Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
Mkuu Kitila,
Asnate kwa kumueleimisha huyu kijana,hawa watoto wamekuja hapo kipindi mkandara amekuwa VC baada ya Luhanga kuondoka hivyo hawajui historoa ya chuo,Labda tuwashauri ile pesa ya Vitabu wanayopewa wanunue kitabu cha Historia ya Mlimani.
Mie kwa kifupi,nawaomba vijana watulie wakati suala lao likishughulikiwa,tusilifanye hili liwe la kisiasa kwa sasa,tutumia diplomasia kulitatua,ila tukianza kubauguana kw aitikadi basi linaweza leta shida katika himaya ya UDSM,kusema kwamba huyu ni wa CCM na huyu ni wa CHADEMA basi tutalea taifa la watu wasiopenda amani na watu wa kejengena Chuki.Hili Jambo linaweza kusababisha wanafunzi kutosaidiana katika Masomo na likaleta Madhara.
washindane kwa hoja na wapunguze Jazba,Mkandara ni kama Mzazi wao na ninavyo mfahamu mzee huyu hata kabala ya kuwa VC ana tabia ya kusikiliza mawazo ya watu.yeye ni mtu mzima na nina uhakika atawasaidia.
Shy,kawafundishe vijana mambo ya kutoa virus na uwaulize ni anti virus gani inafaa kuliko kuwachonganisha.
Asnate kwa kumueleimisha huyu kijana,hawa watoto wamekuja hapo kipindi mkandara amekuwa VC baada ya Luhanga kuondoka hivyo hawajui historoa ya chuo,Labda tuwashauri ile pesa ya Vitabu wanayopewa wanunue kitabu cha Historia ya Mlimani.
Mie kwa kifupi,nawaomba vijana watulie wakati suala lao likishughulikiwa,tusilifanye hili liwe la kisiasa kwa sasa,tutumia diplomasia kulitatua,ila tukianza kubauguana kw aitikadi basi linaweza leta shida katika himaya ya UDSM,kusema kwamba huyu ni wa CCM na huyu ni wa CHADEMA basi tutalea taifa la watu wasiopenda amani na watu wa kejengena Chuki.Hili Jambo linaweza kusababisha wanafunzi kutosaidiana katika Masomo na likaleta Madhara.
washindane kwa hoja na wapunguze Jazba,Mkandara ni kama Mzazi wao na ninavyo mfahamu mzee huyu hata kabala ya kuwa VC ana tabia ya kusikiliza mawazo ya watu.yeye ni mtu mzima na nina uhakika atawasaidia.
Shy,kawafundishe vijana mambo ya kutoa virus na uwaulize ni anti virus gani inafaa kuliko kuwachonganisha.