Ufisadi wa Kufa mtu TANAPA: Hebu angalia Mkakati ulivyokaa!!

ndyoko

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
4,971
1,650
Kama ulidhani ufisadi umekwisha ktk sekta ya maliasili na utalii, fikiria upya. Haijulikani hili lilipangwa bila kujua au la, lakini ukiliangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa 'dili' za ufisadi bado zinaendelea kuchezwa tena kwa ustadi mkubwa.

Kwa kuzitumia benki za EXIM na CRDB wizi mkubwa umeendelea kufanywa kupitia sekta ya utalii. Hebu tujiulize inaingiaje akilini kwa nchi masikini kama TZ kuendelea kuzikarimu benki tajwa hapo juu kuchukua dola 5 kwa kila dola 30 zinazolipwa na watalii wanaotembelea mbuga zetu za Taifa? Hili limefanyika kwa maslahi ya watanzania au ndo mtindo ule ule wa 10% tulouzoea? Haiingii akili kwani kwa style hii ni wazi benki husika zinavuna kiasi kikubwa cha hela bila kuzifanyia kazi.

Habari za awali zinaonyesha kuwa huu ni mkakati maalumu uliopangwa na 'wakuu' ili kufanikisha wizi wa rasilimali za nchi kutoka maliasili zetu kwani ilionekana ni ngumu sana kufanya ufisadi kupitia uwindaji au usafirishaji wa wanyama hai kwa kuwa huko wananchi walizinduka zamani. Inaelezwa kwamba kati ya hizo dola 5 kwa kila kichwa kinachoingia mbugani, ni kiasi kidogo sana kinachoingia kama mapato ya benki kwa kuingia kwao mkataba na serikali. Sehemu kubwa ya hizo dola 5 (kati ya dola 3.5 na 4), zinaingia mifukoni mwa wakubwa 'mafisadi' wanaoendelea kuitafuna nchi hii na mfumo mzima wanaoutumia.

Ama kweli 'haka kanchi katamu kama ukikapatia', mweeeeh!
 
crdb bank ilihusika katika wizi wa mipesa ya EPA
ila siku nyingine jaribu kutuwekea kaushahidi japo kadogo,hii bado tetesi
 
Yaani wewe bado uko gizani sana, hujui kama kila mtu Tz ni fisadi. Tofauti tu ni kwamba mafisadi wengine wameshajulikana na wengine hawajajulikana.
 
Kama ulidhani ufisadi umekwisha ktk sekta ya maliasili na utalii, fikiria upya. Haijulikani hili lilipangwa bila kujua au la, lakini ukiliangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa 'dili' za ufisadi bado zinaendelea kuchezwa tena kwa ustadi mkubwa.

Kwa kuzitumia benki za EXIM na CRDB wizi mkubwa umeendelea kufanywa kupitia sekta ya utalii. Hebu tujiulize inaingiaje akilini kwa nchi masikini kama TZ kuendelea kuzikarimu benki tajwa hapo juu kuchukua dola 5 kwa kila dola 30 zinazolipwa na watalii wanaotembelea mbuga zetu za Taifa? Hili limefanyika kwa maslahi ya watanzania au ndo mtindo ule ule wa 10% tulouzoea? Haiingii akili kwani kwa style hii ni wazi benki husika zinavuna kiasi kikubwa cha hela bila kuzifanyia kazi.

Habari za awali zinaonyesha kuwa huu ni mkakati maalumu uliopangwa na 'wakuu' ili kufanikisha wizi wa rasilimali za nchi kutoka maliasili zetu kwani ilionekana ni ngumu sana kufanya ufisadi kupitia uwindaji au usafirishaji wa wanyama hai kwa kuwa huko wananchi walizinduka zamani. Inaelezwa kwamba kati ya hizo dola 5 kwa kila kichwa kinachoingia mbugani, ni kiasi kidogo sana kinachoingia kama mapato ya benki kwa kuingia kwao mkataba na serikali. Sehemu kubwa ya hizo dola 5 (kati ya dola 3.5 na 4), zinaingia mifukoni mwa wakubwa 'mafisadi' wanaoendelea kuitafuna nchi hii na mfumo mzima wanaoutumia.

Ama kweli 'haka kanchi katamu kama ukikapatia', mweeeeh!

jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali

Mkuu mbona unanena kwa kinywa kipana? Sina hakika na analolosema mtoa mada lakini kumbukumbu zangu zinaonyesha kwamba pesa za EPA zilipitia kwenye commercial banks na CRDB ikiwa ni mdau mkubwa! Una maana huko benki hakuna mishemishe mkuu? Najua mishemishe kibao mnapeana mapande halafu bahati nzuri huwa hamshitakiani kwa kuogopa kuharibu public image!
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali

We kenge kweli kwani umesikia hapa ni mahali pa kujidai eti una mishahara mikubwa. Nenda kwa geti lolote la TANAPA uulizie ndo utapata majibu ya hii maneno. Kanchi kanaisha haka
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali

Wewe acha uongo! CRDB ni wezi sana! kuna mdogo wangu aliweka fixed term mwaka 2000, akasafiri kwenda US kusoma. amerudi akakuta pesa zimeliwa na kijana namhifadhi jina tawi la Holland House ! tulifuatilia mpaka leo hakuna kitu! kijana alifukuzwa kazi na pesa mpaka leo haijarudi! eti ikimature wanaweka kwenye sundries ! sijui banking ya aina gani hii imekaa kifisadifisadi! kwa kawaida pesa ikimature inatakiwa irudi kwenye account ya mteja ya savings ai current lakini cha ajabu eti zilipelekwa sundries zilipomature na watu WALAMBA SANA KWENYE SUNDRIES! sasa wewe usitake kuitetea hii benki! ni wezi tena mafisadi! mie na ndugu yangu TUMESHITAKI KWA MUNGU na atalipa tu ! maana tumecungushwa kama pear mpaka tulichoka tukaamua kukaa kitako!

NA hizo dola 5 kwani banking si ni debit credit! zilipelekwa kwenye account ambayo inaweza kutolewa kupelekwa kwenye account nyingine halafu irushqwe kwa mafisadi kwani haiwezekani! labda uwaongopee ambao hawajui banking ! CRDB ni dhulumati wakubwa!
 
Wewe acha uongo! CRDB ni wezi sana! kuna mdogo wangu aliweka fixed term mwaka 2000, akasafiri kwenda US kusoma. amerudi akakuta pesa zimeliwa na kijana namhifadhi jina tawi la Holland House ! tulifuatilia mpaka leo hakuna kitu! kijana alifukuzwa kazi na pesa mpaka leo haijarudi! eti ikimature wanaweka kwenye sundries ! sijui banking ya aina gani hii imekaa kifisadifisadi! kwa kawaida pesa ikimature inatakiwa irudi kwenye account ya mteja ya savings ai current lakini cha ajabu eti zilipelekwa sundries zilipomature na watu WALAMBA SANA KWENYE SUNDRIES! sasa wewe usitake kuitetea hii benki! ni wezi tena mafisadi! mie na ndugu yangu TUMESHITAKI KWA MUNGU na atalipa tu ! maana tumecungushwa kama pear mpaka tulichoka tukaamua kukaa kitako!

NA hizo dola 5 kwani banking si ni debit credit! zilipelekwa kwenye account ambayo inaweza kutolewa kupelekwa kwenye account nyingine halafu irushqwe kwa mafisadi kwani haiwezekani! labda uwaongopee ambao hawajui banking ! CRDB ni dhulumati wakubwa!
mkuu nadhani jamaa hafanyi kazi benki manake amesema kitu ambacho hakipo. Labda benki binafsi haina maana ya commercial bank. Hajui kiwa commercial banks ndio zinatumika kama conduits za kutakasa pesa chafu! Hajui kuwa huwa wanapitisha debit entry kwenye account za wateja wakubwa na kuzipeleka kwa wahindi na baada ya mwezi wanapitisha credit entry kurudisha pesa baada ya kuwa wamepata riba isiyo na.jasho toka kwa wahindi! Hajui kuwa kitu inaitwa debit na credit inaweza tumika kuchezesha pesa kutoka account moja kwenda nyingine hadi ikafika kwa fisadi ikawa vigumu kutrace!

Mkuu mwambie mdogo wako akatafute haki yake hata ikiwa ni kwa Kimei aende kama inashindikana aende Bank Kuu kitengo cha Bank Supervision hienda akapata msaada. TUSISEME KUMEJAA RUSHWA. NENDENI MKAJARIBU NAJUA KUNA WATANZANIA AMBAO WANACHUKIA RUSHWA NA.BADO.WANAISHI
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali

This is a stupid arrogance...Who cares about your big salary? We all know that you guys collude with all those who embezzle the government money.

Remember, JF is used as a tool to disentangle all the evil deeds...coming up with pay arrogance is a sign of immaturity...and you dare call yourself a great thinker? That's next to impossible...A bank teller can never be a great thinker..no no no no. You can tell a ripe corn by its look (Chinua Achebe)
 
Wewe acha uongo! CRDB ni wezi sana! kuna mdogo wangu aliweka fixed term mwaka 2000, akasafiri kwenda US kusoma. amerudi akakuta pesa zimeliwa na kijana namhifadhi jina tawi la Holland House ! tulifuatilia mpaka leo hakuna kitu! kijana alifukuzwa kazi na pesa mpaka leo haijarudi! eti ikimature wanaweka kwenye sundries ! sijui banking ya aina gani hii imekaa kifisadifisadi! kwa kawaida pesa ikimature inatakiwa irudi kwenye account ya mteja ya savings ai current lakini cha ajabu eti zilipelekwa sundries zilipomature na watu WALAMBA SANA KWENYE SUNDRIES! sasa wewe usitake kuitetea hii benki! ni wezi tena mafisadi! mie na ndugu yangu TUMESHITAKI KWA MUNGU na atalipa tu ! maana tumecungushwa kama pear mpaka tulichoka tukaamua kukaa kitako!

NA hizo dola 5 kwani banking si ni debit credit! zilipelekwa kwenye account ambayo inaweza kutolewa kupelekwa kwenye account nyingine halafu irushqwe kwa mafisadi kwani haiwezekani! labda uwaongopee ambao hawajui banking ! CRDB ni dhulumati wakubwa!

CRDB ni wezi kwa njia nyingi sana kwani hata kwa riba wanazotoza katika mikopo yao ni utata mtupu. Hawaiweki information vizuri ya jinsi wanavyotoza micro credits zao matokeo yake wanawaibia walala hoi zaidi kuliko wafanya biashara wakubwa. Ukichukua mkopo mdogo CRDB riba kwa mwaka ni zaidi ya 40% huku kwenye ki-leaflet wanakwambia riba ni 18% bila ku-specify ni kwa muda gani hiyo riba siyo per annum bali per month ambapo ukifanya compunding ina aggregate kwenye zaidi ya 60% kwenye payback period ama life time ya mkopo zaidi ya kile ulichochukua kwenye mkopo. Information ni moja ya kitu muhimu katika decision making kwasababu kila mwandamu ni rational lakini wao wameamua kwa makusudi kutoelimisha wateja ili wawaibie tofauti na mabenki mengine kama Azania etc ambayo in aggregate riba yao haizidi 20%.
 
Yaani wewe bado uko gizani sana, hujui kama kila mtu Tz ni fisadi. Tofauti tu ni kwamba mafisadi wengine wameshajulikana na wengine hawajajulikana.

Mkuu jitazame upya inawezekana hujijui kuwa akili yako haina tofauti na ya mwendawazimu aokotaye makopo. Siamini kuwa wale tulowaona wakiathiriwa na mafuriko maeneo ya jangwani, tabata na kigogo nao ni mafisadi. Nenda muhimbili pale kuna dk mmoja anaitwa Dr Nyandindi akakupatie tiba ya kichaa
 
Wakuu kama ukipata nafasi tembelea mageti ya TANAPA kama mtalii wa ndani au vyovyote vile, mtajionea ukweli wa hili jambo. Suala la kujiuliza ni hizo dola tano kwa kila mtalii kwenda benki mazima ni pesa nyingi kwa kazi ambayo haiendani na uhalisia.
 
Kama ulidhani ufisadi umekwisha ktk sekta ya maliasili na utalii, fikiria upya. Haijulikani hili lilipangwa bila kujua au la, lakini ukiliangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa 'dili' za ufisadi bado zinaendelea kuchezwa tena kwa ustadi mkubwa.

Kwa kuzitumia benki za EXIM na CRDB wizi mkubwa umeendelea kufanywa kupitia sekta ya utalii. Hebu tujiulize inaingiaje akilini kwa nchi masikini kama TZ kuendelea kuzikarimu benki tajwa hapo juu kuchukua dola 5 kwa kila dola 30 zinazolipwa na watalii wanaotembelea mbuga zetu za Taifa? Hili limefanyika kwa maslahi ya watanzania au ndo mtindo ule ule wa 10% tulouzoea? Haiingii akili kwani kwa style hii ni wazi benki husika zinavuna kiasi kikubwa cha hela bila kuzifanyia kazi.

Habari za awali zinaonyesha kuwa huu ni mkakati maalumu uliopangwa na 'wakuu' ili kufanikisha wizi wa rasilimali za nchi kutoka maliasili zetu kwani ilionekana ni ngumu sana kufanya ufisadi kupitia uwindaji au usafirishaji wa wanyama hai kwa kuwa huko wananchi walizinduka zamani. Inaelezwa kwamba kati ya hizo dola 5 kwa kila kichwa kinachoingia mbugani, ni kiasi kidogo sana kinachoingia kama mapato ya benki kwa kuingia kwao mkataba na serikali. Sehemu kubwa ya hizo dola 5 (kati ya dola 3.5 na 4), zinaingia mifukoni mwa wakubwa 'mafisadi' wanaoendelea kuitafuna nchi hii na mfumo mzima wanaoutumia.

Ama kweli 'haka kanchi katamu kama ukikapatia', mweeeeh!
Mkuu Ndyoko, utatusaidia sana kama utatufafanulia hasa kwa nini hizo benki zinapata hizo dola tano.
Ninachohisi ni kuwa: Umeanzishwa utaratibu wa watalii kulipa kwa kutumia kadi wanapotaka kuingia kwenye vivutio vya utalii. Nadhani hizo benki mbili zinehusika wka namna fulani katika kutengeneza huo mfumo wa malipo na ndio maana wanapata hizo dola kama commission yao. lakini kama una taarifa nyingine tafadhali tujulishe.
 
Kama ulidhani ufisadi umekwisha ktk sekta ya maliasili na utalii, fikiria upya. Haijulikani hili lilipangwa bila kujua au la, lakini ukiliangalia kwa jicho la tatu utagundua kuwa 'dili' za ufisadi bado zinaendelea kuchezwa tena kwa ustadi mkubwa.

Kwa kuzitumia benki za EXIM na CRDB wizi mkubwa umeendelea kufanywa kupitia sekta ya utalii. Hebu tujiulize inaingiaje akilini kwa nchi masikini kama TZ kuendelea kuzikarimu benki tajwa hapo juu kuchukua dola 5 kwa kila dola 30 zinazolipwa na watalii wanaotembelea mbuga zetu za Taifa? Hili limefanyika kwa maslahi ya watanzania au ndo mtindo ule ule wa 10% tulouzoea? Haiingii akili kwani kwa style hii ni wazi benki husika zinavuna kiasi kikubwa cha hela bila kuzifanyia kazi.

Habari za awali zinaonyesha kuwa huu ni mkakati maalumu uliopangwa na 'wakuu' ili kufanikisha wizi wa rasilimali za nchi kutoka maliasili zetu kwani ilionekana ni ngumu sana kufanya ufisadi kupitia uwindaji au usafirishaji wa wanyama hai kwa kuwa huko wananchi walizinduka zamani. Inaelezwa kwamba kati ya hizo dola 5 kwa kila kichwa kinachoingia mbugani, ni kiasi kidogo sana kinachoingia kama mapato ya benki kwa kuingia kwao mkataba na serikali. Sehemu kubwa ya hizo dola 5 (kati ya dola 3.5 na 4), zinaingia mifukoni mwa wakubwa 'mafisadi' wanaoendelea kuitafuna nchi hii na mfumo mzima wanaoutumia.

Ama kweli 'haka kanchi katamu kama ukikapatia', mweeeeh!

kama hili lina ukweli kazi ipo.Nimekuwa nikitumia CRDB TANAPA card kwa muda sasa,mara nyingi network imekuwa tatizo.
Kweli nchi hii inaliwa na wenye meno na si wenye maneno.
 
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza nani kakwambia benki inapitisha pesa tu achukue mwingine hiki ni chombo cha pesa kinachoaminiwa na wananchi na si kufanyia ufisadi mimi ni mtumishi wa benki kwa miaka mingi sana sisi tunatafuta pesa kwa wingi na ndomana tunalipwa mishahara minono ukiambiwa lete ushahidi hapa jamvini kwa ulichoropoka unao au unahisi tuu
ulaji unafanyika epa na si benki binafsi nenda kakague pesa zinazopita bot na kutoka ndo utajua ufisadi usichafue benki zetu tafadhali

kwa uchambuzi wa haraka umeonyesha upeo mdogo sana wa uelewa. \na hapa kuna mawili, 1. inawezekana wewe ni teller tu kama kweli wafanya kazi benki au, 2. kama ni kiongozi then hiyo benki imekula hasara maana huna mchango wa maana huko benki, 3. inawezekana pia huo 'mshahara mkubwa' unaodai unaupata benki basi ni baada ya 'kupromotiwa kimwili'.
 
Back
Top Bottom