Ufisadi wa Nyumba za Serikali

Ngurdoto ,

Sijui unaongea kitu gani, Kama kweli JK na EL they don't have anything they share in common, why did he (JK) selected him to be the prime minister? That is the profound question you were supposed to ask yourself before instigating those childish tantrum. Your story does not pass the litmus test to make a long story short what you have proposed is absolutely absurd. Please if you don't have anything to contribute in this platform just keep quite instead of exposing your biasness. EL has nothing to do with this issue " Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni".

Rufiji, let me school you, son.... I got the Litimus test..Campaign involves alot more than Friendship..JK & EL are friends on the virtue of Strategy for Power..They could of easily lots the 2005 election..Two camps Mitandao camps were in place in 1995...Nyerere distroyed Lowassa chance ndio akaunganisha mitandao with the assumption that once JKis done, he can emerged...sasa the guy thought kugombana na Subordinates ndio kuwa maarufu & he has always made decisions against JK will..

Friendship...he had to go...Yeye aliacha position ya PM for him & his boy Sam 6 to decide...Influence ya Rostam went for EL...sasa hapo ilikuwa ni kitu kimoja...1 year later, ilibidi achukue hatamu na thats when 10 Lowassa calls to JK , only 1 reply...Nilikuwa Dodoma ambavyo JK snub Lowassa akaenda chooni uwanja wa Ndege...and Yes, he betrayed Lowassa...but not the Tanzanian people...Wimbi la Ufisadi lina-gear kubwa because of his money..I know my facts B!!!
 
Ngurdoto ,

That is the profound question you were supposed to ask yourself before instigating those childish tantrum. Your story does not pass the litmus test to make a long story short what you have proposed is absolutely absurd. Please if you don't have anything to contribute in this platform just keep quite instead of exposing your biasness. EL has nothing to do with this issue " Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni".

Mkuki kwa Nguruwe kweli kwa binadamu mchungu..wewe unasema Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...Sasa unakacha debate for that??? haki yangu je? wewe you've suggested that I didnt have facts, unaniambia siko classy baada ya quote hiyo..anyway, stop being too emotional, sisi wote watu wazima.

Kwa manufaa ya wote..Uhusiano wa JK na Lowassa utakuwa mbaya sana..walimkatia matangazo TVT akijitetea..TZ kuna mawaziri wangapi ila coverage yake iko biased..Kama hujui JK ni Mkulima, sio wa mashamba madogo, mashamba makubwa lakini JK sio Fisadi..ukimuita JK fisadi humjui JK..Lowassa ni Real Estate Mogul, a Millionaire by far..uhusiano ulikuwa ni wa Maslahi..Sasa kila kitu kina wakati wake..Hit job ya Lowassa alipewa Sam 6 na Lowassa kaenda Dodoma hajui ripoti ya Richmonduli ina nini..haijawahi tokea...ila sasa hayupo, atatumia Media to create hii dispair inayoendelea..mimi nina uchungu sababu najua ukweli..thats it Rufiji..Tupunguze ushabiki lets remember kuna hela hata kwenye habari, watu wanacha kununua unga wanunue Mwanahalisi...lets be careful.
 
Mkuu uliousema hapo ni uongo wa mchana, siku alipofariki alizikiwa kwa Makamba, kutokana na kuwa na nyumba ndogo sana ya serikali,

na besides, binamu yangu yaani mtoto wa dada wa baba yangu ameoa mtoto wake marehemu Mnauye, kwa hiyo believe me sibahatishi mkuu na ninayoyasema, mnaposema uongo kuhalalisha hoja zenu mumuogope Mungu kidogo, tena hasa mnapoongelea bina-adam aliyetangulia mbele ya haki kama marehemu Mnauye(RIP)!

FMES,
Uongo gani uliosemwa ili tuombe msamaha? Mbona hueleweki?

Kwa hiyo unataka kusema Mnauye ndiye aliyesababisha nyumba zote za serikali zikauzwa? IFM na WB wameishia wapi kwenye utetezi wako?

