Udhalilishaji: Video ya PNC akimuomba msamaha Ostaz Juma na Musoma


PNC AKIMWOMBA MSAMAHA USTAZ JUMA - YouTube

Mimi kama mdau wa muziki wa kizazi kipya napinga na kulaani huu udhalilishaji wanaofanyiwa wasanii wetu.

Nimestushwa kuona hii video inayosambaa kwenye social network ambayo member wa zamani wa kundi la Watanashati PNC akiwa amempigia magoti don wa kundi hilo Ostaz Juma Namusoma huku akimwomba msamaha.

Hakika hii video inaondoa thamani ya wasanii wetu na kuonesha kuwa bila hao wanyonyaji wanaojiita mameneja wa wasanii basi muziki sio kitu.

Na nyie wasanii muwe na msimamo thabiti na sio kuhama hama makundi kama malaya na ndiyo maana mnaishia kudhalilishwa kwa ujinga wenu.

Na ninyi madon wa muziki acheni kudhalilisha wasanii,kwa kuwanyonya inatosha tu na sio kuanza kuwaanika kwenye mitandao mambo wanayofanya.Mimi sijafurahishwa kabisa na hii video.

Narudia tena; Nalaani vikali huu udhalilishaji kwa wasanii.

attachment.php


Daah!c vyema kabisa
 
Last edited by a moderator:
Haramu ni kuabudu sanamu la mzungu! Na picha yake!

Muziki ni ktk matendo yaliyokatazwa ktk uislamu na mwenye kutafanya hastahili kuitwa Ustadh!

Lkn all in all HAKUNA HARAMU KUBWA KAMA KUABUDU SANAMU NA PICHA YA MZUNGU!

ila ustaadhi kumiliki wasanii wa bongo fleva ni... jazakallahurkheri!!! maalim
 
Mkuu bado iyo hai JUSTIFY kumrekodi na kutupia kwenye social N/W, hata kama huwa wanawasaidia mamilioni ya mipesa, ki busara wangeombana huko kimya kimya bila ku recordiana video, sasa wali record ili iweje??? Hivi uyo jamaa PNC si tayari watu washamzarau, Nangojea videmu vyake vione hii, lazima vimuhisi hata TIGO anatoa

mi sio dem wake lakn nishahisi kua anamegwa na ustadhi Juma..hahah haiwezekan yan mtu apige hadi goti...hapa lazma kitu cha tigo kinahusika
 
PNC pimbi tu hana akili hata kidogo yaan hawa wasanii ambao shule zero kama hiyo kenge PNC ndo lazma asujudu kinyume na hapo hana akili nyingine nilijinga na meno yake ka ngurue
mkuu hapo umekosea kiukweli futa kauli yako tafadhari nakuomba..........
 
ila ustaadhi kumiliki wasanii wa bongo fleva ni... jazakallahurkheri!!! maalim

Kijana usiniletee maswali ya kitoto.

Kumiliki wasanii ndio kuwafanya nini sasa!

We umeshaambiwa muziki haufai! Halafu unauliza je! Kumiliki wasanii!?

Sasa hao wasanii unawamiliki ili uwafanye nini! Wawe wanakupikia ugali au!

Mnfnsssssssss!
 
Si alimuimba Bosi wake kuwa ana sura mbaya? Hata mi sikupenda kitendo cha PNC kutamka hivyo kwenye wimbo wake
 
Acheni longo longo bana,mtu akijutia makosa yake lazima aombe msamaha!Mbona Kafulila alimpigia magoti Mbatia tena akilia kama kitoto kidogo!Mwacheni atajifunza taratibu jinsi mwanaume anatakiwa awe.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
.... Nashukuru huyu ustadh juma hakuna msanii wa kike anaemmnage maana sipati picha kabisa kama wa kiume wanawafanyia hivi wa kike je?..
 
bora boss wangu anaendesha mambo yake kisasa..meneja yupo chin yake siyo yeye awe chini ya meneja..
yeye ndio kamwajiri meneja..si wa kumpelekesha pelekeshan kinjaa njaa
 
Back
Top Bottom