UDSM - Huwezi kuamini kuhusu wafanyakazi

DASA

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
1,031
301
UDSM pamoja na umaarufu wake na heshima yake nchini ukilinganisha na vyuo vingine lakini ndio chuo ambacho wafanyakazi wake wanaishi kwa shida kuliko chuo chochote nchini. Yani hali ilivyo kwa sasa ni mara 10 kufanya kazi vyuo vidogo kama CBE, IFM, NIT etc kuliko kufanya kazi UDSM. Ninachowasifu walimu wa UDSM pamoja na majukumu mengi waliyonayo na idadi kubwa ya wanafunzi lakini ni wavumilivu kupita kiasi. Inawezekana hizi teuzi labda zinawanyamazisha au kuna ahadi mbalimbali lakini ukweli ni kwamba UDSM ya sasa imebaki jina tu lakini wafanyakazi ni kama hawapo vile. Wakongwe wengi wamestaafu, wengine wamepata teuzi, wengine wanaacha kazi. Wamebaki vijana vijana tu ambao mguu nje mguu ndani.
 
Asante kwa utafiti.
Ila jambo la kustaafu ni jambo la kawaida taasisi yeyote.
Ila kutokana na kustaafu hatuwezi kusema moja kwa moja ni sababu ya kushusha ubora wa elimu chuoni.
 
Bado sijakuelewa mbali Na wanavyuo kuwa wengi Kuna tatizo gan jingine?salary ndogo,hakuna marupurupu? nk nk
 
UDSM ilikuwa....

Siku hizi haipo kama ilivyokuwa.

Nilipita hapo majuzi nikasikitika sana.
 
Vp UDOM ? Kwa mliopo huko tafadhali tupeni hali halisi?
Nauliza maana kilianza kwa migongano sana chini ya PFA mfupi kwa umbo na akili, prof Mlacha.
 
UDSM pamoja na umaarufu wake na heshima yake nchini ukilinganisha na vyuo vingine lakini ndio chuo ambacho wafanyakazi wake wanaishi kwa shida kuliko chuo chochote nchini. Yani hali ilivyo kwa sasa ni mara 10 kufanya kazi vyuo vidogo kama CBE, IFM, NIT etc kuliko kufanya kazi UDSM. Ninachowasifu walimu wa UDSM pamoja na majukumu mengi waliyonayo na idadi kubwa ya wanafunzi lakini ni wavumilivu kupita kiasi. Inawezekana hizi teuzi labda zinawanyamazisha au kuna ahadi mbalimbali lakini ukweli ni kwamba UDSM ya sasa imebaki jina tu lakini wafanyakazi ni kama hawapo vile. Wakongwe wengi wamestaafu, wengine wamepata teuzi, wengine wanaacha kazi. Wamebaki vijana vijana tu ambao mguu nje mguu ndani.
vijana hawajui lolote
 
UDSM pamoja na umaarufu wake na heshima yake nchini ukilinganisha na vyuo vingine lakini ndio chuo ambacho wafanyakazi wake wanaishi kwa shida kuliko chuo chochote nchini. Yani hali ilivyo kwa sasa ni mara 10 kufanya kazi vyuo vidogo kama CBE, IFM, NIT etc kuliko kufanya kazi UDSM. Ninachowasifu walimu wa UDSM pamoja na majukumu mengi waliyonayo na idadi kubwa ya wanafunzi lakini ni wavumilivu kupita kiasi. Inawezekana hizi teuzi labda zinawanyamazisha au kuna ahadi mbalimbali lakini ukweli ni kwamba UDSM ya sasa imebaki jina tu lakini wafanyakazi ni kama hawapo vile. Wakongwe wengi wamestaafu, wengine wamepata teuzi, wengine wanaacha kazi. Wamebaki vijana vijana tu ambao mguu nje mguu ndani.
Inashangaza sana, yani pamoja na Magu kukisifiasifia sana hali ndio hiyo!. Kuna watu wangu wananiambia utakuta Professor ana wanafunzi 25 darasani lakini Assitant Lectuter ana wanafunzi 300 darasani halafu hapati allowance yoyote zaidi ya mshahara anaopata. Hapa lazima kuwe na vinyongo sana.
 
Back
Top Bottom