Naomba ushauri kuku wangu wanalalia zaidi ya watatu kweny kiota kimoja.

Haaaaa haaaaaa ka mie wana tabia hiyo hiyo ...embu nionyeshe viota vyako

chukua matofali nane za block,ziegamizie ukutani zipange chini4 na juu4,
kisha zile za juu zifunike na kipande cha ubao
utaona umepata vyiota vitatu,ndani ya hivyo viota weka mchanga kidogo na nyasi iwe mfano wa chungu,
gawa mayai yako kwa idadi sawa, mfano. kama yapo30 kila kuku atapata10, kisha tafuta kipande cha ubao kwa
ajili ya kuzuia kinakuwa kama mlango ktk kila kiota, kisha waweke kuku ktk hivyo vyumba, ukifika muda wa kula unawafungulia wanapata chakula kisha unawakamata na kuwaweka tena, fanya hivyo kwa siku saba tu, kisha kale kamlango huna tena haja ya kukaweka, kwa maana watakuwa umeshawacondition ktk viota vyao.

Kuondokana kabisa na tatizo hilo ni vizuri kuwa na incubator kwa ajili ya kutotolesha mayai.
 
me natarajia kuanza kufuga kuku kuanzia mwez unaofuata-mfuga kuku naomba unisaidie njia bora ya kufuga kuku wa kienyeji namba yangu ni 0758216400,oleoju@gmail.com nahitaji msaada wenu nimechoshwa na umasikin niliokuwa nao
 
Hivi kwa mkoa wa Manyara kuna watu wana maduka ya ku SUPPLY vyakula vya kuku kama ilivyo Dar? naomben kujuzwa jamani no.0713392879
 
Nakushauri ufuge wa kisasa - Layers. wa kienyeji it takes time na faida si kubwa vile unavyodhani - nitafute nikupe ushauri wa bure - meanwhile angalia kazi hii hapa

attachment.php


Hawa wako 900, wanatoa Tray 24 kila siku kila Tray 5000- Chakula chao ni kilo 125 approx Tshs 55,000/-

Mtaji wa kuanzia unahitaji kuwa na not less than 6m before you start production. Kama unataka mchakato mzima sema nitakutumia database yangu.

Nitumie data base basi kwa edwinegodwine88@gmail.com
 
Kubota pitia mala kwa mala hapa kijiweni,nina imani mpaka sasa ulisha boresha mradi wako wa mkaa, siku hizi unatengeza mkaa wa kisasa sio ule wa kuharibu mazingira
 
Habari yenu jf nimekuwa nikifuatilia tangu mwanzo na nimefurahishwa sana na kazi nzuri za Kubota na member wengine kwenye hii thread ila sasa nimeona nijitambulishe kwenu kama mtaalamu wa maswala ya mifugo hasa ufugaji wa ndege wafugwa na kuku.
lengo langu sio kukusanya mapato kwasasa ila kujaibu kuinua Tanzania yangu kwa uwezo wangu mdogo nilionao..nimeshangazwa sana na tarehe ya mwisho ya post hii ilikuwa 2013 ila natumai bado mtakuwepo.
tuendelee kuwasiliana.
 
Habari yenu jf nimekuwa nikifuatilia tangu mwanzo na nimefurahishwa sana na kazi nzuri za Kubota na member wengine kwenye hii thread ila sasa nimeona nijitambulishe kwenu kama mtaalamu wa maswala ya mifugo hasa ufugaji wa ndege wafugwa na kuku.
lengo langu sio kukusanya mapato kwasasa ila kujaibu kuinua Tanzania yangu kwa uwezo wangu mdogo nilionao..nimeshangazwa sana na tarehe ya mwisho ya post hii ilikuwa 2013 ila natumai bado mtakuwepo.
tuendelee kuwasiliana.

kama mtaalam wa ndege wafugwao 2pia maujanja
 
Mkuu Kubota, nimefuatilia hii thread hakika kuna kitu muhimu sana ambacho nldhani naweza kumbe nilikuwa siwezi, hii ni kutokana na mtaalam mmoja wa mifugo kunipa elimu ambayo haikuzaa matunda mujarabu, but throughout hapa naona vitu tofauti na ambavo itapendeza kila unapo_post hii kitu hapa ukitupia kwenye hii email todayspro@gmail.com.


BARIKIWA.
 
Sasa ndugu hiki kinyesi cha tumboni si inabidi ukae karibu na machinjio ya ngombe ili ukipate?
Vingnevo kwa siye wa mjini imekula kwetu !.

mama timmy mimi si mgeni sana hapa jf.Huwa si comment chochote nachukuwa tu maujuzi.Ila nimeona nitoe mchango wangu kwa hili.Tafuta kinyesi cha ng'ombe cha tumboni (inabidi upate aliyechinjwa) jaza kinyesi kwenye mfuko wa rambo,funga mfuko vizuri,chimba shimo,fukia na uache kwa muda wa week 1 then fukua utakuta funza wakubwa sana. n.b. Nimeelekezwa sijajaribu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom