Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimevujishiwa habari kuwa kuna Ufisadi mkubwa ulifanyika ndani ya Jeshi letu lenye heshima la JWTZ. Ufisadi huo ulifanyika mwaka 2006 pale JWTZ ilpouziwa ndege na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!
Habari zinasema kuwa ile Helokopta ya Agusta iliyotengenezwa Italia na iliyoanguka Arusha mwaka jana 2008 na kuuwa watu wanne akiwamo mpiganaji mwaminifu ambaye alikuwa Rubani ilikuwa ni chakavu! Helkopta hiyo ni miongoni mwa nyingine za aina hiyo zilzonunuliwa Italia kwa bei kubwa iliyopaishwa (kama kwenye ununuzi wa Rada!). Inasemekana kuwa Seikali iliunda tume ya kuchunguza ununuzi wa ndege helkopta hizo na Mhandisi wa Kiitaliano aliyekiri kuwa helkopta hizo ziliuzwa zikiwa zimechakaa baadaye alikutwa amekufa hotelini!
Nimefahamishwa kuwa kuna ndege nyingine ya kijeshi yenye uwezo wa kubeba tani 90 ilinunuliwa wakati huo huo. Dege hilo la kizamani ajabu lenye kuendeshwa na marubani watano (5 pilots)! lilinunuliwa na JWTZ baada ya nchi za Malawi na Namibia awali kukataa kulinunua!
Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!
Habari zinasema kuwa ile Helokopta ya Agusta iliyotengenezwa Italia na iliyoanguka Arusha mwaka jana 2008 na kuuwa watu wanne akiwamo mpiganaji mwaminifu ambaye alikuwa Rubani ilikuwa ni chakavu! Helkopta hiyo ni miongoni mwa nyingine za aina hiyo zilzonunuliwa Italia kwa bei kubwa iliyopaishwa (kama kwenye ununuzi wa Rada!). Inasemekana kuwa Seikali iliunda tume ya kuchunguza ununuzi wa ndege helkopta hizo na Mhandisi wa Kiitaliano aliyekiri kuwa helkopta hizo ziliuzwa zikiwa zimechakaa baadaye alikutwa amekufa hotelini!
Nimefahamishwa kuwa kuna ndege nyingine ya kijeshi yenye uwezo wa kubeba tani 90 ilinunuliwa wakati huo huo. Dege hilo la kizamani ajabu lenye kuendeshwa na marubani watano (5 pilots)! lilinunuliwa na JWTZ baada ya nchi za Malawi na Namibia awali kukataa kulinunua!
Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!