Ufisadi na mauaji ya kupangwa yakaitikisa Msumbiji mwaka 2000

Hii stori nilipata kuhadithiwa na Rafiki yangu Raia wa Msumbiji, inasemekana hata kifo cha Nyampine kina mkono wa Babake na Vigogo wengine ambao walifahamu fika kuwa Nyampine hakuwa na namna ya kukwepa hukumu na hivyo kuwepo uwezekano mkubwa wa dili zao nyingine kuibuliwa kwenye kesi zilizokuwa zinamkabili Nyampine. Hivyo njia rahisi ilikuwa ni Mtuhumiwa kufa ili kesi dhidi yake zifutwe.
Ni kweli mkuu, na mwaka mmoja baada ya kifo chake, ziliibuka taarifa kuwa Nyimpine ameonekana nchini Ureno na taarifa hizo ziliambatana na ukweli kwamba hata mama yake alikuwa na safari za mara kwa mara za kwenda nchini humo kiasi kwamba watu wakaziamini taarifa hizo, kwamba huenda zilikuwa na lengo la kumtembelea mwanaye huyo. lakini hata hivyo ilikuja kuonekana ni uvumi tu na mtoa taarifa hakupata kufahamika.

Katika picha hii hapa chini anaonekana Rais Chissano akiwa kwenye mazishi ya mwanae Nyimpine.

adeus_nyimpine.jpg
 
Duh huyo Riz1 wa Msumbiji alikuwa noma, hadi njama za kumuua supervisor wa mabenki damn! Mtambuzi, mbona huwa unapenda hizi story za ki mafioso?
 
Nashukuru kwa kutujuza juu ya kesi hii na jinsi ilivyokwisha; ni fundisho kwa watoto wa viongozi hasa wale wanaojitia kufanya biashsra na majasusi yanayotaka kutumia influence zao kufanikisha biashara!!
 
Duh huyo Riz1 wa Msumbiji alikuwa noma, hadi njama za kumuua supervisor wa mabenki damn! Mtambuzi, mbona huwa unapenda hizi story za ki mafioso?

@Maundumula-Nazipenda hizi stori kwa sababu zinafikirisha.
 
Daah! baada ya kusoma tamthiliya ya horsepower yakukatika katika nikawa nimekaa kikiu kiu ya simulizi nikakumbuka zimenipita kama simulizi mbili tatu zako mkuu mtambuzi! and here iam. . nimerelax kwa sie wavivu wa kusoma na kuandika nimepata elimu nyingine hapa ni ndefu lakini bado ni summary ya matukio nisiyoyajua! ahsante mtambuzi! napata mashaka pengine nyimpine yuko mahali nchi za mbali kajificha kilichokufa ni kimvuli tu! siasa mchezo mchafu! yaleyale utata wa kina bilali!
 
Back
Top Bottom