MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Kitwana Kondo amekuwa mwenyekiti mtendaji wa Bodi ya Korosho Tanzania kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi hadi sasa. Kipindi chote hicho amepewa gari la kutembelea, analipiwa huduma zote za maji, umeme, simu na watumishi wa nyumbani. Cheo cha mwenyekiti mtendaji kwenye bodi kilifutwa miaka mingi iliyopita na serikali sielewi bodi ya korosho inapata wapi uwezo wa kulipia huduma kwa cheo ambacho hakipo.
CASHEWNUT BOARD OF TANZANIA(CBT)-Management Team
Tazama website yao ilivyo mbovu.
CASHEWNUT BOARD OF TANZANIA(CBT)-Management Team
Tazama website yao ilivyo mbovu.