Ufisadi Bila Majibu: Rais Kikwete na Lowassa sasa jiuzuluni ndani ya siku 90 kupisha uchunguzi huru

Sakata la Richmond / Dowans kila siku linzidi kulisukuma mbali zaidi ndoto ya Mhe Lowasa kuweza kuaminiwa kukabidhiwa nchi.

Isitoshe, kauli ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere juu yake bado ni mbichi katika akili ya wengi huku tukizidi kuonanisha madai mengi tu, tutakazozitoa kwa wakati mwafaka, na ukweli wambo tunvyoyaona mitaani huku.
 
Ni wakati wa Krismasi na siku kuu ya Mwaka Mpya bila matumaini ya uchumi kuboreka kesho wala keshokutwa. Kherini hivo hivo lakini nyote wana- JF pamoja na wasomaji wetu wengineo.
 
Siku kuu ya krismasi na maiti kuendelea kuopolewa kule Jangwani Dar, sina hamu!!!!!!!!
 
Kiongozi kijana anayedharau uongozi wake na kukebehi katiba ya chama inapofuatwa bila hila, huyo ni dikteta wa huko siku za usoni akipata madaraka. Nidhamu na uhuru wa maoni ni sharti ziende sambamba bila nyingine kuachwa nyuma.
 
Msitupotezee muda wetu bure kwa hii hoja.kwani hapo mbona jibu ni moja na liko wazi kabisa kuwa lowasa alikwsha jiuzulu siku nyingi tu uwaziri mkuu?ili kutonyesha njia na huyo boss wake jk ili naye ajiuzulu lakini cha kushangaza na ajabu ni kwamba hadi leo hii huyo boss wake yaani jk hataki na amegoma kabisa kijiuzulu?kwanini asfuate mfano wa huyo rafiki yake naye ajiuzulu tu maana sisi wananchi picha na ukweli wote mpaka sasa tumeishaujua kuwa jk ndio mtuhumiwa wetu namba moja katika sakata la richmond na dowans.
 
CCM ndani ya Mwaka Mpya 2012 kufanya uchaguzi wa kichama huku kikiwa kimeng'ang'aniwa na viporo vya 2011 ( Kujivua Gamba na Kupisha Kuundwa kwa Katiba ya Wananchi) hakika SI SALAMA. Narudia, ndani ya CCM kuna hatari kubwa mlango!!!

Wengine tulitahadharisha mapema sana mwaka jana juu ya tabia ya kudharau na kuahirisha kila kitu kila unapowiwa na kugeuza shingo upande ukiwasonya waliokupa tahadhari kwa nia njema. Nasema ndani ya CCM hali inatisha na kusikitisha pia kunakoelekea 2015.
 
Kheri ya mwaka Mpya wanabodi?

Kwa kuwa siasa zetu Tanzania ghafla zimegeuka kuwa sawa na mchezo ule wa kutumia saaana uwezo mkubwa ki-akili ndipo mtu upate kushinda mchezo wenyewe, Mchezo wa CHASE ambao siku zote huchezwa kwenye ubao maalum uitwao CHASEBOARD, vivyo hivyo kuna kusudio la kuendelea kutoa TAFSIRI za mara kwa mara hapa juu ya MAMBO NYETI na sura inayotarajiwa kuonekana kwa wakati unaofuatia.

Tofauti na mambo ya kinajimu kule Mwembechai Magomeni, hapa kikubwa na pekee kitakachozingatiwa ni kutumia uwezo tulionao kusoma alama za nyakati, changanyia na taarifa nyeti kibindoni na kuweza kuelezea nini kitakachofuatia kisiasa nchini.

Siku zote ' Be on the KNOW' ili kujizuia mapema na tatiza la shinikizo la damu juu ya mambo mbali mbali nchini. Swala nyeti mno hivi sasa mezani hapa ni Kimbunga cha Tsunami ndani ya CCM, hatima ya sera ya UFISADI na mafisadi na mwelekeo baada ya uchaguzi wa ndani kunapoelekea uchaguzi mkuu 2015 kwa kuzingatia shinikzo la wananchi kutaka mabadiliko makubwa au maziko maziko CCM mwaka huu.