Au una maana unawatetea hao waliouza mali zetu kwa vile kwa vile mmeoa kwa baadhi yao. Kwa nini nyumba zetu zisirudishwe halafu tukaichangia familia ya Mnauye peke yake, kama tulivyochanga kumuaga JKN, badala ya kuwapa mafisadi mali yetu tena bure bure??
 
Mkuu wangu with all due respect, hakuna nyumba Obey iliyouzwa kwa shillingi millioni 10, zote ziliuzwa kuaiza millioni 50, na juu, nyumba hazikuwekwa kwenye freemarket kwa sababu hapa bongo sio huko majuu mkuu, na pia sisi kwa ustaarabu wetu tuliamua kuwa tuwaenzi wananchi kwanza kwa kuwakopesha hela za benki na kukuza uchumi pia,

Usitake kujua kila kitu, Mkuu. Kama hauna ushahidi kaa kimya kama tunavyofanya wengine.

Uamuzi wa kuuza nyumba haukupitishwa na Bunge. Uamuzi huu haukushinizwa na IMF wala World bank bali ulikuwa ni sehemu ya mradi wa kuboresha utendaji wa serikali kuu uliofadhiliwa na DFiD ( Hii haina maana kuwa serikali ya uingereza ilihusika katika maamuzi haya). Matokeo ya mradi huu ni uanzishaji wa Executive Agencies. Uamuzi ulitokana na sera ya kufanya idara za serikali ziweze kujiendesha bila kutegemea ruzuku serikalini. Maamuzi yalihusu nyumba zilizokuwa chini ya serikali kuu na idara zake. Nyumba za baadhi ya mashirika nazo ziliuzwa baada tu ya kurejeshwa serikali kuu.

Maghorofa yapi ya Tabata ya serikali kuu unayozungumzia?Ninavyojua mimi,maghorofa ya serikali kuu yako Ocean Road, Kinondoni na Masaki na chache katikati ya mji. I stand to be corrected lakini sijawahi kusikia kuwa watu wanaoishi katika maghorofa haya wameuziwa nyumba zao. Tatizo litakuwa katika umiliki wa hati ya uwanja. Kama unamjua mtu aliyeuziwa nyumba katika maghorofa ya serikali kuu tufahamishe. Vilevile sidhani kama nyumba zilizokuwa katikati ya mji ziliuzwa kwa wakaaji.

Kuna nyumba Oysterbay zimeuzwa chini ya milioni 50. Hii ilitokana na ukubwa wa nyumba, sehemu ilipokuwepo, hali yake n.k. Lengo lilikuwa ni kuweka bei ambayo mfanyakazi wa serikali angeweza kumudu na si vinginevyo. Hiyo ya mikopo kutoka benki siijui kwa hiyo siwezi kuzungumzia. Ndiyo maana waliouziwa hawakuruhusiwa kuziuza tena kwa muda fulani. Lakini tukumbuke kuwa huko Oysterbay na Masaki kuna baadhi ya mashirika nayo yalikuwa na nyumba zao ambazo waliziuza nje ya mradi huu. Hizo hazikubanwa na malengo ya mradi wa nyumba za serikali.

Sasa kama huo uamuzi ulikuwa sahihi au sio pamoja na taratibu zilizotumika ndiyo tujadili hapa. Hilo nawaachia wenzangu wenye kujua suala hili kwa undani zaidi.
 
Sijui ulijuaje kuwa hakuiba, lakini kama aliweza kununua nyumba ya O'bay/ Masaki, basi asingeshindwa kujenga nyumba kubwa zaidi Gongo la Mboto, Tabata nk.


Haya ni maneno maneno ya uongo, dhidi ya marehemu Mnauye, hakuwa na nyumba hata moja!
 
