Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Tunashukuru kwa taarifa mkuu,
Mkuu unashukuru hata kwa taarifa za uwongo?
Tunashukuru kwa taarifa mkuu,
Mkuu unakosea kusema hivyo ili suala usitake kuligawa kwa misingi ya dini linatuhusu Watanzania wote sijui kwa nini jambo lolote akihushishwa muislam moja mnawachanganya waislam wote? Hizi tabia ndio zinafanya watanzania wasiwe kitu kimoja kwenye kuibana serikali kwenye mambo ya msingi...na huo ndio mtaji wa CCM kuwatawala Watanzania.
Labda wanatoa sadaka. Kama mtoa habari hakuandaa sadaka ataaibika maana wanafuata mstari
Mkuu mbona hakuna chochote?
kichaa mwenye uwezo wa kuteka,kutesa,kuhoji,kutubu na kuajiriwa!
Only in Tanzania!
Yeye ni mtumishi wa Mungu.``
Gwajima kashaita Press Conference kusema haya? Kama alivofanya Kova SULEIMAN ambako kimsingi ilikuwa ni kupaka matope kanisa lake? Nadhani aite press kwa faida ya wale ambao pia hawafiki kanisani kwake
ataendelea na ujambazi.Hana plan B, akijiuzulu atakula wapi?Hilo ndio tatizo limewafunga viongozi wetu.
You speak my tongue!Haya maneno yameandikwa na Ritz au kuna mtu ame-hack ID yake, kama siamini vile.
Na mimi pia namuua.may God rest his soul in peace
yani ata mtoto hawezi kudanganywa kwa namna iyo
Kweli yesu akilud atachoma wengi sana,makanisa yanageuzwa sehem za kufanyia siasa
Na mimi pia namuua.
Rest in peace Hemedi Msangi;
Huyu jamaa na wenzie watakuwa wameshaua + kudhulumu kwa muda mrefu sana; sasa naona muda wao tu umefika. Inawezekenaje kila wanachopanga hakifanikiwi? Kweli kifo cha nyani kila mti huteleza.
Kwa wale wanao-amini maandiko mstari huu una maana sana-"Maadui zako watakujia kwa njia moja mimi nitawapiga watoke kwa njia saba"