Haya yote yataelezewa kwa uchache wake mara kwa mara endapo ushauri wa kujiuzulu kwa watuhumiwa wa ufisadi wote nchini hautozingatiwa. Karibu kuendelea kupata tafsiri za 'THE POLITICAL CHASEBOARD TANZANIA 2012 - 2015' pamoja na tafsiri zake hatua kwa hatua juu ya washikadau mbalimbali nchini mwetu.
 
THE POLITICAL CHASEBOARD TANZANIA 2012 - 2015:
TAFSIRI YA TAARIFA NYETI NYUMA YA PAZIA NA MWELEKEO KISIASA KWA CCM NCHINI


Ukweli wa mambo ni kwamba mambo ni mazito kuliko kawaida kwa CCM na ndani yake mwaka huu mpaka kunapowadia uchaguzi mkuu mwingine 2015.

Kwa ujumla uchaguzi wa ndani ya chama hiki ambao ndio utakaotoa dira ya mgombea wao baadaye, hivi sasa ni swala nyeti kupita kawaida - in a nutshell, ni NI JAMBO LA KUFA NA KUPONA kwa kila atumainiye kupata tiketi hiyo kugombea urais wa JMT!!

kwa CCM juu ya jambo hili nyeti mno hakika kote kote kuna gharama tena kubwa mno; kwa upande wa kwanza ni kwamba MAFISADI kuvuliwa gamba ni kwamba siri yooote itatoka rasmi nje hasa juu ya biashara kichaa ya Richmond / Dowans na ukwapwaji wa fedha zetu kule benki kuu.

Kwa upande wa pili ni kwamba endapo hii nadharia ya 'FULANI USIMGUSE' kweli utazingatiwa basi sura halisi ni kwamba CCM itabaki a minority political party madarakani tangu mwaka huu kwa kuona wabunge kibao wakijiuzulu nyadhifa zao kwa kupinga hatua hiyo na kujaribu kusalimisha ubunge wao kwa njia ya kujiweka mbali na Chama cha Kifisadi.

Kitendo hiki kitafuatwa kwa karibu sana na wanachama wa kawaida CCM nao kusema yametosha (kwamba CCM si mama zao wala baba zao) na kutimkia vyama vingine kwa wingi.

Hata hivyo, wabunge watakaojiuzulu nyadhifa zao watajitokeza tena kuomba nyadhifa hivo kwa mafanikio makubwa chini ya udhamini wa vyama tofauti na CCM.

Na kama hilo halitoshi, ni mara baada ya uchaguzi ndani ya CCM mapema mwaka huu ambapo tutashuhudia vyama vipya kusajiliwa na vile vingine vidogo vidogo vilivyozoeleka kuwika tu ndani ya brief-case za wamiliki wao binafsi safari hii vitapata uhai mpya kabisaaa!!
 
THE POLITICAL CHASEBOARD TANZANIA 2012 - 2015:
'UVUAJI GAMBA' NA 'UUNDAJA KATIBA MPYA YA WNANCHI' NDIO MAMBO MAZITO MAWILI KATI YA MENGI YATAKAYOTOAMUA CCM KUZIKWA KIMOJA AU KUENDELEA KUISHI KWA MATUMAINI

Kati ya mambo mazito katika mwaka huu wa 2012 ambayo CCM kisiposhughulikia kwa haraka na umakini mkubwa basi ndivyo vitakvyokua lango la chama hiki kuelekea kaburini kisiasa ni pamoja na mambo mawili haya; (1) kurudisha swala la uundaji katiba mpya kwa wananchi wenyewe kuisimamia na lile swala la (2) pili la kujivua gamba.

Endapo CCM itapata viongozi wake wapya tangu sasa BILA KWANZA KUJIVUA GAMBA, kwa wapiga kura tafsiri yake halisi itakua ni kwamba tayari GAMBA JIPYA litakua limezaliwa mgongoni mwake hiyo sfu mpya ya uongozi tayari kwa kuendeleza mradi wao ule ule wa UFISADI mpaka kufa na hivyo kukifanya chama hiki kisiweze KUCHAGULIKA hata kwa kiwango cha kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni 2015.

Na hilo ndilo jambo la msingi zaidi kisiasa nchini ambacho wadadisi wa mambo ya kisiasa nchini hivi sasa wamekodolea macho zaidi.

