Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Na kwa taarifa tu ni kwamba Mukandara hajawahi kuwa hata head wa department Leo ni VC.
Hii ndio unazidi kuharibu kabisa. Usichojua wewe ni kwamba wana JF kibao hapa ni product ya UDSM na wanakijua chuo chao pengine kuliko nyie.
Sasa wewe unatudanganya mchana kweupe kwamba Mukandara "hajawahi hata kuwa head wa department" halafu unategemea watu wawapeni msaada hapa? Tunajua Mukandara kabla hajawi VC alishashika vyeo kadhaa ikiwemo ukuu wa kitivo na idara. Sasa wewe kwa nini unataka sympathy kwa kutupa habari za uongo? Hapa JF uongo unachukiwa kama unavyochukiwa ufisadi. Sasa hebu rekebisha kwanza hili kabla hatujaendelea.