Naona wewe unataka kipindi kifutwe na Tv iwekewe mizengwe ya ajabu ajabu na watawala.Mimi langu moja tu kwa nini siku hizi hamruhusu tuchangie kwa simu kama chanel ten...siku ya lukuvi ilipigwa simu moja tu
Wakiruhusu tu hayo, watawala na makada wa CCM wataanza kunong'ona chini wakidai StarTv inaisadia Chadema.
Kumbuka yaliyomkuta Tido Mhando TBC kisa tu karuhusu maoni ya watu kutolewa Live!!