Hakika kuna hatari kubwa zaidi kwamba CCM huenda kikakimbiwa na wanachama wengi zaidi kwa kitendo cha kushindwa kujivua gamba kuliko hata ile hatari wanayoihisi kwa kutekeleza jambo hili zito kitaifa kuchagua kujitenga na Gamba au kuendelea kula nayo yamini.
 
Kitimtim uchaguzi mkuu wa ndani CCM 2012.

Wajumbe wengi toka makundi mbalimbali hasimu CCM hivi sasa wamesikika wakisema ya kwamba HAKI katika Uchaguzi wa ndani CCM mwaka huu bila TAKUKURU huru na imara mle ndani kamwe haiwezikani. Na ni tangu hapo ndipo kamba kitakapoanzia kukatika jumla.

Nafasi za uongozi kwa mtindo wa mnada bila kurudi nyuma na watu kibao kujiengua kwa hilo.
 
Iran nuke work at bunker is confirmed

By GEORGE JAHN | AP – 6 hrs ago

  • This image provided by NASA shows the Strait of Hormuz taken from the International …
  • FILE - In this April 8, 2008 file photo provided by the Iranian President's Office, …
VIENNA (AP) - Diplomats on Monday confirmed a report that Iran has begun uranium enrichment at an underground bunker and said the news is particularly worrying because the site is being used to make material that can be upgraded more quickly for use in a nuclear weapon than the nation's main enriched stockpile.

The diplomats said that centrifuges at the Fordo site near Iran's holy city of Qom are churning out uranium enriched to 20 percent. That level is higher than the 3.5 percent being made at Iran's main enrichment plant and can be turned into fissile warhead material faster and with less work.

The move was expected, with Tehran announcing months ago that it would use the Fordo facility for 20 percent production. Iran began to further enrich a small part of its uranium stockpile to nearly 20 percent as of February 2010 at a less-protected experimental site, saying it needs the higher grade material to produce fuel for a Tehran reactor that makes medical radioisotopes for cancer patients.

But with the time and effort reduced between making weapons-grade uranium from the 20-percent level, the start of the Fordo operation increases international fears that Iran is determined to move closer to the ability to make nuclear warheads - despite insistence by the Islamic Republic that it is enriching only to make reactor fuel. Its dismissal of findings by the International Atomic Energy Agency of secret experimental work on a nuclear weapons program also worries the international community.

Iran recently threatened to blockade the Strait of Hormuz, an important transit route for almost one-fifth of the oil traded globally. Tehran also has been angered by the West's efforts to sanction Iran over its nuclear program, including a possible ban on European imports of Iranian oil.

Fordo's location increases concerns.

The facility is a hardened tunnel and is protected by air defense missile batteries and the Revolutionary Guard. The site is located about 20 miles (32 kilometers) north of Qom, the religious nerve center of Iran's ruling system. The semiofficial Mehr news agency quoted Iran's nuclear chief, Fereidoun Abbasi, as saying Sunday that "the enemy doesn't have the ability to damage it."

Built next to a military complex, Fordo was long kept secret and was only acknowledged by Iran after it was identified by Western intelligence agencies in September 2009.

Two diplomats spoke to The Associated Press on condition of anonymity because their information was confidential and based on an inspection of Fordo last week by the International Atomic Energy Agency.

They said 348 machines were operating at Fordo in two cascades - the linked up configuration needed to enrich. Two other cascades were nearly assembled but not working, they said. The centrifuges appeared to be the standard old-generation machines in use at the main enrichment site at Natanz and not advanced, more efficient prototype versions.

About 8,000 centrifuges are operating at Natanz, where five years of enrichment have turned out enough material for several nuclear warheads.

The Fordo startup was first reported Sunday by the daily Kaynan, a hardline newspaper close to Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei, who has the final word on all important matters of state. Abbasi was more circumspect, saying Saturday that his country will "soon" begin enrichment at Fordo.

It was impossible to reconcile the two reports. But the diplomats speculated that they could be a further reflection of divisions within Iran's ruling circles about how upfront the nation should be with nuclear activities that are drawing increasingly severe international penalties beyond four sets of U.N. Security Council sanctions.

