Ufaulu kidato cha nne ni upeo mkubwa wa kuelewa wa wanafunzi au uchakachuaji wa mitihani ili kupaisha ufaulu?

Mitihani ya siku hizi ni ujinga mtupu, tangu lini kukawa na mitihani ya "ku-bet"?
Mfano wa swali:
Kamilisha senensi ifuatayo:-

Nyer....alikuwa rais wa kwanza wa Tanzania


Kwa swali kama hili wanafunzi wa kidato cha 4 watakosa kufaulu?
 
Wadau nawasabahi.

Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?

Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?
Vyuo vipo vya kumwaga wasipowapeleka vitaishia kuishi popo tu Ila yote kwa yote wakimaliza kusoma Ajira hakuna wakajiajiri
 
Kuna binti wa ndugu yangu nilikua namsaidia masomo kwa kusema kweli kichwani ni empty kabisa cha kushangaza matokeo ya form 4 mwaka jana yametoka kafaulu vizuri sana, nikajua tu hapa walipewa majibu shuleni kwao hawa.
 
Wadau nawasabahi.

Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?

Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?
Ufaulu mkubwa ni maneno ya Wanasiasa yenye lengo la kuwapumbaza Walalahoi.
Dadavua idadi ya Wanafunzi kwa madaraja waliyopata.
Wanafunzi wenye Div-0 na Div-4 ulinganishe na wale wenye Div-1 mpaka Div-3.
Shule ya kwenye Kata yangu, wenye Div-4 na Div-0 ni Asilimia 75 ya Watahiniwa.
Huo ni ufaulu mkubwa?
Nani anaweza kusherehekea mtoto aliyepata Div-4?
 
kuna ile ya mfumo wa alama kubadilishwa, alama A kuanzia 75 wakati ilikua inaanzia 81, sina uhakika lakini

halafu sidhani kama zamani mitihani ilikua ina 'format' sina uhakika wajuzi wanirekebishe

mimi nimefanya NECTA ya 2020, nakumbuka tulipewa format za mitihani yote, zinatolewa na TIE sijui NECTA, yaani inajulikana swali namba flani litatokea mada fulani, inarahisisha mambo

kwahiyo msidhani watoto wanasoma mtaala, wanakariri 'format'
Duuh.

Ningepata A zote
 
Kuna kitu cha kufanya kwenye Baraza la Mitihani.
Tunataka watu wafaulu sana,lakini wawe bora kwenye maisha halisi.
Ukimchukua mwenye division 1:7 wa leo ukamshindanisha na mtu wa division 3:24 ya miaka ya 2010 kurudi nyuma, utaweza kulia kwa ajili ya Taifa hili.
Kwa nini serikali inaogopa kukaza ufaulu?
Ina sababu zake.
Mfano kutafuta kukubalika kwa wananchi, na pia kupunguza vibaka mtaani kwa kuwapa ufaulu kiholela.
Mwisho, tunaua taifa letu wenyewe kwa faida za watu wachache.
 
Kuna kitu cha kufanya kwenye Baraza la Mitihani.
Tunataka watu wafaulu sana,lakini wawe bora kwenye maisha halisi.
Ukimchukua mwenye division 1:7 wa leo ukamshindanisha na mtu wa division 3:24 ya miaka ya 2010 kurudi nyuma, utaweza kulia kwa ajili ya Taifa hili.
Kwa nini serikali inaogopa kukaza ufaulu?
Ina sababu zake.
Mfano kutafuta kukubalika kwa wananchi, na pia kupunguza vibaka mtaani kwa kuwapa ufaulu kiholela.
Mwisho, tunaua taifa letu wenyewe kwa faida za watu wachache.
Miaka ya 2010 kurudi nyuma , mtu aliyefaulu ni mpambanaji haswa kwa shule zetu za kata
 
Wadau nawasabahi.

Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?

Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?
Maswali huwa ni yale yale miaka yote hakuna mabadiliko
 
Tusidanganyane, serikali inaharibu hawa vijana haya matokeo ni tofauti kabisa na uelewa wa walio wengi. Mimi mwenyewe kijana wangu amepata division one ya point 10 lakini nikiri ni wazi hakustahili kuwa na kiwango hicho cha ufaulu hasa kwa kuwa ninaufahamu vizuri uwezo wake. Kuna shida mahali sio bure. Serikali iache siasa kwenye swala la elimu.
Upo sahihi, kama ufaulu umepanda mbona vigogo watoto wao hawasomi kwenye hizi shule za umma?
 
Lakini mbona haiakisi maarifa na utambuzi wanachokijua huku mitaani.
Utamkuta mtoto form 4 anayo 1-7, form six anayo 1-3 ila ukimuuliza kuwa waziri mkuu na spika wa bunge kwa Tanzania wanapatikanaje ...anabaki amekodoa macho.
Ukimuiza Wilaya ya Chunya ipo Mkoa gani anabaki ameshangaa.
Ukimuuliza ni mazingira gani yanasababisha Rais kukoma kuwa Rais hapa Tanzania ...hajui.
Ukimuuliza akutajie haki zake angalau tano, wapi.
Hayo maswali ya biolojia na kemia alizopata A baada ya miezi 6 hawezi tena kuyajibu.
Kuna shida sehemu.
nimecheka sanaa.
 
Nenda huko vyuoni ndipo utaona madudu aisee. First year hajui tofautisha former letter na non-formal letter.

Ukiwapa computer hakuna wanachojua anatype kama ile keyboard inawaka moto.
woiiiiih
 
Tusidanganyane, serikali inaharibu hawa vijana haya matokeo ni tofauti kabisa na uelewa wa walio wengi. Mimi mwenyewe kijana wangu amepata division one ya point 10 lakini nikiri ni wazi hakustahili kuwa na kiwango hicho cha ufaulu hasa kwa kuwa ninaufahamu vizuri uwezo wake. Kuna shida mahali sio bure. Serikali iache siasa kwenye swala la elimu.
Wee mzazi hebu andaa pesa ya kumsomeshea mtoto advance au chuo. Acha blah blah.
kakate rufaa bas.
 
Wadau nawasabahi.

Kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi wa kidato na cha 6 kupanda sana kuanzia awamu ya 4 mpaka hii ya 6 nimekuwa najiuliza kuna nini kinachosababisha ufaulu kuwa mkubwa ili hali wanafunzi hao hao wakifika vyuoni wanafeli vibaya mfano Law School na Muhimbili?

Je, huu ufaulu ni wanafunzi kuwa na upeo mkubwa wa akili au ni uchakachuaji wa mitihani unaofanywa na necta ili kupaaisha ufaulu wa wanafunzi na kuwafurahisha wazazi?
Kusoma na kupata maarifa darasani hua ni kazi ya mwanafunzi na mwalimu

Ila matokeo mwisho wa elimu tayari ni Political Issue serikali lazima iingilie na hapo wanaangalia wasiudhi wapiga kura

National Examination Results always ni Political Issue na huta determined na Politicians waliopo madarakani,matokeo hayatoki bila mwanasiasa kuamua na yatoke kwa ufaulu upi na wala sio kwa akili za watahiniwa
 
Bila shaka miaka 20 ijayo Tanzania itakuwa nawanascience watakaokuwa na uwezo wa kurusha rockets, kutengeneza ICBM na jet fighters.

A x 7 au DIV 1.7 mpaka 10 inaonyesha hawa watu ni magenius, tafsiri yake shule nzima ambayo imetoa 1.7 darasa zima hao ni mageniu Sasa.
 
Bila shaka miaka 20 ijayo Tanzania itakuwa nawanascience watakaokuwa na uwezo wa kurusha rockets, kutengeneza ICBM na jet fighters.

A x 7 au DIV 1.7 mpaka 10 inaonyesha hawa watu ni magenius, tafsiri yake shule nzima ambayo imetoa 1.7 darasa zima hao ni magenius sasa.
 
Bila shaka miaka 20 ijayo Tanzania itakuwa nawanascience watakaokuwa na uwezo wa kurusha rockets, kutengeneza ICBM na jet fighters.

A x 7 au DIV 1.7 mpaka 10 inaonyesha hawa watu ni magenius, tafsiri yake shule nzima ambayo imetoa 1.7 darasa zima hao ni mageniu Sasa.
Ni utapeli mtupu
 
Back
Top Bottom