Ufisadi mwingine JWTZ: Mboma, Mkapa, Apson wanajua!

Nadhani, tuelewe kkuwa habari hii si mpya sana tumeshaigusa humu humu JF na wengine tulijenga hoja kuwa mojawapo ya watumishi Bw. Mrisho alitakiwa awe kizimbani kwa mambo yale; tuliandika pia kuhusu kina Apson na Mboma (hawa ndio watu hatari zaidi kwa usalama wa taifa letu na bado wanakodolewa macho!).
 
HAWA WOTE WIZI MTUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUPU



General Robert Mboma 1994-2002
General George Waitara 2002-2007
General Davis Mwamunyange 2007-

Lieutenant General G. F. Sayore from 1994-2001
Lieutenant General Iddi Gahu 2001-2006
Lieutenant General Davis Mwamunyange 2006-2007
Lieutenant General Abdulrahman Shimbo 2007-

LETS FINISH THE TOPIC
 
General Robert Mboma 1994-2002 General George Waitara 2002-2007 General Davis Mwamunyange 2007- WIZI MTUPU
 
Huyo aliokupenyezea dataz mwambie akupe na stakabadhi za makubaliano ili tuendane na tarehe za kufungua na kufunga dili ,inawezekana watu walikwisha funga dili na liliobakia ni utekelezaji tu ,kwamba walioingia kushika nyadhifa watakabidhiwa vifaa vilivyokuwa registerd kuwa vitapokewa kutoka Italia ,hivyo wahusika wa dili inaweza kuwa walishapiga mahesabu na kujua kuwa vifaa vitapokelewa wakati wao wameshakuwa na kinga na wapo uraiani.
 
Huyo aliokupenyezea dataz mwambie akupe na stakabadhi za makubaliano ili tuendane na tarehe za kufungua na kufunga dili ,inawezekana watu walikwisha funga dili na liliobakia ni utekelezaji tu ,kwamba walioingia kushika nyadhifa watakabidhiwa vifaa vilivyokuwa registerd kuwa vitapokewa kutoka Italia ,hivyo wahusika wa dili inaweza kuwa walishapiga mahesabu na kujua kuwa vifaa vitapokelewa wakati wao wameshakuwa na kinga na wapo uraiani.mkuu MWIBAKuwa uraiani si tatizo kama walishiriki na kuthibitika na ushaidi hata uwe peponi lazima usimame kwenye mkondo wa sheria........MRAMBA.YONA,MGONJA Wapo madarakani;so usishangae na hao walioko uraiani wakaja kujibu tuhuma zaokama ndio mbinu inayotumika that's wrong tutafute mbadala .
 
0490_1_lg.jpg


OLD NEWS
 
Na mwaka huo Mkapa alikuwa siyo Rais,lakini deal inaweza kuwa ilikuwa concluded wakati wa utawala wao lakini commissioning ikafanywa mwaka 2006.

Siyo kama kariakoo ukienda muda huo huo unatoa cash na kuchukua bidhaa.

Na wakala wa deal hii alikuwa ni yule Vethalani ambaye pia alikuwa wakala wa ununuzi wa Rada 2002 aliyejipatia bilioni 12 zetu bila hata kuvuja jasho na kugawana na mafisadi wenzake
 
yaani yote haya tumeandika na jeshi halikuasi? kwanini leo watu wengine wanataka tuamini kuwa jeshi letu ni dhaifu hivyo kiasi kwamba habari za kumgusa mtu mmoja zinaweza kusababisha maasi? Haiingii akilini.
Jambazi akiwa ameteka nyumba yote hata kuwalaza chini na bastola yake mkononi, bado anakuwa na hofu. Shillingi ikidondoka chumbani au paka kutoka baruti mlangoni, jambazi huyo anaweza kumimina risasi ovyo kila upande kama kichaa kwa hofu!!

It's all about being guilty. They're perturbed and are unconsciously hearing uasi' uasi' chants from every corner, even from their laptops!
 
yaani yote haya tumeandika na jeshi halikuasi? kwanini leo watu wengine wanataka tuamini kuwa jeshi letu ni dhaifu hivyo kiasi kwamba habari za kumgusa mtu mmoja zinaweza kusababisha maasi? Haiingii akilini.
wanatambua ukubwa wa scandal na mazingira ya sasa kwamba huenda wajeda wakafika mahali wakaona imekuwa too much,jeshi limeanza kuanikwa ufisadi unaofanyika huko. Kwa hali hiyo lazima wajihami sana kwa kusingizia uasi ili kuifanya issue ya kufichua ufisadi jeshini ionekane ni uzushi na hatari kwa utulivu wa jeshi.
 
uu
yaani yote haya tumeandika na jeshi halikuasi? kwanini leo watu wengine wanataka tuamini kuwa jeshi letu ni dhaifu hivyo kiasi kwamba habari za kumgusa mtu mmoja zinaweza kusababisha maasi? Haiingii akilini.
Mzee Mwanakijiji, Jeshi letu, ni jeshi tulivu lenye nidhamu ya hali ya juu na utii kwa viongozi wake , kuanzia Amiri Jeshi Mkuu mpaka Koplo Usu kama sisi wananchi wa kawaida tulivyo watulivu tukidumisha amani ili kuilinda sifa ya nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani.

