Ufafanuzi wa Mch. Gwajima Kuhusu Mkenya wa Dr. Ulimboka

Baada ya kumfikisha polisi na kueleza kilichotokea mtu huyo akakiri ni kweli amesema alihusika na kumtesa Ulimboka. Polisi wa Kawe wakampeleka Osterbay na kanisa halikufuatilia tena. Wiki mbili zilivyopita ndio walinzi waliokuwa wamemkamata ili kutoa maelezo
Kukiri kama amesema na kutenda ni vitu viwili tofauti. Inawezekana kabisa kwamba huyu mkenya amekiri kusema kwamba alimteka Dr. Ulimboka lakini ki ukweli hakutenda jambo hili. Nahisi huyu jamaa kanunuliwa ili aje apotoshe ukweli. Nahata kama atafungwa bado nina imani kwamba hatachukua muda mrefu gerezani, atatoroshwa na kurudishwa kwao Kenya.
 
Naomba radhi mimi si mwandishi mzuri sana nimekosea tarehe na mtiririko wangu si mzuri sana. Tatizo sina speed ya kuandika. Lakini ukiondoa hilo la tarehe ujumbe ndio huo
 
Unstoppable;4245128]
Na mimi pia namuua.
Rest in peace Hemedi Msangi
;

Huyu jamaa na wenzie watakuwa wameshaua + kudhulumu kwa muda mrefu sana; sasa naona muda wao tu umefika. Inawezekenaje kila wanachopanga hakifanikiwi? Kweli kifo cha nyani kila mti huteleza.
Kwa wale wanao-amini maandiko mstari huu una maana sana-
"Maadui zako watakujia kwa njia moja mimi nitawapiga watoke kwa njia saba"
They simply need to surrender
Msangi, Kova, na aliyetoa order
 
Naomba radhi mimi si mwandishi mzuri sana nimekosea tarehe na mtiririko wangu si mzuri sana. Tatizo sina speed ya kuandika. Lakini ukiondoa hilo la tarehe ujumbe ndio huo
Mkuu maitario, umeripoti vizuri sana mbona?
Mtu anaongea,
wewe umsikilize,
uingie mtandaoni,
uandike,
uposti,
halafu habari nyingine isikupite....repeat the cycle many times! .....lol!
You did a splendid job!
Honestly!!!
 
Naomba radhi mimi si mwandishi mzuri sana nimekosea tarehe na mtiririko wangu si mzuri sana. Tatizo sina speed ya kuandika. Lakini ukiondoa hilo la tarehe ujumbe ndio huo

You did a wonderful job though. Asante sana Mkuu
 
Binafsi nimechanganyikiwa!
Re: Hotuba ya Rais, 30 June 2012

Ndugu Wananchi;
Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua ugomvi na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu huyo. Hivi baada ya kufika hapo Serikali iwe na ugomvi na Dkt. Steven Ulimboka kwa sababu ipi na jambo lipi hata iamue kumdhuru? Kama kuna mtu wa Serikali kafanya, itakuwa kwa sababu zake binafsi na siyo za Serikali au kwa kutumwa na Serikali.
Ndugu Wananchi;

Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na kumuombea apone haraka ili aungane na familia yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo wake wa huruma na upendo na kwa hatua alizochukua za kumsaidia Dkt. Ulimboka.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/285903-hotuba-ya-rais-kikwete-30-6-2012-a.html

polisi imemkamata mtuhumiwa wa aliyehusika kumdhuru dr ulimboka aitwaye joshua kitu mhindu. Mtuhumiwa amekiri alikuwa na wenzake 12.mtuhumiwa alienda kanisani kutubu dhambi zake. Polisi Walipata taarifa kutoka kwa wasamalia wema. Mtuhumiwa ni mwanachama wa kundi la kiharifu la Kenya liitwalo gangister.Mtuhumiwa alipewa kazi na mtu ambaye anahisi yuko serikalini. Kundi lake anaongozwa na jamaa anaitwa silencer. Polisi wanawatafuta watuhumiwa wengine
source : clouds fm
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mboka-mmoja-wanaodaiwa-kuhusika-akamatwa.html

· nasikitika kwa kuropoka maneno ambayo hayapo
· · polisi wakawaambia walinzi wa kanisa wasiseme chochote kuhusu hilo maana mtu huyo alisema ni kichaa. Siku ya pili Mch akasema akashangaa Kamanda kova kutoa taarifa ya uongo kwa kilichotokea tena wiki mbili baada ya tukio. Mch akashangaa limekujaje wakati tayari polisi walishasema ni kichaa pamoja na kwamba aliziungumza maneno yaliyotoke kweli

· · Kanisa linailaani polisi kwa kutoa taarifa za uongo. Inawezekana mtu huyo ni kichaa kweli au ametengenezwa ili atokee mlango wa serikali. Serikali haina nia njema na hata kama ilikuwa kweli bado serikali isingewetakiwa kutoa taarifa ya nani alitoa taarifa ya uhalifu
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...h-gwajima-kuhusu-mkenya-wa-dr-ulimboka-7.html
 
Hivi wewe uchoki na hizo Multiple ID's usilete ujanja wa Segerea unajiona mjanja wakati Invisible na sisi wajanja tunakuchora tu ukauzu mwingine bana.

Hivi kumbe 'Invisible' na kina 'Ritz' wana'tuchora' tu...nilikuwa sijui!
 
Naona hakuna aliyesema kuwa Gwajima pia kasema kuna uwezekano kuwa kuna watu wamefanya hayo ili waichafue Serikali. Jee, hilo hamkulisikia au hamlipendi?
 
kuna taarifa kutoka kwa watu waliokuwa kwenye ibada pale kawe kuwa tarehe iliyotajwa na GWAJIMA NI 29 NA SIO 26 kama alivyodai mtoa maada...so kama kuna mkanganyiko wowote(hasa unaotokana na kusikia) tunaomba mwaanzisha thread asahihishe kuondoa utata...lakini ukweli uko pale pale kova kachemka

Si kweli labda hawajasikia vizuri. Tarehe iliyotajwa ni 26.
 
Mkuu Mnyakatari, hapa umewahi kuelezea wasiwasi wangu juu ya upangwaji wa hii habari na tarehe za matukio.
1. Jumapili pekee ya karibu na tukio ni Jumapili ya tarehe 1/7/2012 na wala sio tarehe 26/6 kama Mchungaji anavyosema.
2. Lakini juzi tarehe 13/7, Kova alituambia kuwa tukio la huyu Joshua kujipeleka kanisani lilitokea tarehe 29/6 (yaani Ijumaa).

Mimi simezi maneno ya Kova wala ya Mchungaji - Wote wajipange upya, hata kama ni uongo, basi watupe uongo wa kweli na sio uongo wa kiuongouongo.

Ufufuo na uzima kuna huduma 24 hours pale. Kuna pia ibada za kati ya wiki na jpili. Usiku na mchana wanapatikana.
 
Ufufuo na uzima kuna huduma 24 hours pale. Kuna pia ibada za kati ya wiki na jpili. Usiku na mchana wanapatikana.
Tatizo si wakati wa huduma. Rejea comment yangu, tatizo ni kutokuwepo uwiano wa siku na tarehe alizotaja Mchungaji.
 
Back
Top Bottom