ndo mana waswahili wanasema ku ishi na mwanamke yatakiwa akili zaidi unayotumia darasani owise utafeli bosskwa kuwa wao ni watu wa makusudi
hufikiri na wanaume wapo hivyo...
kumbe mtu huna 'idea' mnuno unatokana na nini.........
Kama nilivyosema Boss, kuna watu wasiojua namna ya kuwaingia wenzi wao na kutafuta chimbuko la tatizo, na kuna wagumu ambao inabidi utafute mbinu ya kuwaingia. Na hili sio kwa wanawake pekee ila hata kwa wanaume.
Ukimsoma mtu wako vizuri na ukatafuta mbinu ya kudeal nae kwenye haya mambo minuno itakua haipitilizi masaa 24, na ikizidi sana masaa 48.
s
asa atakuomba vipi msamaha na wewe umenuna na hutaki kusema
tatizo ni nini?
Tatizo ni kwamba watu wengine hua hampendi nyie ndio mbadilike ama kubadilisha approach zenu, mnataka mwenzi ndie abadilike. Kama mwenzako anakua mgumu tafuta namna ya kumlainisha. Ukiwa kwenye mahusiano wakati mwingine inabidi umtreat mwenzi wako kama mtoto, umedekeze, umbembeleze afunguke. Sio unaagiza agiza kama askari. Na kitu muhimu kuliko vyote ni TIMING. . . ukikurupuka tegemea kununiwa every other day.
mmmmmmhhh atakayekuoa analo aisee!
utofauti wetu ni kwenye kung'amua mapema kama umenuniwa au lahkwenye hili la kununa hakuna mwanaume aliefaulu
wote tunakumbana nalo hili.......
yote uliyoyaongea yana maana kama tu
mwanaume anajua chanzo cha 'mnuno'
lakini kama huna hata idea kuna nini....inakuwa ngumu..
kuna watu unawauliza unaumwa?anaitikia eeh kichwa kinaniuma
kumbe 'mnuno' tu...hamna kichwa wala pua....
Boss narudia tena, badilika wewe.
Nnachoongelea mimi ni namna ya kugundua chanzo cha mnuno. Kama approach unayotumia ama timing sio nzuri lazima upewe majibu yanayokutaka "uache kumsumbua" kwasababu huonekani kama unataka kujua kweli kinachomsumbua. Yani huonyeshi nia.
unajuaje siko hivyo? lol
anyway mi nafikiri kuna umri mtu hatakiwi kununa tu mradi kanuna
why not kusema kilichokuudhi?
Kwasababu mimi ni mtaalam, hoja zako zinaonyesha hutaki kujishughulisha.
Alafu kwenye mapenzi hamna kukua wala kuzeeka. Mimi mtu hata akifikisha miaka arubaini bado ntamruhusu awe anadeka deka kwangu na mimi ntadeka vile vile. Nisipomnunia kidogo anibembeleze au nispomdekea yeye ntamdekea/dekezwa na nani? Bila kudeka na kubembelezana utamu wa mahisiano nao unapungua.
Hiki kiti kinaniudhi na bahati mbaya zaidi naamini kila mwanamke anacho.....
ni huu ugonjwa wa kununa na kususa kwa jambo doogo.....
mtu unaweza kununiwa hata mwezi mzima,mpaka ukahisi
labda love ishakufa na sasa ufanye 'maamuzi' mengine.....kumbe makusudi tu
unakuja kumuuliza utasikia 'ahhh unajua siku ile iuliniita mjinga uliniuudhi sana'...
na hapo anaezungumza hivyo sio mtoto mdogo ni mama wa watoto na wajukuu...
swali ninaouliza hapa hivi kuna wanawake ambao hawanuni wala kususa?
na why mwanamke hata awe above 50 na wajukuu na phd juu
bado still huu ugonjwa wa kununa nuna na kususa hawaauachi????
tena mara nyingi mwanaume unakuwa hujui haswaa umenuniwa kwa sababu gani...
si ajabu ukiuuliza unaambiwa 'aah hamna kitu',while mtu hayuko sawa...
kwa nini wanawake wako hivi????
basi kazi tunayo sisi tuliozeeka lol
Hongera kwa kuwa karibu na kujua kuwa wanawake wana ugonjwa wa kununa na kususa.
Hakuna mwanaume anaenuna wala kususa na gubu juu.
... Hata wale wanaowanyanyasa wenzi wao hua wanaona makosa kwa wenzi wao tu na sio kwao wenyewe.
mhhhh na wewe bana....jukumu tena?