Hata tutendwe vipi, huishia kutulia na kudumisha amani tukisubiri kutendwa tena na tena.

Kuna nchi fulani siikumbuki jina, bei ya mkate iliongezeka kwa senti 50 tuu, watu waliandamana kuelekea Ikulu na almanusura pasikalike mpaka bei iliposhushwa.

Kama sisi raia wa kawaida, tunapandishiwa bei za bidhaa muhimu kila kukicha huku tumejinyamazia, itakuwa wajeshi ambao wanalipwa super salaries huku wakiishi kwa ration na tax free holiday!?.

"Tanzania Kisiwa cha Amani", hakuna migomo wala maandamano!. Wananchi wake ni watulivu na wanajeshi wake ni watiifu milele!.
 
uu<br />
Mzee Mwanakijiji, Jeshi letu, ni jeshi tulivu lenye nidhamu ya hali ya juu na utii kwa viongozi wake , kuanzia Amiri Jeshi Mkuu mpaka Koplo Usu kama sisi wananchi wa kawaida tulivyo watulivu tukidumisha amani ili kuilinda sifa ya nchi yetu ambayo ni kisiwa cha amani.<br />
<br />
Hata tutendwe vipi, huishia kutulia na kudumisha amani tukisubiri kutendwa tena na tena.<br />
<br />
Kuna nchi fulani siikumbuki jina, bei ya mkate iliongezeka kwa senti 50 tuu, watu waliandamana kuelekea Ikulu na almanusura pasikalike mpaka bei iliposhushwa.<br />
<br />
Kama sisi raia wa kawaida, tunapandishiwa bei za bidhaa muhimu kila kukicha huku tumejinyamazia, itakuwa wajeshi ambao wanalipwa super salaries huku wakiishi kwa ration na tax free holiday!?.<br />
<br />
&quot;Tanzania Kisiwa cha Amani&quot;, hakuna migomo wala maandamano!. Wananchi wake ni watulivu na wanajeshi wake ni watiifu milele!.
<br />
<br />
Na hivi vitu viwili amani na utulivu lazima vilindwe kwa gharama yoyote hata kwa kuifisadi nchi. Tanzania shamba la bibi,.....
 
We are counting down!!

Acha tuendelee kujilimbikizia hasira, siku likifumka wanaofisadi nchi watazirudisha. Jeshi letu lina kashfa nyingi, lakini kwa vile michoro ilishafanyika siku nyingi ya kutufanya tuogope kila kitu basi naimani njaa, hali mbaya ya maisha, matabaka ndo vitakuwa visu vikali kwenye hii amani na utulivu.
 
Nimevujishiwa habari kuwa kuna Ufisadi mkubwa ulifanyika ndani ya Jeshi letu lenye heshima la JWTZ. Ufisadi huo ulifanyika mwaka 2006 pale JWTZ ilpouziwa ndege na helkopta zilizochakaa wakati malipo yaliyofanyika ni kwa ndege mpya!

Habari zinasema kuwa ile Helokopta ya Agusta iliyotengenezwa Italia na iliyoanguka Arusha mwaka jana 2008 na kuuwa watu wanne akiwamo mpiganaji mwaminifu ambaye alikuwa Rubani ilikuwa ni chakavu! Helkopta hiyo ni miongoni mwa nyingine za aina hiyo zilzonunuliwa Italia kwa bei kubwa iliyopaishwa (kama kwenye ununuzi wa Rada!). Inasemekana kuwa Seikali iliunda tume ya kuchunguza ununuzi wa ndege helkopta hizo na Mhandisi wa Kiitaliano aliyekiri kuwa helkopta hizo ziliuzwa zikiwa zimechakaa baadaye alikutwa amekufa hotelini!

Nimefahamishwa kuwa kuna ndege nyingine ya kijeshi yenye uwezo wa kubeba tani 90 ilinunuliwa wakati huo huo. Dege hilo la kizamani ajabu lenye kuendeshwa na marubani watano (5 pilots)! lilinunuliwa na JWTZ baada ya nchi za Malawi na Namibia awali kukataa kulinunua!

Delas zote hizo zilifanyika wakati wa Utawala wa awamu ya pili ya Mkapa! Kilicho wazi ni kuwa Mkapa, Colnel Apson (Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wakati hu) na Mkuu wa Majeshi wakati huo Jenerali Mbona wanaufahamu fika ufisadi huo na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa baada ya Ufisadi huo kubainika zaidi ya shahidi muhimu kukutwa amekufa hotelini!

Please wadau haya mambo yalishazungumzika huko nyuma wakati huo zama za mzee Jenerali Ulimwengu kwenye gazeti la RAI sio habari mpya hii.Tena facts kibao tu huko ziliwekwa wazi.Wajameni haya mambo ni malimbikizo uwenda kiinua mgongo watanzania wakapata Lump Sump yote Mungu atakapochukia matendo ya baadhi ya waja wake.
 
Back
Top Bottom