Anayezusha yote haya ni Tuntemeke akishirikiana na Komu wala sio Mwigamba..hizi ndio habari za mujini nimemsikia siku nyingi sana huyu Komu na nimewaasa sana hapa JF ila ndio hamkutaka kuamini..Mkuu mbona tulishafahamu haya! Daima haki haishindwi! Kama mtu unania njema kwanini unapotakiwa kuwajibika unakuwa mbogo! Ugomvi huu umeshavamiwa na maadui wa ndani na nje ya chama! Chadema inabidi itofautishe mambo ya kitaalamu na siasa! Mwanasiasa alafu ndio mhasibu? Ni tatizo! Waajiri wahasibu ambao wakifukuzwa haitakuwa tabu kama unapofukuza mhasibu alafu anamaslahi ya kisiasa! Erasto kufanya haya sawa lakini Mwigamba sikumtegemea kabisa! Bora chama kisafishe mamluki mapema! Kuhusu Tuntemeke huyu ni kijana wa mzee Tuntemeke na ni victim wa uchaguzi wa bavicha ila hapa ameongezewa nguvu tu! Intelijinsia itafanya kazi kuwaumbua wote!
Anayezusha yote haya ni Tuntemeke akishirikiana na Komu wala sio Mwigamba..hizi ndio habari za mujini nimemsikia siku nyingi sana huyu Komu na nimewaasa sana hapa JF ila ndio hamkutaka kuamini..
Tunashukuru kwa uchunguzi/utafiti wako, muda si mrefu itajulikana tu chanzo cha haya yote na walio nyuma yake.
Swali langu ni moja tu kumhusu mtuhumiwa mmoja, Samson Mwigamba mwenye mchundo(FTC) katika Electronics & Telecommunication Eng. toka Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT) ashindwe kujua tofauti ya package na Database? Kama angekuwa amesoma hivi vyuo vya mtaani vinavyotoa diploma ya miezi mitatu ningekubaliana na wewe moja kwa moja! Ama huyu Samson Mwigamba unayemsema hapa ni mwingine?
Binafsi sihitaji kujua akina TUNTEMEKE ni akina nani na wala sioni hoja yako hapa............
Cha msingi ni kuthibitisha kama tuhuma zinazotolewa ni za kweli au la
Ni hulka ya binadamu anapobaniwa huamua tukose wote na hasa akama najua madhambi yako, sasa kama akina TUNTEMEKE walikua humo na wakatolewa wewe huoni wananafasi nzuri ya kujua madudu yanayofanyika humo hata kama nao kwa namna moja au nyingine walikuwa wanashiriki?
Binafsi najua kama Mchumba wa Dr Slaa ni aina ya akina mama Mugabe, anafanya atakalo pale HQ na hakuna wa kumgusa na hili mkuu kama kweli upo hapo HQ unalijua vizuri sana
Ni zaidi ya unafiki kusema Josephine hana mkono katika kuondoka kwa Mwigamba
Josephine angejuaje kama CDM wanahita hiyo software kwaajili ya uhasibu? hivi kuna hitaji akili ya ziada kujua Dr na Mchumba wake walikaa chumbani usiku na kupeana hilo deal?, au kunatangazo lilitoka kuwa anatakiwa mtu wa kujitolea kwaajili ya software ya uhasibu?
Softwares za uhasibu zimejaa kibao na kama hiyo ni mpya na imebuniwa na josephine basi kulikuwa na haja gani ya kumfukuza Mwigamba wakati kilichotakiwa ni kufundishwa namna ya kuitumia? hizo zingine ni porojo tu, josephine anatafutiwe sehemu apachikwe
Mkuu acha unafiki na Mungu wako anakuona huko uliko, unajifanya hujui Josephine analipwa hela za Chama na kutumia magari ya chama wakati si mwajiriwa wa chama wala mke wa Dr,
Hivi hawara ana right gani katika chama? bora angekuwa mke wake, Josephine ni HAWARA tu wa Dr Slaa.
Mnaleta habari za usalama wa mtoto ina husu nini na chama? Kisheria Dr slaa yupo single full stop na chama kinawajibika kwake na si kwa hawara, unless angekuwa mkewe labda angepata stahiki fulani fulani
Mkuu kama una access na Dr Slaa mwambie taratibu huyo sijui mchumba wake atamuharibia na kasi anayokwenda nayo kwa kuji involve na mambo ya chama ita mcost Dr slaa mwenyewe, inadaiwa maamuzi mengi Dr anayafanya kwa shinikizo la huyu mama ili apata favour mbali mbali kutoka kwenye chama
Hatumjui mke wa mbowe wala Tundu Lisu wala said Arf ,its all about Josephine, na kwanza sina hakika sana na unachodai amesomea, nijuavyo mimi Josephine ni "Mganga wa tiba mbadala"(usanii tu) na mjasiliamali anamiliki massege yake ambayo kimsingi Dr alimjulia huko alipokuwa nakwenda kupata huduma ya massage
Hatutaki kuja kupata first lady wa jamii ya akina Anna Mkapa au mama Museven, NOPE
Mkuu wangu sasa umeenda mbali sana hata kumpangia mtu maisha yake. Naweza tu kukubaliana na wewe ikiwa Dr.Slaa atasimama kugombea Urais na ukaliweka hili swala la hawara mbele lakini sii uungwana tunapozungumzia maswala yanayowahusu waajriwa wa chama. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kumwondoa uanachama mwana chadema na kumsimamisha kazi mtumishi wa kazi ndani ya chama. Hii haijalishi nani anafaya nini ni mwajriwa wa kazi kutokana na elimu yake...Binafsi sihitaji kujua akina TUNTEMEKE ni akina nani na wala sioni hoja yako hapa............
