UDSM: CoET vs CoICT Nani zaidi?

mchapafito

JF-Expert Member
Oct 16, 2013
608
300
Habari ya mchana ndugu zangu Great thinkers wa JAMIIFORUMS...hii incidence imetokea leo kazini mida ya asubuhi..hapa ofisini kwetu kuna vijana wa UDSM waliopo katika mazoezi yao ya vitendo yaani field...sasa ukatokea ubishani mkubwa miongoni mwao kuwa pale UDSM kati ya college hizi mbili CoET na CoICT ipi zaidi??.....in terms of wanafunzi kufaulu sana,kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa na academic excellence ya wanafunzi in general ni college ipi ipo zaidi??...karibuni kwa mjadala wadau:
 
Habari ya mchana ndugu zangu Great thinkers wa JAMIIFORUMS...hii incidence imetokea leo kazini mida ya asubuhi..hapa ofisini kwetu kuna vijana wa UDSM waliopo katika mazoezi yao ya vitendo yaani field...sasa ukatokea ubishani mkubwa miongoni mwao kuwa pale UDSM kati ya college hizi mbili CoET na CoICT ipi zaidi??.....in terms of wanafunzi kufaulu sana,kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa na academic excellence ya wanafunzi in general ni college ipi ipo zaidi??...karibuni kwa mjadala wadau:

Sijajua ubora mna u judge vipi??… coz wote coet na coict ni watoto wa mama mmoja which is udsm… bt kuna kipind kama miaka mitatu mfululizo mwanafunzi mwenye highest GPA overall alikuwa akitoka coict….
 
coict ni ndogo lakini recently(miaka miwili au mitatu iliopita) ndo ilikua inaongoza kwa kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa ( telecommunication na cmptr engnerng) kutokana na corz hizo kuwa kwenye pick kipindi hicho... ila kwa sasa nadhani coet imerudi tena kwenye civil engrn na conas inakuja kasi kwa kuwa ina geology na acturial corz zinazolipa na ni mpya kwenye market so vipanga wengi wataenda uko
 
coict ni ndogo lakini recently(miaka miwili au mitatu iliopita) ndo ilikua inaongoza kwa kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa ( telecommunication na cmptr engnerng) kutokana na corz hizo kuwa kwenye pick kipindi hicho... ila kwa sasa nadhani coet imerudi tena kwenye civil engrn na conas inakuja kasi kwa kuwa ina geology na acturial corz zinazolipa na ni mpya kwenye market so vipanga wengi wataenda uko
hoja yako ni nzito na ina mashiko mkuu...ujio wa Petroleum Engineering COET na petroleum chemistry and geology CONAS naona unaweza ukaitetelesha COICT in terms of vipanga waliokuwa wanachukuliwa na college hiyo
 
coict ni ndogo lakini recently(miaka miwili au mitatu iliopita) ndo ilikua inaongoza kwa kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa ( telecommunication na cmptr engnerng) kutokana na corz hizo kuwa kwenye pick kipindi hicho... ila kwa sasa nadhani coet imerudi tena kwenye civil engrn na conas inakuja kasi kwa kuwa ina geology na acturial corz zinazolipa na ni mpya kwenye market so vipanga wengi wataenda uko

Nimependa ulivyoargue Mkuu,upo right kabisa.
 
CoET iko juu maana ina kozi nyingi, departments na hata Labs za kutosha ukilinganisha na CoICT ambayo imekua ikionekana iko juu due to uwepo wa vipanga kwenye kozi chache tu ( Telecom & CIT). Kwa sasa CoET inatoa kozi ambazo karibia zote ni marketable na zina vipanga wa kutosha tu na huwezi amini % kubwa ya wana CoET wana historia nzuri kimasomo kias kwamba utakuta kama hana div I f6 bas ana divI f4 au utakuta ni wale vpanga waliotoka shule za kata enzi hizooo o level au waliotoka special schools. In short ile pale ni special college. Hata ivo CoICT ni mtoto wa CoET kihistoria so quality zao ni mule mule.NB: kuna kitu nakishangaa hadi leo, hivi ni kwanini students wa CASS (cohu + coss ) na SOED wanawachukia kias fulani wana CoET kias kwamba hata wakimuona first year wa Civil Eng ameshika drawing board wanamponda et anaosha noun, why?
 