Iran - which claims it only seeks nuclear reactors for energy and research - has sharply increased its threats and military posturing against stronger pressures, including U.S. sanctions targeting Iran's Central Bank in attempts to complicate its ability to sell oil.

A senior commander of the Revolutionary Guard force was recently quoted as saying Tehran's leadership has decided to order the closure of the Strait of Hormuz, a strategic oil route, if the country's petroleum exports are blocked. Revolutionary Guard ground forces also staged war games in eastern Iran in an apparent display of resolve against U.S. forces just over the border in Afghanistan.

Iranian officials have issued similar threats, but this was the strongest statement yet by a top commander in the security establishment.

"The supreme authorities ... have insisted that if enemies block the export of our oil, we won't allow a drop of oil to pass through the Strait of Hormuz. This is the strategy of the Islamic Republic in countering such threats," Revolutionary Guard deputy commander Ali Ashraf Nouri was quoted as saying by another newspaper, the Khorasan daily.

Adding to Iran-U.S. tensions, Iran's state radio reported Monday that a Tehran court has convicted an American man of working for the CIA and sentenced him to death.

Iran charges that as a former U.S. Marine, Amir Mirzaei Hekmati received special training and served at U.S. military bases in Iraq and Afghanistan before heading to Iran for his alleged intelligence mission. The radio report did not say when the verdict was issued.

Under Iranian law, Hekmati, a dual U.S.-Iranian national has 20 days to appeal. His father, a professor at a community college in Flint, Michigan, has said his son is not a CIA spy and was visiting his grandmothers in Iran when he was arrested.

In an interview broadcast Sunday, U.S. Defense Secretary Leon Panetta said Iran is laying the groundwork for making nuclear weapons someday, but is not yet building a bomb. Panetta reiterated U.S. concerns about a unilateral strike by Israel against Iran's nuclear facilities, saying the action could trigger Iranian retaliation against U.S. forces in the region.

"We have common cause here" with Israel, he said. "And the better approach is for us to work together."

Panetta's remarks on CBS' "Face the Nation" reflect the U.S. administration's long-held view that Iran is not yet committed to building a nuclear arsenal, only to create the industrial and scientific capacity to allow one if its leaders to decide to take that final step.

President Barack Obama approved new sanctions against Iran a week ago, targeting the central bank and its ability to sell petroleum abroad. The U.S. has delayed implementing the sanctions for at least six months, worried about sending the price of oil higher at a time when the global economy is struggling.

The U.S. and Israel have said that all options remain open, including military action, should Iran continue with its enrichment program.

WARNING:


Some individuals and organisations in Tanzania which may have played a prominent part in making Iranian zeal with the nuclear weapon by making available to the Iranian government of illegaly ilicited uranium may soon pay for this DEARLY as the world is never happy with tht kind of shordy deal.

The heavens that they enjoy in our Tanzanian neighbourhoods today; promoting corruption, rigging elections and recruiting militants would very soon be history.

The world is dying to see Tanzania a freer society away from the illegal hands in and around that are currently paainting us black.
 
Nyuklia ndani ya handaki eneo la Fordo nchini Iran ni ishara ya hatari kubwa inavyosogelea uso wa ulimwengu hivi sasa. Juhudi hizi ni za kuzuiliwa mapema zaidi bila kuchelewa ili kuhakikishia dunia usalama wake zaidi.
 
VIJANA TUCHANGAMKIE NAFASI HII HADIMU KUJIFUNZA KWA VITENDO 'MAANA NA MISINGI YA UONGOZI ADILIFU' KWA VITENDO KUTOKA KWA DR SLAA NA JOPO LAKE KWA MANUFAA YA TAIFA LETU BAADAYE.

Wataalam wa mambo ya ki-uongozi husema kwamba siku zote kiongozi bora ni yule mwenye (i) uwezo wa kuongoza kwa kutoa mifano bora, (ii) ni yule anayechukua nafasi yake kuwaandaa wenzake kuja kuwa viongozi wa kesho pindi anapotundika daluga, na (iii) ni mtu ambaye siku zote hujihisi kuwa ni mwanafuzi kutoka kwa kila mtu hata yule asiyedhaniwa kisha kuchuja kilicho bora zaidi kuzingatia kwenye maamuzi yake ya kila siku.

