EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #81
namaanisha jamaa yupo humble sana,wala huwezi amini kama ukiongea nae,kuhusu malori anamiliki malori makubwa ya mizigo na nilishawahi yatumia kuna kazi yalikuwa yanafanya.
Hata mie nikikutana na potential customer lazima niwe humble sana. In fact, ni kila mtu.
Yaani wewe unafikia conclusion kuwa mtu ni mzuri au mbaya kwa kuchekewa tuu?