FM.... Well put Sir!!! Nimekuwa nikifuatilia sana hii issue ya nyumba with interest kwa vile nami nilikuwa kati ya wale wachache ambao tungependa kudaka walau kamoja especially zile za kule Chang'ombe lakini bahati mbaya sikuwa mfanyakazi serikalini na wala sikuwa naishi katika nyumba hizo so sikuwa na langu....
Bahati mbaya ni kwamba wakati nilikuwa najipitisha pale Ujenzi kama ninaweza sikia ka"dili" hakuna aliyewahi kuiweka dhana hii as open and clear as you have in your many and other contributors (Viva JF) na sasa nimeelewa considering the fact kwamba:
"Wengi walionunua nyumba hizo ni wafanyakazi wa serikali ambao walikuwa wanaishi ndani"
Lakini pamoja na kukubali kwamba it was a well made and justifiable decission at the time (which I support fully na sasa nina Peace of mind... for NOW) still kuna mambo ambayo kwa kweli nadhani kulikuwa na utata katika zoezi hili ambapo wengi wameliweka wazi katika thread hii ukiwemo:
1. Kuna nyumba ambazo kimantiki hazikutakiwa kuuzwa kutokana na location yake - nyumba za wakuu wa vituo vya Polisi na nyingine zilizo katika maeneo nyeti
2. Uamuzi wa Serikali kuuza nyumba zile na kisha kujenga nyumba (maghorofa) maeneo ya Masaki na Victoria kwa ajili ya Mawaziri na Manaibu Waziri - hili kidogo nalilinganisha na uamuzi wa kuuza nyumba na kupanga GESTI..... Look at it katika mtizamo wa "Rehabilitate for the Ministers and D.Ministers vs Acquiring plots na kujenga nyumba mpya"
3. Kuhusu uuzwaji wa nyumba za Makatibu Wakuu.... Hili ni gumu sababu PS ni mtu ambaye ni Civil Servant na sasa kama hawa wa sasa tunawajali (wengi wao wapo kwenye their ripe years ......more than 55yrs) sasa hawa wakienda manake itabidi tena tujenge kijiji chao sijui Mbezi kama mawaziri na deputies au tutaamua kuwaacha wakae kule vikindu wanapoishi sasa!!
Wakuu, hizi ni my "Two Cents" on the matter and narudia kusema kwamba sasa nimepata kwamwanga kwenye sakata zima la hizi nyumba!!!
Naomba kuwakilisha................
Bahati mbaya ni kwamba wakati nilikuwa najipitisha pale Ujenzi kama ninaweza sikia ka"dili" hakuna aliyewahi kuiweka dhana hii as open and clear as you have in your many and other contributors (Viva JF) na sasa nimeelewa considering the fact kwamba:
"Wengi walionunua nyumba hizo ni wafanyakazi wa serikali ambao walikuwa wanaishi ndani"
Lakini pamoja na kukubali kwamba it was a well made and justifiable decission at the time (which I support fully na sasa nina Peace of mind... for NOW) still kuna mambo ambayo kwa kweli nadhani kulikuwa na utata katika zoezi hili ambapo wengi wameliweka wazi katika thread hii ukiwemo:
1. Kuna nyumba ambazo kimantiki hazikutakiwa kuuzwa kutokana na location yake - nyumba za wakuu wa vituo vya Polisi na nyingine zilizo katika maeneo nyeti
2. Uamuzi wa Serikali kuuza nyumba zile na kisha kujenga nyumba (maghorofa) maeneo ya Masaki na Victoria kwa ajili ya Mawaziri na Manaibu Waziri - hili kidogo nalilinganisha na uamuzi wa kuuza nyumba na kupanga GESTI..... Look at it katika mtizamo wa "Rehabilitate for the Ministers and D.Ministers vs Acquiring plots na kujenga nyumba mpya"
3. Kuhusu uuzwaji wa nyumba za Makatibu Wakuu.... Hili ni gumu sababu PS ni mtu ambaye ni Civil Servant na sasa kama hawa wa sasa tunawajali (wengi wao wapo kwenye their ripe years ......more than 55yrs) sasa hawa wakienda manake itabidi tena tujenge kijiji chao sijui Mbezi kama mawaziri na deputies au tutaamua kuwaacha wakae kule vikindu wanapoishi sasa!!
Wakuu, hizi ni my "Two Cents" on the matter and narudia kusema kwamba sasa nimepata kwamwanga kwenye sakata zima la hizi nyumba!!!
Naomba kuwakilisha................