CoET iko juu maana ina kozi nyingi, departments na hata Labs za kutosha ukilinganisha na CoICT ambayo imekua ikionekana iko juu due to uwepo wa vipanga kwenye kozi chache tu ( Telecom & CIT). Kwa sasa CoET inatoa kozi ambazo karibia zote ni marketable na zina vipanga wa kutosha tu na huwezi amini % kubwa ya wana CoET wana historia nzuri kimasomo kias kwamba utakuta kama hana div I f6 bas ana divI f4 au utakuta ni wale vpanga waliotoka shule za kata enzi hizooo o level au waliotoka special schools. In short ile pale ni special college. Hata ivo CoICT ni mtoto wa CoET kihistoria so quality zao ni mule mule.NB: kuna kitu nakishangaa hadi leo, hivi ni kwanini students wa CASS (cohu + coss ) na SOED wanawachukia kias fulani wana CoET kias kwamba hata wakimuona first year wa Civil Eng ameshika drawing board wanamponda et anaosha noun, why?
Na je vipi suala la kwamba kuna kipindi kwa miaka kadhaa mfululizo student with high GPA overall alikuwa akitoka COICT hii inatupa picha gani kama wadau wa elimu??...suala la watu wa CASS kuwadiss COET hilo lilikuwepo toka enzi zetu kuna kipindi nakumbuka kulikuwa na mgomo kule CoET vijana wakafunga kale kageti kao kadogo na lile la kule chini...aisee ilikuwa rapsha sana vijana wa CASS wanaopiga Shuttle pori walilaani sana..na kuna siku almanusra zipigwe....ila hata vijana wa COET ni kama wana wadharau watu wa CASS NA SOED so its more of a two way rival...though hata CASS kuna majembe...kuna mwaka overall perfomer ki GPA alitoka CASS which is very rare kwa chuo kama UDSM
 
Great Thinkers hawanatabia ya kubishana, utathink saa ngapi, ukiwa na muda wa kubishana?

ni watoto sana, na hakika kama hujui unapoteza muda kubishana subiri akili ikomae.

Ova*---------

ulikuwa mjadala mzito leo pale ofisini ndo maana nikaona niwashirikishe wana jamvi nipate maoni yenu kuhusu huu ubishani...samahani kama thread imekuboa in any way possible
 
you are right Mdau...despite of that can u please shade us some light on the topic above?
Kwenye red nadhani ni inspite of...
Hivi unalinganisha kwa vigezo vipi ufaulu wa college mbili tofauti?
Mimi naona kama utoto tu unaendelea hapa
 
Kama nikufaulu COICT ipo juu kwan compt engineering (CIT) na telecom huwa zinachukua wale wenye marks za juu toka enzi zile kozi hizo zikiwa COET yaani CIT na TELE zimetoka huko huko COET.
 
coict ni ndogo lakini recently(miaka miwili au mitatu iliopita) ndo ilikua inaongoza kwa kuchukua wanafunzi wenye ufaulu mkubwa ( telecommunication na cmptr engnerng) kutokana na corz hizo kuwa kwenye pick kipindi hicho... ila kwa sasa nadhani coet imerudi tena kwenye civil engrn na conas inakuja kasi kwa kuwa ina geology na acturial corz zinazolipa na ni mpya kwenye market so vipanga wengi wataenda uko
Vipanga wanaokuja maofisini ku instal antiviruses
 
Nakumbuka wakati huo Telecom na Comp Eng walikuwa wanachukua mwisho div 1 ya point 5, ukiiwa na point 6 nchukuliwa unashukuru mungu
Sijui kwa ss hali imekuwaje
 
Khaaa!!! Angalia sasa. Yaani unaenda kusoma ili utengeneze website? Tena kwa kutumia templates? Angalia wenzenu wanavyoleta - Whatsapp, WeChat n.k. Ndio maana hata kutengenza Gateway Payment za mobile money wanafanya wakenya. Angalia sasa Wakenya wamekuja na PesaPal hadi mlangoni kwetu, nyie mwafikiria website tu...

Njoo huku tukutengenezee web ya ukweli antivirus nenda kwa fundi mtaani
 
Back
Top Bottom