Uamuzi wa kuuza nyumba haukupitishwa na Bunge. Uamuzi huu haukushinizwa na IMF wala World bank bali ulikuwa ni sehemu ya mradi wa kuboresha utendaji wa serikali kuu uliofadhiliwa na DFiD

Mkuu wacha hizi, kwenye mkutano na wa-Tanzania kule hotelini Hermsley NY, akiwa anaaga Mkapa alisema kuwa uamuzi wa kuuza nyumba za serikali ulikuwa ni wake baada ya kushinikizwa na IMF na World Bank, ambapo pia alipata ushauri wa bunge, na akasema nasikia rais anayekuja ana mpango wa kuzirudisha, huku akimuangalia Muungwana, aliyekuwa kushoto kwake, akamalizia kuwa "... Namtakia Goodluck...", sasa mkuu hizi umezitoa wapi maana tunajua pia walishinikizwa na kuuza benki NBC?
 
Huenda ule ushahidi uliouliziwa na wajumbe kadhaa humu ndani kuhusu kuhusika kwa IMF na World Bank katika kushinikiza uuzwaji wa nyumba za serikali upo katika mojawapo ya hizo policy zao 157 na masharti 20 waliyotuwekea, kulingana na habari hii hapa:

The excessive number of policy prescriptions, or conditions, attached to the new loans and debt relief
amount to micromanagement of the GOT. Tanzania's Policy Matrix, 2000-2002," which was appended to
the Interim PRSP by the IMF and World Bank lists approximately 157 policies that the Government of
Tanzania will be pressured to implement during this time period. In addition, there are more than 20
policy conditions linked to debt relief, ten policy conditions linked to the World Bank's Country
Assistance Strategy (CAS), and additional conditions linked to IMF and World Bank-financed structural
adjustment loans.

The rest of the article can be found here:
http://www.tanzaniagateway.org/docs/SAP_alert_on_IMF_and_World_Bank_lending_to_Tanzania.pdf
 
Mkuu wacha hizi, kwenye mkutano na wa-Tanzania kule hotelini Hermsley NY, akiwa anaaga Mkapa alisema kuwa uamuzi wa kuuza nyumba za serikali ulikuwa ni wake baada ya kushinikizwa na IMF na World Bank, ambapo pia alipata ushauri wa bunge, na akasema nasikia rais anayekuja ana mpango wa kuzirudisha, huku akimuangalia Muungwana, aliyekuwa kushoto kwake, akamalizia kuwa "... Namtakia Goodluck...", sasa mkuu hizi umezitoa wapi maana tunajua pia walishinikizwa na kuuza benki NBC?

Nimeishakuambia angalia unalozungumzia. Una base yote hii kutoka kwa hotuba ya Mkapa wakati akiwaaga? Bila shaka nae uko karibu nae. Wanasiasa wanatumia IMF na World Bank kama bogey figures pale wanapobanwa.

Kushauriwa na bunge imekuwa lini sawa na kupitishwa na bunge?

Nimekuuliza kuhusu hayo maghorofa ya Tabata, bei ya nyumba Obei umeshindwa kujibu. Kama haujui, nyamaza tuu, There is no shame in it.
 
Set fiscal and monetary targets that may continue to undercut public services, reduce
internal demand, aggravate unemployment, and handicap efforts to boost investment in
infrastructure and human development.
Impose cost-sharing (i.e. new fees for services) in schools, health care centers and hospitals,
which will continue to rob vulnerable communities of essential health and education
services. The U.S. Government is now bound by law to oppose loans involving cost-sharing
provisions. On October 25, 2000, the U.S. Congress passed a bill that requires the United
States Executive Directors at the IMF, the World Bank and the regional development banks
to oppose any loan that imposes user fees or service charges on poor people for primary
education and health care. The legislation was subsequently signed into law.
Further reduce import tariffs. Such tariff reductions often result in a flood of imports that
can undermine domestic industrial and agricultural producers.
Require capital account liberalization to attract foreign investment. However, speculative
transactions provide profits to foreign investors while offering few, if any, benefits to the
poor majority of Tanzania.
3
Require privatization of public companies, which can increase unemployment, lower wages,
increase the cost of goods and services, and decrease access to poor populations. Require the privatization of agricultural enterprises. Already, privatization has increased the
prices of fertilizer and other inputs, and reduced access to credit. While large farmers and
private traders have benefited from liberalization and privatization, small farmers, who
constitute the majority of Tanzania's population, have not.

