Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,935
- 6,844
Mkuu Fundi Mchindo,
Naomba uniwie radhi mkuu kama nimekukwaza, hoja zako hapa ni muhimu sana mkuu, na ndio kwanza tulikuwa tumeanza kuchota elimu yako nzito, mkuu niko chini ya miguu yako usitumie hasira mkuu, tena, ninakuahidi mbele ya mashahidi wote hapa Jambo Forums kuwa sitarudia kukuingilia hoja zako mkuu. Usikwazike na mawazo finyu kama yangu mkuu, I know na nimekusikia mkuu nitajitahidi sana kujirekebisha mkuu, lakini please baki mkuu tusingependa Jambo Forums ife mkuu, unajua tena wewe ukitoka mkuu kwa hiyo please usikasirike mkuu, tumia busara!
Ahsante Mkuu.
Wako Mzee Wa Kumkoma Nyani: Super Emergency System, Haki ya mungu I love JF!
Si wewe uliyenifanya niamue hivi. I have just been spending too much time in here. I need a break. I average over 6 posts a day which borders on insanity. Hakuna mwenye mawazo finyu humu ndani. Nitaendelea kusoma mpaka hapo nitakapojihakikishia mwenyewe kuwa ninaweza ku-moderate hii addiction. Kwa sasa hivi nimeamua kwenda cold turkey. Si unaona nimekujibu ingawa nilishaaga! Woe be me!!!