Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,337
- 17,566
Mzee Mohamed Said naona kama umeamua kurudi kivingine kuleta ile historia yako yawapigania uhuru.
Nimeisoma vizuri hadithi yako ambayo imechukua kama 92% ya mada yako na nimeshangazwa katika matukio hayo ya kusikitisha yaliyokutokea mwaka 2006 hukuwahi kutaja raisi aliyekuwa madarakani kipindi hicho. Vivyo hivyo hukuwahi kutaja nani alikuwa madarakani mwaka 1993 wakati ndugu zetu waislam wanapigwa na mabomu ya machozi lakini hukusita kumtaja Nyerere mara mbili katika paragraph ya kwanza. Unawea kutueleza kinagaubaga kwanini hukuwataja?
Nimeisoma vizuri hadithi yako ambayo imechukua kama 92% ya mada yako na nimeshangazwa katika matukio hayo ya kusikitisha yaliyokutokea mwaka 2006 hukuwahi kutaja raisi aliyekuwa madarakani kipindi hicho. Vivyo hivyo hukuwahi kutaja nani alikuwa madarakani mwaka 1993 wakati ndugu zetu waislam wanapigwa na mabomu ya machozi lakini hukusita kumtaja Nyerere mara mbili katika paragraph ya kwanza. Unawea kutueleza kinagaubaga kwanini hukuwataja?