Sioni mahali panaposema hawa jamaa waliishinikiza serikali kuuza nyumba zao. Ukishauriwa kupunguza matumizi ni uamuzi wako utafanya hivyo vipi, kuacha kula nyama, kuuza gari, kuhama kwenye nyumba unayoishi n.k. Hawa walitoa ushauri, technicalities za namna gani tunaweza kutimiza haya malengo zilifanywa na sisi.

Angalieni hii link itaweza kutoa ufafanuzi wa ninachozungumzia.
http://unpan1.un.org/intradoc/groups/public/documents/CAFRAD/UNPAN010583.pdf

Mradi ulikuwa na lengo la kuboresha utendaji na delivery of services wa serikali kuu. Nyumba zilikuwa ni sehemu ya services ambazo serikali kuu ilikuwa ikitoa kwa wafanyakazi wake. Chini ya mradi huu ndipo hii huduma ilipoangaliwa na maamuzi kufanyika. Hakuna mkono wa World Bank wala IMF much as we might have wished otherwise.
 
Waugwana tuangalie swala zima katika muono wa kisomi na sio wa kishabiki maandazi.

Wale wote mnasema kuuzwa kwa nyumba hizi ni sawa kutokana na operaring cost yake ni kubwa, naomba tutofautiane kwa hilo. Swala sio maintanance cost, swala ni mfumo tegemezi na ufujaji uliojengeka tangu Azimio la Arusha mpaka mfumo mzima wa soko huria ndani ya serikali. Kama tunasema serikali ime adopt mfumo wa soko huria, basi ni imani yetu mfumo umeadoptiwa kwa sheria na kanuni za mfumo.

Imagine safari tuliyonayo kuelekea kuwa nchi imara, jee itafikia muda mawaziri wanatakuwa wanatokea mbagala au kawe kwenda kazini? Jee wakuu wa polisi nao watakuwa wanatokea Kijichi kwenda central? Jee hatuoni kwamba in the long run sisi tulioshabikia nyumba ziuzwe ndio tutakuwa malooser? Kwa nini tumekuwa wakatili kiasi cha kuwaza Leo tuu, badala ya kuangalia vizazi vijavyo. Au Tanzania imekuwa kiwanda ambacho kiko kwenye maturity level, the best way is to sell all of its asset, so we can secure savage for tax purposes?

Na kama kweli Mh. Mkapa na washabiki wake waliona kuna umuhimu wa kuuza zile nyumba kutokana na cost, jee kwa nini nyumba hazikufuata sheria ya uzaji wa mali ya serikali. Au ndio mwenye kisu kikali hula nyama?

Tuacheni ushabiki usio na kichwa wala miguu, tusishadadie habari sababu uncle au shangazi yako ni mmoja wa wale walijiuzia nyumba ya serikali kwa bei nafuu. Tuangalie madhara yake in a long run, Jee hakuna siku kiongozi mwehu ataingia madarakani na kunationalize hizo nyumba zote? Na kama ikitokea jee mwisho wake utakuwa nini?

Hili swala linaweza kuwa domino effect, likatuchafulia hali ya uhuru na amani nchini kwetu.
 
Waugwana tuangalie swala zima katika muono wa kisomi na sio wa kishabiki maandazi.

Wale wote mnasema kuuzwa kwa nyumba hizi ni sawa kutokana na operaring cost yake ni kubwa, naomba tutofautiane kwa hilo. Swala sio maintanance cost, swala ni mfumo tegemezi na ufujaji uliojengeka tangu Azimio la Arusha mpaka mfumo mzima wa soko huria ndani ya serikali. Kama tunasema serikali ime adopt mfumo wa soko huria, basi ni imani yetu mfumo umeadoptiwa kwa sheria na kanuni za mfumo.

