kanyabukogoto
Member
- Oct 2, 2012
- 19
- 3
Uwe na uhakika na taarifa unazotoa! Unasema wiki mbili zilizopita ndio bei ya mafuta ilipanda..una uhakika na taarifa yako? Bei zinabadilika kila mwanzo wa mwezi ndio Ewura wanatangaza bei elekezi..sasa unapotengeneza hoja kuwa bei ilipanda kwajili ya chaguzi za ccm wiki mbili zilizopita ni uzushi ambao huwezi hata kuutetea! Huna hoja tafuta hoja nyingine!
hata kama zimepanda jana ukweli utabaki kwamba zimepanda kufadhiri uchaguzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI.