Udom prospectus 2013/2014

Brother James

JF-Expert Member
Feb 21, 2012
233
172
Wana JF,

Ninapenda niwaombe kwa heshima na taadhima kuwa kama mtakuwa
mmeona au kusikia prospectus ya #UDOM ya mwaka wa masomo wa 2013/2014 tafadhali nirushieni kwenye hii thread au kwenye private email:(james.tanzania@yahoo.co.uk) kwani kuna mambo mengi sana nataka niyachambue kulingana na courses/programmes zilizotangazwa kupitia TCU.

Pamoja na uhitaji huo lakini pia kila siku tunasikia serikali ya Jamhuri ya Tanzania ikifanya mikakati mbali mbali ya kukifanya Chuo Kikuu cha #UDOM kuwa bora kuliko vyuo vyote vya Umma nchini Tanzania na kuweza kuzalisha competent specialists katika fani mbali mbali.

Cha kustaajabisha ni kwamba #UDOM hii hii hata Prospectus ya kimasomo haipo mtandaoni ila kila siku wanaajiri wataalamu wa IT, Je tuamini kuwa tatizo ni watawala wa Chuo?? Kuna mapungufu mengi sana tena ya wazi kabisa yaliyoonyeshwa na Chuo cha #UDOM .

Inachekesha sana kuona wanachuo Mwaka wa kwanza wanaripoti chuoni tarehe 12 October bila kufahamu kitu gani wanakwenda kusoma, je maandalizi kwa kijana/binti huyu anayekwenda kuanza masomo atayafanyeje bila kujua mahitaji ya kila course anayokwenda kuisoma?? au bado maisha ya #UDOM ni kama yale ya Sekondari za kata ambapo kila hitaji utalijua ukishapiga ripoti!!!!!!!!??? Jamani #UDOM hata #TEKU inawashinda kiasi hichoo???

Ingawaje inasemekana kuwa Vyuo vingi vya Umma vimezidi kwa uzembe na kupuuzia vitu muhimu kama kujitangaza in terms of courses/programmes offered kupitia prospectuses lakini hiki cha #UDOM kimezidi jamani....kwanini wafanye kazi kwa mazoea lakini??? Mbona UDSM, ARDHI, Mwl. Nyerere Academy, Mzumbe na vinginevyo wameweza kujiweka wazi in terms of courses na programmes offered kupitia Prospectuses zao??

Wadau naomba tuzungumze juu ya hili suala kwa lengo la kukisaidia Chuo Chetu ambacho Serikali yetu inakitegemea sana kwa miaka ya karibuni kuwa Chuo Bora na Makini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Naomba Kuwasilisha.
 
Mkuu,

Yani kama USANII wewe unaujua. Jinsi ulivyoanza kutiririka hapo awali ni kama unataka kujua jambo hivi, ila katikati ukageuka ghafla na kuonyesha NIA yako (kukiponda UDOM), baada ya hapo ukamaliza kwa kupooza pooza madongo uliyoyatupa. Nimekukubali.

Back to topic - mimi nadhani suala la chuo kuwa na taarifa zake kwenye mtandao ni kama la LAZIMA kwa sasa. Hivyo kama UDOM mpaka sasa kwenye tovuti yao hawajaweza kuweka prospectus hilo ni tatizo kubwa na ni jambo la aibu. Waboreshe kwenye hilo.
 
km ulivyokiri ni kweli udom inazidiwa na teku. Ndo maana udom tunaita chuo cha kata
 
Wana JF,

Ninapenda niwaombe kwa heshima na taadhima kuwa kama mtakuwa
mmeona au kusikia prospectus ya #UDOM ya mwaka wa masomo wa 2013/2014 tafadhali nirushieni kwenye hii thread au kwenye private email:(james.tanzania@yahoo.co.uk) kwani kuna mambo mengi sana nataka niyachambue kulingana na courses/programmes zilizotangazwa kupitia TCU.

Pamoja na uhitaji huo lakini pia kila siku tunasikia serikali ya Jamhuri ya Tanzania ikifanya mikakati mbali mbali ya kukifanya Chuo Kikuu cha #UDOM kuwa bora kuliko vyuo vyote vya Umma nchini Tanzania na kuweza kuzalisha competent specialists katika fani mbali mbali.

Cha kustaajabisha ni kwamba #UDOM hii hii hata Prospectus ya kimasomo haipo mtandaoni ila kila siku wanaajiri wataalamu wa IT, Je tuamini kuwa tatizo ni watawala wa Chuo?? Kuna mapungufu mengi sana tena ya wazi kabisa yaliyoonyeshwa na Chuo cha #UDOM .

Inachekesha sana kuona wanachuo Mwaka wa kwanza wanaripoti chuoni tarehe 12 October bila kufahamu kitu gani wanakwenda kusoma, je maandalizi kwa kijana/binti huyu anayekwenda kuanza masomo atayafanyeje bila kujua mahitaji ya kila course anayokwenda kuisoma?? au bado maisha ya #UDOM ni kama yale ya Sekondari za kata ambapo kila hitaji utalijua ukishapiga ripoti!!!!!!!!??? Jamani #UDOM hata #TEKU inawashinda kiasi hichoo???

Ingawaje inasemekana kuwa Vyuo vingi vya Umma vimezidi kwa uzembe na kupuuzia vitu muhimu kama kujitangaza in terms of courses/programmes offered kupitia prospectuses lakini hiki cha #UDOM kimezidi jamani....kwanini wafanye kazi kwa mazoea lakini??? Mbona UDSM, ARDHI, Mwl. Nyerere Academy, Mzumbe na vinginevyo wameweza kujiweka wazi in terms of courses na programmes offered kupitia Prospectuses zao??

Wadau naomba tuzungumze juu ya hili suala kwa lengo la kukisaidia Chuo Chetu ambacho Serikali yetu inakitegemea sana kwa miaka ya karibuni kuwa Chuo Bora na Makini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Naomba Kuwasilisha.
Af ww acha unafiki apa ucjifanye una uchungu kuhusu UDOM kumbe mnafiki xa nenda kafanye ligi za vyuo kwenu na cio apa jamvini...
 
Mbona kila kitu kipo net tatizo umejaa lawama kwel Udom hutmaliz kijna,prospectus zipo funguo web ya chuo mbona mim nimeona kila kitu,uzuri wa chuo ni wew cio jina la chuo,punguzen lawama kila cku lawama na Div 1 naenda kusom tu hata mponde
 
..................................Ninapenda niwaombe kwa heshima na taadhima kuwa kama mtakuwa mmeona au kusikia prospectus ya #UDOM ya mwaka wa masomo wa 2013/2014 tafadhali nirushieni kwenye hii thread au kwenye private email:(james.tanzania@yahoo.co.uk) kwani kuna mambo mengi sana nataka niyachambue kulingana na courses/programmes zilizotangazwa kupitia TCU.

How could on earth, a thin mind like that of yours do an analysis out of the programmes listed in any university prospectus? Unajua ni lini kwa mara ya kwanza prospectus ya chuo kikongwe kama UDSM iliwekwa online ktk page ya chuo na kabla ya hapo tuliokwenda chuo hicho hatukusoma? Pamoja na ukilaza wako unatia aibu kwa unachoandika maana if you are smart enough utatafuta na kujua programme details kabla hujaomba chuo chochote na kuchaguliwa na TCU, sio ujue details baada ya kuchaguliwa.
 
Kiongozi,
Naomba ku-declare interest kuwa Mimi ni product ya kwanza ya UDOM hivyo basi sikusudii kukiponda Chuo Changu kwa majungu ila kikionyesha mapungufu lazima tuzungumze kwa sababu tunataka UDOM kiendelee kuviburuza vyuo vingine nchini na nje ya nchi.....Nataka makosa madogo madogo kama hayo yasijitokeze coz tunaamini kuwa UDOM kinazalisha watu makini....OVER. Pia nikushuru kwa kuona kuwa ni busara kukikosoa Chuo chetu kinapokosea coz ndio njia ya kukijenga...OVER
Mkuu,

Yani kama USANII wewe unaujua. Jinsi ulivyoanza kutiririka hapo awali ni kama unataka kujua jambo hivi, ila katikati ukageuka ghafla na kuonyesha NIA yako (kukiponda UDOM), baada ya hapo ukamaliza kwa kupooza pooza madongo uliyoyatupa. Nimekukubali.

Back to topic - mimi nadhani suala la chuo kuwa na taarifa zake kwenye mtandao ni kama la LAZIMA kwa sasa. Hivyo kama UDOM mpaka sasa kwenye tovuti yao hawajaweza kuweka prospectus hilo ni tatizo kubwa na ni jambo la aibu. Waboreshe kwenye hilo.
 
Mkuu,
Sikuwa na lengo la kukitusi Chuo Kikuu Cha TEKU, mimi kama mtanzania Mzalendo naviheshimu Vyuo Vikuu Vyote Vya Tanzania coz TCU wameonyesha imani kwao na kuvithibitisha kuzalisha graduands katika fani mbali mbali ila nilifanya simple comparison coz in physical reality UDOM kina hadhi kubwa sana ukikilinganisha na TEKU ila juu la suala nililozungumzia nilidiriki kukipa credits TEKU kwani niliona prospectus za TEKU online wakati UDOM hawakuonekana...OVER

Kwa hiyo umeamua kuwatusi teKU jamani.
 
Ndugu yangu Shardcole
Kwanza kabisa naomba nikane kuwa mimi si Mwl. ila ni Assistant Lecturer ktk programme za Science katika Vyuo vyetu vya Kitanzania. Pili nikane kuwa maisha yangu yote sijawahi kufikiria kuwa mbea coz naamini hiyo kazi ni ya Wanawake tena wenye elimu duni.
On top of that, Mimi ni mwadilifu sana na pia utanisamehe sana coz huwa sikopeshi wala kuficha jambo lolote linalopindishwa hata hapa kazini kwangu. Mimi binafsi nadhani kuwa kwa kuonyesha mapungufu katika Vyuo vyetu kwa njia moja au nyingine tunavijenga coz next time hawawezi kurudia makosa. Thanx for sharing friend.....OVER.
Acha umbea Brother James, wewe ni mwalimu hivyo usihaibishe taaluma yako.
 
My friend mwitu,
Ulichozungumza ni kama ndo za mchana, Haitaweza kutokea hata siku moja TEKU kuwa juu ya UDOM katika nyanja yoyote ile hususani kitaaluma.......Therefore stop dreaming my fellow Tanzanian......OVER

km ulivyokiri ni kweli udom inazidiwa na teku. Ndo maana udom tunaita chuo cha kata
 
baba erne,
Naomba nikufahamishe kuwa miongoni mwa vitu ambavyo sioti hata siku moja kuvifanya ni Unafiki, pia nataka nikuthibitishie kuwa mimi nina uchungu sana na UDOM na Elimu ya Vyuo Vya Kitanzania kwa kusema kuwa personally ni Product ya UDOM na kwa sasa ni Lecturer wa baadhi ya Vyuo vyetu vya Kitanzania. Sintonyamaza hata siku moja nikigundua kuwa UDOM inavurunda coz kwani ni aibu kubwa sana. Lengo langu kuu ni kukijenga Chuo Cha UDOM kwa kukosoa mapungufu yanayoonyeshwa. Pia mimi si mtoto kama ww wa kufanya ligi za vyuo coz nina mambo mengi sana ya kufanya, kila dakika moja kwangu ni sawa na thamani yaUS$ 10........OVER
Af ww acha unafiki apa ucjifanye una uchungu kuhusu UDOM kumbe mnafiki xa nenda kafanye ligi za vyuo kwenu na cio apa jamvini...
 
Kiongozi,
Naomba ku-declare interest kuwa Mimi ni product ya kwanza ya UDOM hivyo basi sikusudii kukiponda Chuo Changu kwa majungu ila kikionyesha mapungufu lazima tuzungumze kwa sababu tunataka UDOM kiendelee kuviburuza vyuo vingine nchini na nje ya nchi.....Nataka makosa madogo madogo kama hayo yasijitokeze coz tunaamini kuwa UDOM kinazalisha watu makini....OVER. Pia nikushuru kwa kuona kuwa ni busara kukikosoa Chuo chetu kinapokosea coz ndio njia ya kukijenga...OVER

Duh usingesema wewe ni product ya kwanza mkuu ni aibu product za kwanza za UDOM ndio zile wanazoziengua kwenye ajira ,product za kwanza za UDOM ni bomu hata wahadhiri wenyewe wanajua
 
Yesar,
Mimi ni former Student of University of DODOMA na pia pamoja na mambo mengine, nakisaidia na kukijenga Chuo Chetu kwa kukikosoa kinapokosea na pia ujumbe ukiwafikia huwa wanabadilika immediately and effectively. Now tell me what are you doing to help University of Dododma, the place where you study/admire?????
udom bhana yani kinawapa homa vyuo vikongwe na bado mpaka BRN
 
Evelyn,
Somehow nakuunga mkono coz siasa inayoendeshwa UDOM si ya kawaida na wasipokuwa makini itasababisha ubora wa Elimu ya UDOM ushuke sana. Pia bureaucracy na ukiritimba usio na tija umejaa katika ngazi ya UTAWALA....otherwise kama kutafanyika Specializationa na Distribution of Power nadhani kila mtu atatambua majukumu yake. Pamoja na haya maelezo sehemu yoyote ambayo watu huogopana kuwajibishana matokeo yake ni zaidi ya kile tunachokiona UDOM na baadhi ya Vyuo vyetu vya Umma.....OVER.
Tatizo la udom imeingizwa sana kwenye mambo ya siasa
 
Back
Top Bottom