CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
Kuku 100 wanahitaji chumba kimoja tu chenye ukubwa wa mita 6 kwa mita 3.
Siwezi kukupa gharama halisi ya ujenzi wa mabanda kwani gharama inatofautiana kati ya mahali na mahali.Nitakachofanya ni kukupa mahitaji ya ujenzi wa banda la kuku lenye vyumba 2 na stoo 1 kwa ajili ya kuhifadhia dawa,chakula na mayai, kila chumba kikiwa na uweza wa kubebe kuku 100.
MAHITAJI KWA UJENZI WA NYUMBA YA KUKU
Kwa kutumia data hizi mfugaji ana weza akajua gharama za ujenzi wa nyumba ya kuku.
- Tofali za block 5000 au tofali ndogo za kawaida zilizochomwa 12000
- Bati 68x2mita.
- Kenchi 24x2"x3"x12"
- Boriti kwa milango na madirisha 12x12"x1"x12'
- Lati 12x25"
- Vipande vya lati kwa kuwekea makasha ya kuku 8x12'
- Futi 100 za waya kwa kugawa vyumba na kunga madirisha.
- Mifuko20 ya saruji.
- Kilo 5 za misumari ya bati na kilo 7 ya Misumari ya waida
- Mchanga Lory 2
- Dazan1 ya bawaba
- Komeo 3 na kufuli moja.
Mkuu Kichwa hivi ulivyo Orozesha hapa ni vya Kujenga Nyumba kabisa ya Kuishi, Kwa Banda la Kuku 100 hayo makadirio yako juu mno