Ufisadi mwingine JWTZ: Mboma, Mkapa, Apson wanajua!

Ibrah

JF-Expert Member
Mar 22, 2007
2,729
528
Nimevujishiwa habari kuwa kuna Ufisadi mkubwa ulifanyika ndani ya Jeshi letu lenye heshima la JWTZ. Ufisadi huo ulifanyika mwaka 2006 pale JWTZ ilpouziwa ndege na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!

Habari zinasema kuwa ile Helokopta ya Agusta iliyotengenezwa Italia na iliyoanguka Arusha mwaka jana 2008 na kuuwa watu wanne akiwamo mpiganaji mwaminifu ambaye alikuwa Rubani ilikuwa ni chakavu! Helkopta hiyo ni miongoni mwa nyingine za aina hiyo zilzonunuliwa Italia kwa bei kubwa iliyopaishwa (kama kwenye ununuzi wa Rada!). Inasemekana kuwa Seikali iliunda tume ya kuchunguza ununuzi wa ndege helkopta hizo na Mhandisi wa Kiitaliano aliyekiri kuwa helkopta hizo ziliuzwa zikiwa zimechakaa baadaye alikutwa amekufa hotelini!

Nimefahamishwa kuwa kuna ndege nyingine ya kijeshi yenye uwezo wa kubeba tani 90 ilinunuliwa wakati huo huo. Dege hilo la kizamani ajabu lenye kuendeshwa na marubani watano (5 pilots)! lilinunuliwa na JWTZ baada ya nchi za Malawi na Namibia awali kukataa kulinunua!

Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!
 
Ufisadi huo ulifanyika mwaka 20o6 pale JWTZ ilpouziwa ndge na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!

na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!

Mwaka 2006 Mboma alishastaafu ukuu wa majeshi check ur facts again....
 
Nimevujishiwahabari kuwa kuna Ufisadi mkubwa ulifanyika ndani ya Jeshi letu lenye heshima la JWTZ. Ufisadi huo ulifanyika mwaka 20o6 pale JWTZ ilpouziwa ndge na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!

Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!

Mwaka 2006 raisi alikuwa ni Kikwete, Mkuu wa Majeshi Mwamnyange na Mkuu wa Usalama wa taifa siyo Apson tena!!! Hariri bandiko lako, uchuje pumba utuletee facts tu!!!
 
Na mwaka huo Mkapa alikuwa siyo Rais,lakini deal inaweza kuwa ilikuwa concluded wakati wa utawala wao lakini commissioning ikafanywa mwaka 2006.

Siyo kama kariakoo ukienda muda huo huo unatoa cash na kuchukua bidhaa.
 
hehehehe
umeyakoroga mwenyewe na wenye data wanakupiga madongo ya kikweli kweli sasa.
leta data kamili ili wadau tuweze kupata lanchi ya wikend hapa.
 
Mwaka 2006 Mboma alishastaafu ukuu wa majeshi check ur facts again....


Hata Mkapa alishataafu huo 2006! Hiyo haiondoi kujua au kushiriki kwao coz procurements were handled and payments done wakati wakiwepo.
 
Du Pole sana Bw. Ibrah. Hii nafurahisha. sasa bandiko Bwana liwe na habari sahihi. Pana vichwa hapa JF.
 
Du Pole sana Bw. Ibrah. Hii nafurahisha. sasa bandiko Bwana liwe na habari sahihi. Pana vichwa hapa JF.

Vichwa? sijaelewa kwanini mnabeza hii thread ya Ibra! mbona facts ziko ok? kwani kununua ndege ni sawa na kununua suti kariakoo? it takes time deal kuwa concluded wakati huo mnakuwa tayari mmefungua LC na pesa zinakuwa released taratibu kutokana na makubaliano.

Ndege kuletwa mwaka 2006 isiwe hoja kwamba facts zake haziko sahihi.
 
Mbona mnainyonga hii thread? Panapo fuka moshi chini kuna moto! Vichwa gani hivyo vyenye nidhamu ya woga! Waache wanaohusika wafanye kazi zao. Au mpaka wawe wahindi ndio muone kuwa ni ufisadi?
 
Jenerali Mboma alistaafu nafikiri mwaka 2001 na nafasi yake akachukuwa Jenerali Waitara ambaye ndiye aliyemkabidhi cheo Jenerali Mamunyange nafikiri 2006 au 2007.
 
Jenerali Mboma alistaafu nafikiri mwaka 2001 na nafasi yake akachukuwa Jenerali Waitara ambaye ndiye aliyemkabidhi cheo Jenerali Mamunyange nafikiri 2006 au 2007.

You are correct, kumbukumbumbu zangu zimekubali juu ya Mboma na nakubali hakuhusika ila successor wake ndiye Muhusika. Kashfa ya Ndge na Helkopta mbovu za JWTZ iko palepale, Mboma excluded.
 