Wakati Mwalimu Nyerere na Dr Slaa wanaonekana kukidhi sifa kibao kati ya hizo 3 hapo juu, Dokta wa ukweli anaonekana kwenda hatua mbele zaidi kufanya juhudi za makusudi KUWAANDAA VIJANA WENZETU kuonekana kuwa ni wenye dira ya kutegemeka, nidhamu ya uongozi bora na wenye kufikiri ki-undani zaidi kabla ya kutoa maamuzi yenye manufaa zaidi kwa taifa zima. Katika hili Dr Slaa bado hatutakuchia bado maana pengo la Mwalimu Nyerere kutokuandaa idadi ya kutosha ya kundi la viongozi waadilifu hivi sasa ni janga la taifa.

Kwa mtaji hadimu ya uzingativu wa mafunzo ya UONGOZI BORA NA ADILIFU unaoendelea kutolewa kwa vitendo ndani ya CHADEMA kwa vijana wenzetu mlioko uongozini hivi sasa ndio mtakaogeuka mwanga wa taifa pindi akina Dr Slaa nao watakapokua wanarudi kupumzika nyumbani.

Ndio, nasema ya kwamba ni enyi vijana wenzetu wachache mtakao chukua muda wenu kusikiliza, kujikana na TAMAA NA UROHO WA MADARAKA wa leo leo bila kukawia, na kuzingatia mafuzo hayo toka kwa jopo kubwa la wakomavu wa MISINGI YA UONGOZI ADILIFU kama vile akina Dr Slaa, Mzee Edwin Mtei, Bob Makani, Prof Baregu, Mzee Ndesamburo, Prof Safari na wengine wengi tu huo - ni nyinyi ndio mtakaookoa taifa letu hapo baadaye kuondokana na MOMONYOKO WA KI-UONGOZI hapo baadaye kidogo

Mbali na viwango mbali mbali vya elimu mlivyonavyo, ni matarajio yangu kwamba MAFUNZO YA UONGOZI ADILIFU ni jambo lisilokwepeka kwenu hata kidogo kwa njia ya vitendo. Kati ya vijana ninaotamani kuwaona wakizingatia zaidi mafunzo haya tena kwa NIDHAMU YA HALI YA JUU ni pamoja na hawa hapa chini kwa kuwa tunao matarajio makubwa na nyinyi hapo baadaye ndani ya CHADEMA:

1. Freeman Mbowe
2. Dr Kitila Mkumbo
3. Mhe Regia Mtema

4. Mhe Zitto Zuberi Kabwe
5. Mhe John Mnyika
6. Benno Malisa (pindi atakapoona mwanga na kuvuka kuja CDM)

7. Godbless Lema
8. Hussein Bashe (pindi atakapoona mwanga na kuvuka kuja CDM)
9. Ben Sannane

10. Mhe Halima Mdee (aandaliwe mapema kuwa Naibu Katibu Mkuu Mtarajiwa)
11. Mhe Kihwelu (aandaliwe Oganizesheni za akina Mama Taifa)
12. Mhe Heche

13. Mhe Wenje
14. Mushi
15. Nanyaro
16. Mwita Maranya ...

NB: Hata hivyo uongozi wa taifa CHADEMA naomba mchukulia kama changamoto ya mwaka huu 2012 kwamba mtafanya juhudi maalum kutafuta vijana zaidi WAKIKE kila pembe ya nchi hii, wenye ari na utayari wa kutumikia taifa letu ili TUPATE KUONGEZA idadi ya AKINA MAMA CHIPUKIZI kwenye safu mbalimbali ya kuandaliwa nao kuja kuwa viongozi waadilifu katika taifa hili.

Historia inaonyesha wazi kwamba taifa letu hatujawa makini vyakutosha katika kuandaa akinamama kuja kushika uongozi bila kutegemea vyeo vya kuteuliwa. Heko Marehemu Bibi Titi Mohamed na Mama Getrude Mongela kwa kuwa mliwakilisha vema katika safu hii ambayo siku zote haina inadi ya kuridhisha uongozini.

Taifa letu linahitaji viongozi waadilifu, wenye mitazamo inayovuka mipaka ya kidini, kikanda, kikabila, Ubara na na Unguja, wenye kujizuia na UFISADI kwa manufaa ya vizazi vingi vya taifa letu; Tanzania linawahitaji hivi sasa kuliko wakati mwingine wowote ule.

HATA VIJANA NAO WAKINAWA VEMA HURUSIWA KUSHIRIKI MLO MEZA KUU NA WAZEE: DR SLAA KAZI YAKO CHADEMA IMETAMBULIKA KWA VIJANA!!

"Hata kijana akinawa vizuri na vile vile kuonekana kusafisha mikono yake vema katika jamii yake inayomzunguka, kuna uwezekano mkubwa akakaribishwa meza kuu na kushiriki mlo kwa pamoja na Wazee," mwisho wa kunukuu toka kwa Profesa Chinua Achebe, (katibu chake cha 'Jamii Msambaratiko').

Vivyo hivyo, ni wazi kwamba malezi ya utaifa na ujasiri katika vijana hasa wa CHADEMA umemgusa Mhe Kasi na Viwango.

Kamanda Lema kama ulikua hujui, msimamo wako thabiti wa kutetea pasipo kurudi nyuma dhana ya heshima kwa '
UBINADAMU, HAKI NA UTU WA MTANZANIA'ni dira hiyo nzito ambayo hadi sasa inawafanya MAFISADI viti kutokukalika na amani kwao kutoweka baada ya kuuona uungwaji mkono unavyopatikana toka kwa vijana wote nchini bila kujali itikadi.

Mhe Dr Slaa, hongera sana kwa uongozi thabiti na malezi bora kwa vijana wa CHADEMA wakiwa na dira ya kueleweka na mtazamo wa kitaifa zaidi.

Ni ukweli usiopingika kwamba hadi sasa umeweza kuwapa vijana kuanzi Mhe Mbowe, Zitto Kabwe, Regia, Halima Mdee, Kiwelu, Tundu Lissu, Ben, Heche, Wenje, Mushi, John Mnyika na wengine wengi ulwe mwelekeo hdimu ya
KUZUNGUMZA NA KUISHI SIASA ZA KITAIFA ZAIDI (Vijana CHADEMA kwao chauvinist politics hupewa kisogo) kuliko zile siasa za vitongojini na zile za 'Maslahi ya Chama Chetu'.

Hakika mtu akitazama saaaana atagundua kwamba mafunzo ya uongozi imara toka kwa Dr Slaa kwa Ma-Kada wa CHADEMA huenda ikawa kwao wao umewaambia kwamba siri ya mafanikio kisiasa kwa kipindi kirefu zaidi ni kuendeleza SIASA ZA KUTETEA TU MASLAHI YA UMMA.
 
Hivi inakua vipi kwa Mtumishi wa Mungu, Beatrice Muhone au Mama Ronia kwa upande mmoja na Baba Richie wa Monduli kwa upande mwingine kuhiari kusaliti ndoa zao ambazo ni SAKRAMENTI TAKATIFU kwa kwenda kukopa huduma ya malazi kwenye hoteli ya kifahari jijini Dar es Salaam (Movenpick) kwa zaidi ya kipindi cha wiki nzima KWA GHARAMA YA KODI ZETU?????????????????????

Wakristo tunakwenda wapi kwa ufuska wa namna hii usiothamini kitu NDOA TAKATIFU wala laana ya kutumbua maraha kifahari kwa gharama za kodi za kudunduliza za taifa masikini kama ilivyo nchi yetu Tanzania?????????????
 
JF USALITI HUU KWA MPENDWA WETU MH REGIA MTEMA TUMEUANZA LEO LEO HATA KABLA MWENZETU HAJAPUMZIKA KABURINI JAPO HATA KWA SIKU MOJA?

Wana-JF, siku zote jukwaa hili limejipambanua kama sauti ya wale wasio na sauti na vile vile Marehemu mpendwa dada yetu Mh Regia Mtema ameweza kupewa hiyo HESHMA YA KIFALME na sisi vijana wenzake kote nchini (si kwa mtaji wa vyeo alivyokua navyo bali ni) kwa kujitokeza kwake hadharani na KUKUNWA NA KIU ya kuwasemea wale wasio na sauti wala pa kusemea.

Je inakua vipi Ndugu yetu Godfrey Muhone (ambaye ni dereva tu pale Arusha) na WaTanzania walipa kodi wenye kipato cha kuungaaunga sote kama wanyonge kiasi hicho tuendelee kuteswa na UFUSKA WA Mama Ronia pamoja na Baba Richie huku jukwaa hili likinyamazia na hata kudiriki kurudisha kwenye friji TAARIFA NYETI ambazo mmoja wetu kahiari kutundika hapa ukutani leo hii hii.

Je, hii ichukuliwe kuwa ni USALITI wa azma wa kipenzi chetu Regia Mtema hata kabla ya kupumzika kaburini japo hata kwa siku moja tu au ndio kusema kitendo cha Ndigu yetu Godfrey Muhone kufadhaishwa na kitendo cha MKE WAKE WA NDOA kugeuzwa KITENESI cha kila mwenye cheo nchini aliyejawa na kiu ya NGONO UZEMBE NA HARAMU kwenye hoteli za kifahari na sisi JF tunaliunga mkono jambo hili???

Mkuu INVISIBLE, Maxence Mello, William Malecela pamoja na vingunge wengine mliowahi kusikika kuwa na uhusiano wa kumiliki jamvi letu hili muhimu sana kwa jamii yetu ya Tanzania; hebu tupeni majibu hapa kwamba kweli tangu sasa ni SERA YETU RASMI kubariki ufuska, utumbuaji wa kodi kwa anasa za kimwili na vile vile sisi kujipanga vema kuwadhalilisha wanyonge kama Baba Ronia pale Arusha na kuwatemea mate usoni walipakodi wenye msoto wa maisha milele pindi kodi zetu zinapotumika kusiko???

Je kama ingalikua ni wewe unayesoma maoni yangu hivi sasa hapa kuwa ndiye Ndugu Godfrey Muhone yule mwimba kwaya Arusha na mwenye kuona mke wake wa ndoa akigeuzwa daladala ya Mbagala Charambe / Tegeta na kila mwenye kupta cheo Tanzania hii UNGEJISIKIAJE pale ambapo hata tegemeo lako la mwisho kama JF nalo linageuka na kujiunga na Simba mla kisicho chake???????????

JF nipeni majibu hapa juu ya hili; nguzo muhimu ya familia si tu kwamba imetikiswa Arusha bali ni kwamba imebomolewa na kung'olewa kabisa na WENYE NGUVU NA MADARAKA wasiojali na kuheshima watu wadogo wadogo kama Dereva Godfrey Muhone pindi unapomnyang'anya KILICHO CHAKE PEKEE CHA MOYONI hapa duniani.
 


Mwenzenu nimetatizwa mno na taarifa nilizozisoma leo hii juu ya huyu mama hapa jukwaani kabla ya Moderator wa zamu kuon ni BUSARA kuzificha ili yule dereva mume mtu, Godfrey Muhone, pale Arusha yeye alie tu!!!
 


Huyu mke wa mtu, Mama Ronia aliweza kutumbua maisha kwenye hoteli hii hapa ya kifahari kwa gharama ya kodi za WaTanzania kwa kipindi chote cha WIKI NZIMA bila hata Mwana-JF yeyote kuona haja kulikemea jambo hilo HADHARANI.

Gharam ya hoteli hiyo kwa siku moja tu kwa huduma ya malazi bado chakula za Ughaibuni; sitmani hata kujua jumla ya gharama yote (nisijepata BP bure) huku nikikumbuka kwamba nikikumbuka kwamba kula WaTanzania wengine wamenusurika kufa wakati wa uzazi huku wakizaliwa kule Hospitali ya Temeke kwa kutumia msaada wa wanga kutoka kwenye tochi ya simu ya Mchina huku mwingine yeye akitumbua kodi zetu holela.
 
chambre.jpg


Mwinjilisi wa nyimbo za kumtukuza Mungu wetu, Ndg Beatrice Muhone au Mama Ronia, katumbua maisha humu kwa siku 7 mfululizo bila hata y huruma jinsi kodi hizo alizokua akiziteketeza kwa anasa ya kimwili jinsi gani akina mama wenzake katika kona moja wapo ya taifa letu walivyokua wakizihitaji ili uzazi wao uende salama wapone na vichanga pia vipone.

Mama Ronia wewe, kumbe si kila iliitaye jina Yesu, Yesu, Yesu ... !!!
 
Back
Top Bottom