Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
- Thread starter
- #281
Kwa jinsi mambo yalivyochangamana kushoto kulia katika nchi yetu dawa ni kuanza upya katika kupatikana kwa katiba mpya ya wananchi ili ndio mambo yapate kuendelea vizuri tena. Mbali na hapo ni kucheza makid makida tu.