lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
eh, eh, I can not imagine this.Kova toa tamko basi ili nguo ulizo vuliwa zirudishwe
Chukulia anawaita waandishi na kuanza kuwaeleza yafutayo: "...ndugu zangu watanzania, najua mmesikitishwa sana na mateso aliyopata Dk Ulimboka na inaelekea wengi machale yalishawacheza jinsi ilivyotokea. Ikumbukwe kwamba nasi tumeajiliwa na moja ya masharti ya kazi yetu ni kulinda siri za serikali.
Kwa kuwa hii theory ya kulinda siri inaonekana kupitwa na wakati na kuzingatia kuwa hili suala la Dk Ulimboka linagusa sana mioyo yenu, endapo tutaacha haya maelezo inaweza kuishia kulitumbukiza taifa kwenye machafuko, maana siri imefichuka kwa umma wa watz.
Kwa maana hiyo, napenda kuwaeleza ukweli kama ulivyokuwa umeeleza na mwenzangu Mkurugenzi wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuwa Jeshi letu limeingiliwa na watu amabao siyo. Na sikutarajia kabisa kama vijana wangu wangefanya uzembe kama huu na kuniingiza mkenge kiasi hiki mpaka nikatoa ripoti ambayo hata mtoto wa std 2 anauona uongo.
Kwa hiyo, nahitimisha kuwa kusema kuwa kilichotokea ndicho kama kilivyo ila kwa vile Dr. Ulimboka kapona, sote tumuumbee arudi salama.
Sisi ni binadamu na kwa sababu Watanzania tunapenda amani, tusameheane ili kulinda kazi na familia zetu sisi wengine.
Naomba msiulize maswali tafadhali"