewa(upumuaji).
  • Huponya pumu, dyspnea, allergy, homa ya mafua
  • Kuondoa msongo wa mawazo na uchovu mwilini.
  • Kuondoa matatizo ya figo, moyo kutanuka.
  • Matatizo ya uvimbe, kuzuia kansa kuenea mwilini

CA + FE + ZI PLUS



  • CA – Madini ya Chokaa
  • FE – Madini ya Chuma
  • ZI – Madini ya Zinki

FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA

  • 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
  • Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
  • Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
  • Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha

FAIDA ZA MADINI CHUMA

  • Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
  • Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
  • Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
  • Huongeza nguvu mwilini

FAIDA ZA MADINI YA ZINKI

  • Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
  • Inaimarisha milango ya fahamu
  • Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
  • Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
  • Inaondoa matatizo ya macho.

Kutokana na mtu kuwa anahitaji kuuliza au kutaka ushauri zaidi napatikana kwa namba 0776491294 pia email address ishealthy@hotmail.com

Gharama za Cordy Royal Jelly ni Tsh. 68000/-, Cordy Active ni 66000/- na CA+FE+ZI Plus ni 51000/-
 

Attachments

  • CORDY ROYAL JELLY.jpg
    CORDY ROYAL JELLY.jpg
    15.7 KB · Views: 89
  • CORDY ACTIVE.jpg
    CORDY ACTIVE.jpg
    16 KB · Views: 80
  • CA+FE+ZI Plus.jpg
    CA+FE+ZI Plus.jpg
    16.2 KB · Views: 73
hodi wana JF.habari zenu wooote.
mimi nina tatizo la kusahau sahau mambo au vitu.je huu ni ugonjwa?unasababishwa na nini na tiba yake ni ipi?
 
Una sababishwa na matumizi ya simu hasa zile za mchina zenye mionzi iliyopitiliza.Wasiliana na wataalamu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom