Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,386
- 5,001
Wadau wenzangu wa JF & Watanzania wote
Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu
Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k
Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali
Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;
Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!
Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni
Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali
Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini
Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia
Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k
Naomba kuwasilisha
Karibuni kwa mjadala
Aksanteni
Nakala: Paschal Mayala
Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu
Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k
Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali
Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;
Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!
Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni
Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali
Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini
Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia
Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k
Naomba kuwasilisha
Karibuni kwa mjadala
Aksanteni
Nakala: Paschal Mayala