Guys,government procurements takes longer than you can imagine. Kwa mfano toka wametangaza tenda ya vitambulisho vya uraia mpaka sasa umepita muda gani? Suala la ndege za kijeshi lipo,ila kikwete alipoingia alikuwa victim wa hiyo contract.
Once you enter the contract you have to abide by the provisions unless the two parties come together again to amend the provisions.
Deal lilimalizwa kabla ya mwaka 2006 kwani Kikwete amepewa kazi 2005 mwishoni sana kama siyo 2006 mwanzoni(uchaguzi ulichelewa). Asingeweza kuconclude deal kubwa kama hilo kwa muda wa miezi and therefore hii habari inawezekana ina ukweli fulani.
 
Nimevujishiwa habari kuwa kuna Ufisadi mkubwa ulifanyika ndani ya Jeshi letu lenye heshima la JWTZ. Ufisadi huo ulifanyika mwaka 2006 pale JWTZ ilpouziwa ndege na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!

Habari zinasema kuwa ile Helokopta ya Agusta iliyotengenezwa Italia na iliyoanguka Arusha mwaka jana 2008 na kuuwa watu wanne akiwamo mpiganaji mwaminifu ambaye alikuwa Rubani ilikuwa ni chakavu! Helkopta hiyo ni miongoni mwa nyingine za aina hiyo zilzonunuliwa Italia kwa bei kubwa iliyopaishwa (kama kwenye ununuzi wa Rada!). Inasemekana kuwa Seikali iliunda tume ya kuchunguza ununuzi wa ndege helkopta hizo na Mhandisi wa Kiitaliano aliyekiri kuwa helkopta hizo ziliuzwa zikiwa zimechakaa baadaye alikutwa amekufa hotelini!

Nimefahamishwa kuwa kuna ndege nyingine ya kijeshi yenye uwezo wa kubeba tani 90 ilinunuliwa wakati huo huo. Dege hilo la kizamani ajabu lenye kuendeshwa na marubani watano (5 pilots)! lilinunuliwa na JWTZ baada ya nchi za Malawi na Namibia awali kukataa kulinunua!

Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!
tafuta facts vizuri tujadili...
 
tafuta facts vizuri tujadili...

Nyauba, Ufisadi huo uko palepale, kumtaji Mboma kimakosa haiondoe ukweli kuhusu Ufisadi huo wa Ndege na Helkopta mbovu JWTZ, Rubani wetu alikufa kwenye ajali ya helkopta mwaka jana tukampoteza shujaa kwa ajili ya Ufisadi uso na haya.

Naweza kuwa nimekosea kutaja majina ya wahusika (baadhi) lakini hilo haliondoi tuhuma ya ufisadi JWTZ
 
You are correct, kumbukumbumbu zangu zimekubali juu ya Mboma na nakubali hakuhusika ila successor wake ndiye Muhusika. Kashfa ya Ndge na Helkopta mbovu za JWTZ iko palepale, Mboma excluded.

Current High Command

  • Commander in Chief: President Jakaya Mrisho Kikwete
    [*]Chief of Defense Forces (CDF): General Davis Mwamunyange
    [*]Chief of General Staff: Lt. General Abdulrahman Amir Shimbo
    [*]Commander of Land Forces Maj Gen Wilcjones Kisamba
    [*]Acting Chief of National Service: Brig General SN Kitundu
    [*]Commander of Air Force Command: Brig. General Ulomi
    [*]Commander of the Naval Command: Rear Admiral (Brig. General): Othman
Former CDF's
  • Major General Mrisho Sarakikya 1964-1974;
  • Lieutenant General AbdallahTwalipo 1974-1980;
  • General David Musuguri 1980-1988;
  • General Ernest Kiaro 1988-1994;
  • General Robert Mboma 1994-2002
  • General George Waitara 2002-2007
  • General Davis Mwamunyange 2007-
Chiefs of Staff
  • Brigadier General Tumainiel Kiwelu 1975-1980;
  • Major General Imrani Kombe 1980-1983;
  • Major General M.N. Mwakalindile 1983-1988;
  • Lieutenant General Kiwelu 1988-1994;
  • Lieutenant General G. F. Sayore from 1994-2001
  • Lieutenant General Iddi Gahu 2001-2006
  • Lieutenant General Davis Mwamunyange 2006-2007
  • Lieutenant General Abdulrahman Shimbo 2007-
 
hehehehe
umeyakoroga mwenyewe na wenye data wanakupiga madongo ya kikweli kweli sasa.
leta data kamili ili wadau tuweze kupata lanchi ya wikend hapa.

Ha ha ha ha !!!
Msanii na Adam Lusekelo ngoma droo Ha ha!
 
Si afadhali ya huyu anaejua raisi alikuwa nkapa kuliko wale wanaoamini bado nyerere rais uko mikoani

jamani inawezekana anaishi oldmoshi na bado rais anajua mkapa
madongo kama haya mnaweza kuwakimbiza kabisa watu na kushindwa kutoa hoja zao............,,,,,,.........,,,,,..........,,,,,,,.....
 
You are correct, kumbukumbumbu zangu zimekubali juu ya Mboma na nakubali hakuhusika ila successor wake ndiye Muhusika. Kashfa ya Ndge na Helkopta mbovu za JWTZ iko palepale, Mboma excluded.

JF WASANII TUKO WENGI KWELI

Mboma excluded; Teeeeeeeeeeeeeehhh teh na MEREMETA NAYO?????????
 
Back
Top Bottom