Imagine safari tuliyonayo kuelekea kuwa nchi imara, jee itafikia muda mawaziri wanatakuwa wanatokea mbagala au kawe kwenda kazini? Jee wakuu wa polisi nao watakuwa wanatokea Kijichi kwenda central? Jee hatuoni kwamba in the long run sisi tulioshabikia nyumba ziuzwe ndio tutakuwa malooser? Kwa nini tumekuwa wakatili kiasi cha kuwaza Leo tuu, badala ya kuangalia vizazi vijavyo. Au Tanzania imekuwa kiwanda ambacho kiko kwenye maturity level, the best way is to sell all of its asset, so we can secure savage for tax purposes?

Na kama kweli Mh. Mkapa na washabiki wake waliona kuna umuhimu wa kuuza zile nyumba kutokana na cost, jee kwa nini nyumba hazikufuata sheria ya uzaji wa mali ya serikali. Au ndio mwenye kisu kikali hula nyama?

Tuacheni ushabiki usio na kichwa wala miguu, tusishadadie habari sababu uncle au shangazi yako ni mmoja wa wale walijiuzia nyumba ya serikali kwa bei nafuu. Tuangalie madhara yake in a long run, Jee hakuna siku kiongozi mwehu ataingia madarakani na kunationalize hizo nyumba zote? Na kama ikitokea jee mwisho wake utakuwa nini?

Hili swala linaweza kuwa domino effect, likatuchafulia hali ya uhuru na amani nchini kwetu.

Haya na tuongee kisomi ingawa mimi huko simo. Mkuu naona unaishi Marekani. Je huko serikali inatoa huduma hii kwa wafanyakazi wake wote? Condoleeza anakaa katika nyumba ya serikali? Au uingereza? Brown kabla hajaukwaa uPM alikuwa anaishi katika nyumba ya serikali? Au Afrika kusini? Au nchi yeyote iliyoendelea? Wafanyakazi wa serkali wanapewa nyumba za kuishi bure na serikali kuu?

Suala la kutoa huduma hii halikuwa sustainable kwa jinsi lilivyokuwa likifanyika. In the long run huduma hii inatakiwa itolewe na soko la nyumba. Mfanyakazi alipwe vizuri na sokoni pawe na nyumba za kutosha zinazokidhi mahitaji yake kwa bei atakayomudu. Kwa sasa hivi hapa kwetu hilo soko halipo. Mahitaji yamezidi mno production kiasi cha kuwafanya wenye nyumba hizo kutoza pango wanavyotaka.

Serikali kwa muda mrefu ilikuwa haitoi fungu kwa ajili ya kuzikarabati wakati pango lilikuwa pegged kwenye mshahara wa mkazi. Mshahara wa wengi waliokuwa kwenye nyumba hizo ulikuwa kati ya 100,000 na 200,000. Hawa walikuwa wanalipa asilimia 10 ya mshahara kama pango hivyo kufanya pango kwa mwezi kuwa sh 10,000 hadi 20000. Hii pango ilikuwa haitoshi hata kunua kitasa na ilikuwa chini ya pango la chumba Mwananyamala chenye umeme! Serikali kwa hiyo ilitakiwa aidha iamue kusubsidise huduma kwenye nyumba hizi ( kitu ambacho katika soko hilo la huria halikubaliwi), kuongeza mshahara wafanyakazi wake wanaoishi katika nyumba hizo ili pango liwe linaloendana na mahitaji halisi ya uendeshaji, kupangisha nyumba hizo kwa wakaaji wake kwa market rates, kuziuza n.k. Uamuzi uliochukuliwa ni huo wa kuziuza. Taratibu za uuzaji wa mali ya serikali unasema mali hiyo itauzwa kwa mnada. Hivi hizo nnyumba zingeuzwa kwa mnada wamatengo wangapi wangeona ndani? Tukumbuke hatuzungumzii za Masaki tu bali hata zile za Chang'ombe! Matokeo yangekuwa kuwa nyumba hizi zimenunuliwa na wafanyabiashara na tukiwa zaidi, wafanyabiashara ambao wengi wao wangekuwa ni wahindi, waarabu au makaburu tungesema nini?

Huyo atakayeamua ku'nationalize' hizi nyumba tena itakuwa uamuzi wake na bila shaka atafanya hivyo baada ya kujiridhisha kuwa ni uamuzi utakaoangalia maslahi ya taifa letu. tulitaifisha nyumba kibao, tukaanzisha Msajili wa Nyumba, zikatushinda kuzihudumia hadi hapa tulipo ambapo tunazirudisha tena katika soko huria.

Kama ulivyosema Mkuu. tuliangalie hili suala kisomi na tuache ushabiki usio na kichwa wala miguu!
 
Na kwa wale wanaoona mkono wa IMF na World Bank kila mahali hata pale tunapoteleza wenyewe, hii hapa ni sehemu ya hiyo link niliyoiweka hapo juu:

CSRP implementation did not actually start until 1993, when the overall objective
was identified of achieving a smaller, affordable, well-compensated efficient and
effectively performing civil service. The programme was supported by several donors,
including IDA, UNDP, DFID (then ODA), SIDA, NORAD, FINNIDA, DANIDA,
USAID, EU, Switzerland and the Netherlands.

During this period, the CSRP focused on restructuring the overall machinery of
government, regaining control over the payroll and the size of the establishment,
recapturing the control of costs, retrenching surplus staff, and beginning the move
towards commercialisation, privatisation and agency creation.[/
QUOTE]

CSRP ni Civil Service Reform Program iliyokuja itwa Publi Service Reform Program.
 
Na kwa wale wanaoona mkono wa IMF na World Bank kila mahali hata pale tunapoteleza wenyewe, hii hapa ni sehemu ya hiyo link niliyoiweka hapo juu:

CSRP implementation did not actually start until 1993, when the overall objective
was identified of achieving a smaller, affordable, well-compensated efficient and
effectively performing civil service. The programme was supported by several donors,
including IDA, UNDP, DFID (then ODA), SIDA, NORAD, FINNIDA, DANIDA,
USAID, EU, Switzerland and the Netherlands.

During this period, the CSRP focused on restructuring the overall machinery of
government, regaining control over the payroll and the size of the establishment,
recapturing the control of costs, retrenching surplus staff, and beginning the move
towards commercialisation, privatisation and agency creation.[/
QUOTE]

CSRP ni Civil Service Reform Program iliyokuja itwa Publi Service Reform Program.

Fundi Mchundo:

Kwenye mjadala mmoja nilitumia neno Legacy za Ukoloni, na nikazua mjadala mkubwa sana kwa wananchi. Ukweli wa mambo hata nchi za kikomunisti nyumba zilikuwa zinajengwa na soko la nyumba na watu wanapanga au kununua nyumba. Hivyo kwenye eneo moja au apartment moja unaweza kukuta mganga, mwalimu wa shule, mwanasiasa n.k. Hivyo mshahara wa mtu unajumlisha matumizi ya pango na ni jukumu lake yeye kutafuta sehemu ya kuishi.

Sasa tukirudi kwenye mada, pamoja kwamba kisiasa tunaona wakoloni walipenda kuja kwetu kutunyonya, wengi waliofanya kazi serikalini hawakupenda kuja kuishi. Na hili kuwavutia ilibidi wajengewe nyumba na marupurupu mengine. Na tulipopata uhuru, tuliendeleza sera hizo kama sheria. Shirika la ndege lilijenga flat kwa wafanyakazi wake. Benki ilijenga flat kwa wafanyakazi wake. Lakini ukweli wa mambo hivi vitu havifanyiki duniani.

Ufanisi wa taasisi za serikali na za binafsi hauji kwa taasisi hizo kuchukua majukumu mengi. Ufanisi unakuja kwa taasisi hizo kushughulikiwa kile kilichopo kwenye agenda zao. Kama ni shirika la ndege basi taasisi hiyo ishughulikie biashara ya usafirisha watu na mizigo kwa kutumia ndege na sio nyumba ya meneja wake au mkurugenzi. Na kama ni shirika la umeme basi, shirika hilo lishughulikie umeme tu.

