Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Majibu na kejeli zako zinaonyesha unakijua kilichomkuta huyo Shekh. Hakuna marefu yasiyo na ncha.
Unajua nilichokisema hakina ubishi na huna data kupinga nilichokiandika. So? Unakimbilia kuita kejeli!