Joseph Buberwa
Senior Member
- Aug 13, 2013
- 135
- 53
Ndugu zangu Watanzania maoni yenuwengi nimeyaona, kila mtu amejaribu kutoa lake la moyoni kuhusiana na UNABIIninaosimamia. Na nimeona nitoe ufafanunuzi vizuri kwa faida yenu na wengineambao hawawezi kutoa maoni na kwa faida ya taifa na dunia wanaosubiri MAKUSUDIMAKUU YA MUNGU YATENDEKE HAPA DUNIANI KWENYE KIPINDI HIKI. Tokea Adamu na Hawa walipomuasiMungu; Mungu ameingilia makusudi yake makuu moja kwa moja hapa duniani marambili.
1. Ni kisa cha GHARIKA YA WAKATI WA NUHU ambapoNuhu Mungu alimuandaa kusimamia tukio hilo
2. na KISA chapili ni UKOMBOZI WA WANA WA ISRAELI KUTOKA MISRI CHINI YA UONGOZI WA MUSA.Ambapo Mungu alimwandaa nabii Musa kusimamia zoezi hilo.
3. Kwa sasa tena ameniandaa mimi tokeanilipozaliwa na hasa mafunzo ya kuja kuongoza makusudi ya MUNGU HAPA DUNIANIyalianza 1986. Kwa hiyo ndugu zangu ninachotaka kutimiza ni interception ya 3au TUKIO KUU LA 3 la MUNGU kufanya makusudi yake moja kwa moja HAPADUNIANI.
Munguamenipanga kupitia taifa langu Tanzania, Tanzania itakuwa ikipokea miongozo yaMungu kupitia mimi na serikali yaTanzania itaratibu hiyo miongozo na kisha serikali ya Marekani na Uingereza kwapamoja watasimamia utekelezaji wake duniani au katika mataifa yote duniani.
ILA Munguamepanga hayo makusudi makuu kabla ya kuanza MTU WA KWANZA KUYAJUA NAKUYAFUNGUA NI MH. RAIS JAKAYA KIKWETE ambaye ndiye Rais aliyeko madarakaniwakati makusudi hayo yanataka kuanza. Bila ya KUYAFUNGUA hayataanza na ndiyomaana MABALAA yataendelea kulipata taifa letu hadi atambue na akubalikuyasikiliza kwa HIARI au KWA LAZIMA
KWA HI YO NDUGUZANGU MNA HAKI YA KILA MTU KUSEMA LAKE LAKINI NAWAOMBA SANA LIOMBEENI JAMBOHILI LITENDEKE KWA SABABU NDILO SULUHISHO LA MATAT IZO YA BINADAMU YALIYOTUKUMBACHINI YA UTAWALA WA SHETANI WA MIAKA 6000 ILIYOPITA.
Huko kwenye madawa ya Asili na Teknolojiamlikoniona nilikuwa chini ya mafunzo ya jambo hili linalokuja.
Asanteni.
NABII JKBUBERWA NABII KAMA MUSA (Kumbukumbu 18:18,19)
1. Ni kisa cha GHARIKA YA WAKATI WA NUHU ambapoNuhu Mungu alimuandaa kusimamia tukio hilo
2. na KISA chapili ni UKOMBOZI WA WANA WA ISRAELI KUTOKA MISRI CHINI YA UONGOZI WA MUSA.Ambapo Mungu alimwandaa nabii Musa kusimamia zoezi hilo.
3. Kwa sasa tena ameniandaa mimi tokeanilipozaliwa na hasa mafunzo ya kuja kuongoza makusudi ya MUNGU HAPA DUNIANIyalianza 1986. Kwa hiyo ndugu zangu ninachotaka kutimiza ni interception ya 3au TUKIO KUU LA 3 la MUNGU kufanya makusudi yake moja kwa moja HAPADUNIANI.
Munguamenipanga kupitia taifa langu Tanzania, Tanzania itakuwa ikipokea miongozo yaMungu kupitia mimi na serikali yaTanzania itaratibu hiyo miongozo na kisha serikali ya Marekani na Uingereza kwapamoja watasimamia utekelezaji wake duniani au katika mataifa yote duniani.
ILA Munguamepanga hayo makusudi makuu kabla ya kuanza MTU WA KWANZA KUYAJUA NAKUYAFUNGUA NI MH. RAIS JAKAYA KIKWETE ambaye ndiye Rais aliyeko madarakaniwakati makusudi hayo yanataka kuanza. Bila ya KUYAFUNGUA hayataanza na ndiyomaana MABALAA yataendelea kulipata taifa letu hadi atambue na akubalikuyasikiliza kwa HIARI au KWA LAZIMA
KWA HI YO NDUGUZANGU MNA HAKI YA KILA MTU KUSEMA LAKE LAKINI NAWAOMBA SANA LIOMBEENI JAMBOHILI LITENDEKE KWA SABABU NDILO SULUHISHO LA MATAT IZO YA BINADAMU YALIYOTUKUMBACHINI YA UTAWALA WA SHETANI WA MIAKA 6000 ILIYOPITA.
Huko kwenye madawa ya Asili na Teknolojiamlikoniona nilikuwa chini ya mafunzo ya jambo hili linalokuja.
Asanteni.
NABII JKBUBERWA NABII KAMA MUSA (Kumbukumbu 18:18,19)