daah! Kwa kweli sasa nimeipenda JF. Hii thread nimelazimika kuibookmark kwan nimeipenda zaidi. Nina mpango huu natafuta elimu ya kutosha na nafikiria kufungua kampuni thats Limited, nafikiri ndoto zangu sasa zinafunguka. Agriculture ya hv ni nzuri kuliko kilimo hasa kwa hapa Tz.
Asanten nyote!
 
mkuu kama upo dar nenda pale Scope maeneo ya maroco yanapopaki magari ya mchanga.Utapata kwa uhakika huduma unayoihitaji..
 
Wadau natafuta vifaranga/kuku wa kienyeji ambao ni bora kwa ajili ya kufuga. Kwa aliye nao/mwenye kujua wanapatikana wapi naomba anipatie contact wapi wanapatikana kwa maeneo ya Dar au mikoa ya jirani na Dar.
Mimi pia ninao ninauza lete contact
 
Kuna ndugu yangu ni mnunuzi wa jumla; Ikiwa upo Dar; nenda pale Soko la Sinza omba kuonana na mwenyekiti wa Soko anafahamika sana kwa jina la Kipara. Ongea naye.

Nashukuru kwa kutupa contact lakini baadhi ya jamaa hawa huwa wanalalia sana kuku anauza 15,000/= yeye atakwambia Tshs 5,000/=. Je jamaa yako yupo hivi pia
 
Michango mizuri, hata nami ningependa kufuga ila huku Kigoma hawauzi chakula cha kuku kilichoandaliwa kama Dar!
Vipi, biashara ya kuandaa chakula cha kuku inalipa? Kwa wale waishio Dar je kilo moja ya chakula ni sh ngapi?
 
Hivi wakuu tusaidiane zaidi kwa Songea na Dar wapi sehemu nzuri kwa hii shughuli??
 
Ushauri mzuri kwenye soko jaribu kuanza kwa kupeleka kidogo kidogo masoko tofauti.kwa njia hii utawazoe waununuzi wa jumala na kujifunza mabadiliko ya bbei na hata waweza kjijengea link na kumpata mtu wakuuza kuku wako kwa commision
 
kwa wawle wafugaji mlioendelea kuna incubator zinauzwa mpaka hapa ni shs 2m na ina uwezo wa kuangua vifaranga 3000
 
Layers Tani Moja (kuku wa mayai)

Mahindi 500
Mshudu ya Alzeti 160
Dagaa 120
Pumba za mahindi 99
Mifupa 30
Chokaa 80
DCP 4
Layers Primix 4
Chumvi - 2
Methanone - 0.5kgs
Lysin - 0.5kgs

TOTAL 1000kgs.

Nawatakia mafanikio mema.


ahsante kwa mchanguo Elnino!! siku hizi umejikita katika ufugaji wa mayai? je kilimo cha mahindi?
 
ahsante kwa mchanguo Elnino!! siku hizi umejikita katika ufugaji wa mayai? je kilimo cha mahindi?

Mkuu Kanyagio, umenivunja mbavu jioni ya leo, Elnino amejikita ktk ufugaji wa Mayai. na kilimo cha mahindi alipoanza kilinitia moyo nami nikaanza kuota ndoto za kulima mahindi,nadhani sasa atakuwa akivuna na kutengeneza chakula cha kuku wa mayai
 
Layers Tani Moja (kuku wa mayai)

Mahindi 500
Mshudu ya Alzeti 160
Dagaa 120
Pumba za mahindi 99
Mifupa 30
Chokaa 80
DCP 4
Layers Primix 4
Chumvi - 2
Methanone - 0.5kgs
Lysin - 0.5kgs

TOTAL 1000kgs.

Nawatakia mafanikio mema.

nimekupenda kwa hili asante sana nafikiria kuaza tena wa mayai
(nilifuga kuku wa mayai uko nyuma ila nikaacha,now nina wa nyama)
 
Mkuu Kanyagio, umenivunja mbavu jioni ya leo, Elnino amejikita ktk ufugaji wa Mayai. na kilimo cha mahindi alipoanza kilinitia moyo nami nikaanza kuota ndoto za kulima mahindi,nadhani sasa atakuwa akivuna na kutengeneza chakula cha kuku wa mayai

ha ha haaaaaaaa

mkuu NM .... hata mimi hapa nilipo sina mbavu

nadhani neno kuku wa lina miss pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom