Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Sio magetini tu, tembelea hizo benki tajwa hapa uone wale jamaa wanaodili na hiz kadi za Tanap wanavokula dollar na kujenga majumba na migari. Ukirudisha kadi na iko na chenchi wao wanalamba kadi inakuwa tupu
Mkuu hiyo kadi ikoje na inafanyaje kazi? Ni kama credit ama debit card au ikoje?