udom wababaishaji tu

reginahope

Senior Member
Mar 26, 2013
163
30
jaman hvi hakuna sheria ya kuwashitaki wababaishaji katika ajira? hawa udom wananikera sana. kuna interview zilifanyika tangu mwez wa tatu lakini hadi leo hakuna majibu pia nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo kuna watu walifanya interview pale hawakuitwa na katika kufatilia wakaambiwa wameicancel. hv hawajui km watu wanatumia pesa kuja kwenye usaili? hakuna sheria inayorusu kuwashitaki kwa usumbufu wao?
 
Chuo hakina hela, hakipokei tena ruzuku kutoka serikalini, kinatakiwa kijiendeshe chenyewe, kwa hiyo wanasubiri makusanyo ya ada ndio wajipange upya kuwaita kazini, kwa hiyo subiri kidogo tu, utaitwa kazini
 
wewe unayesema chuo cha kata nadhani una ugonjwa wa udomphobiasis.maana linaloongelewa na ulilojibu havina uhusiano.Isitoshe kuwa cha kata haimaanishi hata wahitimu ni kata.je Ndugai na Makinda walisoma pale?
 
Labda wameshaita watu alafu labda wewe ndugu yangu haujabahatika. Ila tusikate tamaa tuendelee kupambana.
 
Washatuma barua mwezu huu kwa waliofaulu interview, kwa hiyo kama hujapata barua ujue hukufaulu
 
Mbona watu walishaitwa,kama haujaitwa maana yake haujafanikiwa jaribu tena baadaye au jaribu kwingine.
 
Mbona watu walishaitwa,kama haujaitwa maana yake haujafanikiwa jaribu tena baadaye au jaribu kwingine.



Mkuu kama hakuitwa maana kura hazikutosha
ajaribu tena 2015. Teh teh kwi kwi !
Kuomba kazi ni kazi sana bado kuifanya
 
jaman hvi hakuna sheria ya kuwashitaki wababaishaji katika ajira? Hawa udom wananikera sana. Kuna interview zilifanyika tangu mwez wa tatu lakini hadi leo hakuna majibu pia nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo kuna watu walifanya interview pale hawakuitwa na katika kufatilia wakaambiwa wameicancel. Hv hawajui km watu wanatumia pesa kuja kwenye usaili? Hakuna sheria inayorusu kuwashitaki kwa usumbufu wao?

ukiona kimya sana ujue umekosa hapo endelea kuchapa raba mpaka upate
 
Back
Top Bottom