Nahisi zitakuwa kwenye Fixed -account, baada ya miezi mitatu watapewa, hakuna kuiachia pesa kirahisi hivyo bila kugenerate profit mkuu, mambo ya pesa huwa yako hivyo!Ni mwezi sasa unakaribia kufika,
wahitimu wa Mwaka huu wapatao 5,000. Hawajarudishia hela yao ya mahafali 20,000/= kama walivyoahidiwa pindi tu wakirudisha joho...
Sasa 20,000/= tshs * 5000 = 100,000,000 tshs...
Thz is so serious wanajamii