Ufisadi wa nyumba za serikali utaonekana kwa sababu kuna nyumba chache na wanaozitaka ni wengi. Ni nani achaguliwe kununua nyumba hizo? Tukitumia sheria za mnadani kuuza nyumba hizo ni kweli kuwa wakazi wengi wanaoishi katika nyumba hizo watapoteza makazi. Tukitumia sheria zinazoendelea sasa ni lazima kutakuwa na ufisadi fulani na manung'uniko. Labda tutumie hekima za Nabii Suleman alizotumia kuhukumu wanawake wawili waliokuwa wanagombea mtoto.
 
Na kwa wale wanaoona mkono wa IMF na World Bank kila mahali hata pale tunapoteleza wenyewe, hii hapa ni sehemu ya hiyo link niliyoiweka hapo juu:



Fundi Mchundo:

Kwenye mjadala mmoja nilitumia neno Legacy za Ukoloni, na nikazua mjadala mkubwa sana kwa wananchi. Ukweli wa mambo hata nchi za kikomunisti nyumba zilikuwa zinajengwa na soko la nyumba na watu wanapanga au kununua nyumba. Hivyo kwenye eneo moja au apartment moja unaweza kukuta mganga, mwalimu wa shule, mwanasiasa n.k. Hivyo mshahara wa mtu unajumlisha matumizi ya pango na ni jukumu lake yeye kutafuta sehemu ya kuishi.

Sasa tukirudi kwenye mada, pamoja kwamba kisiasa tunaona wakoloni walipenda kuja kwetu kutunyonya, wengi waliofanya kazi serikalini hawakupenda kuja kuishi. Na hili kuwavutia ilibidi wajengewe nyumba na marupurupu mengine. Na tulipopata uhuru, tuliendeleza sera hizo kama sheria. Shirika la ndege lilijenga flat kwa wafanyakazi wake. Benki ilijenga flat kwa wafanyakazi wake. Lakini ukweli wa mambo hivi vitu havifanyiki duniani.

Ufanisi wa taasisi za serikali na za binafsi hauji kwa taasisi hizo kuchukua majukumu mengi. Ufanisi unakuja kwa taasisi hizo kushughulikiwa kile kilichopo kwenye agenda zao. Kama ni shirika la ndege basi taasisi hiyo ishughulikie biashara ya usafirisha watu na mizigo kwa kutumia ndege na sio nyumba ya meneja wake au mkurugenzi. Na kama ni shirika la umeme basi, shirika hilo lishughulikie umeme tu.

Ufisadi wa nyumba za serikali utaonekana kwa sababu kuna nyumba chache na wanaozitaka ni wengi. Ni nani achaguliwe kununua nyumba hizo? Tukitumia sheria za mnadani kuuza nyumba hizo ni kweli kuwa wakazi wengi wanaoishi katika nyumba hizo watapoteza makazi. Tukitumia sheria zinazoendelea sasa ni lazima kutakuwa na ufisadi fulani na manung'uniko. Labda tutumie hekima za Nabii Suleman alizotumia kuhukumu wanawake wawili waliokuwa wanagombea mtoto.


Unanifanya nijisikie sifa kuwa fundi mchundo. Couldn't have said it better!
Natumaini kwa vile msomi mwenzao umesema, watakuelewa!
 
For the sake of argument let's say it was prudent and progressive for the government to shed the houses.

But why not put them on the open market? Or sell them at market price?

The fact that the houses were not on the open market, and not sold at market price is what raises the notion that there were some improprieties.
 
For the sake of argument let's say it was prudent and progressive for the government to shed the houses.

But why not put them on the open market? Or sell them at market price?

The fact that the houses were not on the open market, and not sold at market price is what raises the notion that there were some improprieties.

I think the fear that had they been put on the open market only a small section of the population would have afforded them. This would have further aggravated the socio-economic divide existant in our society. Can you imagine the outcry that would have been raised had those houses been sold to those of our community of a paler complexion? The Mtikilas amongst us would have had a field day!
 
Back
Top Bottom