Cha msingi ni kuthibitisha kama tuhuma zinazotolewa ni za kweli au la
Ni hulka ya binadamu anapobaniwa huamua tukose wote na hasa akama najua madhambi yako, sasa kama akina TUNTEMEKE walikua humo na wakatolewa wewe huoni wananafasi nzuri ya kujua madudu yanayofanyika humo hata kama nao kwa namna moja au nyingine walikuwa wanashiriki?
Binafsi najua kama Mchumba wa Dr Slaa ni aina ya akina mama Mugabe, anafanya atakalo pale HQ na hakuna wa kumgusa na hili mkuu kama kweli upo hapo HQ unalijua vizuri sana
Ni zaidi ya unafiki kusema Josephine hana mkono katika kuondoka kwa Mwigamba
Josephine angejuaje kama CDM wanahita hiyo software kwaajili ya uhasibu? hivi kuna hitaji akili ya ziada kujua Dr na Mchumba wake walikaa chumbani usiku na kupeana hilo deal?, au kunatangazo lilitoka kuwa anatakiwa mtu wa kujitolea kwaajili ya software ya uhasibu?
Softwares za uhasibu zimejaa kibao na kama hiyo ni mpya na imebuniwa na josephine basi kulikuwa na haja gani ya kumfukuza Mwigamba wakati kilichotakiwa ni kufundishwa namna ya kuitumia? hizo zingine ni porojo tu, josephine anatafutiwe sehemu apachikwe
Mkuu acha unafiki na Mungu wako anakuona huko uliko, unajifanya hujui Josephine analipwa hela za Chama na kutumia magari ya chama wakati si mwajiriwa wa chama wala mke wa Dr,
Hivi hawara ana right gani katika chama? bora angekuwa mke wake, Josephine ni HAWARA tu wa Dr Slaa.
Mnaleta habari za usalama wa mtoto ina husu nini na chama? Kisheria Dr slaa yupo single full stop na chama kinawajibika kwake na si kwa hawara, unless angekuwa mkewe labda angepata stahiki fulani fulani
Mkuu kama una access na Dr Slaa mwambie taratibu huyo sijui mchumba wake atamuharibia na kasi anayokwenda nayo kwa kuji involve na mambo ya chama ita mcost Dr slaa mwenyewe, inadaiwa maamuzi mengi Dr anayafanya kwa shinikizo la huyu mama ili apata favour mbali mbali kutoka kwenye chama
Hatumjui mke wa mbowe wala Tundu Lisu wala said Arf ,its all about Josephine, na kwanza sina hakika sana na unachodai amesomea, nijuavyo mimi Josephine ni "Mganga wa tiba mbadala"(usanii tu) na mjasiliamali anamiliki massege yake ambayo kimsingi Dr alimjulia huko alipokuwa nakwenda kupata huduma ya massage
Hatutaki kuja kupata first lady wa jamii ya akina Anna Mkapa au mama Museven, NOPE
Tunashukuru kwa uchunguzi/utafiti wako, muda si mrefu itajulikana tu chanzo cha haya yote na walio nyuma yake.
Swali langu ni moja tu kumhusu mtuhumiwa mmoja, Samson Mwigamba mwenye mchundo(FTC) katika Electronics & Telecommunication Eng. toka Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (DIT) ashindwe kujua tofauti ya package na Database? Kama angekuwa amesoma hivi vyuo vya mtaani vinavyotoa diploma ya miezi mitatu ningekubaliana na wewe moja kwa moja! Ama huyu Samson Mwigamba unayemsema hapa ni mwingine?
Anayezusha yote haya ni Tuntemeke akishirikiana na Komu wala sio Mwigamba..hizi ndio habari za mujini nimemsikia siku nyingi sana huyu Komu na nimewaasa sana hapa JF ila ndio hamkutaka kuamini..
Mkuu wangfu sasa umeenda mbali sana hata kumpangia mtu maisha yake. Naweza tu kukubaliana na wewe ikiwa Dr.Slaa atasimama kugombea Urais na ukaliweka hili swala la hawara mbele lakini sii uungwana tunapozungumzia maswala yanayowahusu waajriwa wa chama. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kumwondoa uanachama mwana chadema na kuismimamisha kazi mtumishi wa chama. Hii haijalishi nani anafaya nini?
Na ukweli utabakia tunapozungumzia Accounting package ambazo wewe unadai zipo nyingi basi huyo Mwigamba angejua basi kwamba kinachofanyika ni install software mpya ya Accounting na halafu nakuomba ufahamu ya kwamba kuwa system analyst huwezi kujua pia kuitumia software ya accounting hivyo haiwezekani wala haitawezekana Josephine kuajiriwa Accounting kwa sababu ni system analyst - Atachemsha. Alosemea uhasibu ndiye peke anaweza kuelewa anafanya nini hata akifundishwa jinsi ya kutumia package hiyo mna sii mtu yeyote. Kwa hiyo haya madai ya kwamba Josephine anaandaliwa kuchukua nafasi hizo ni upuuzi mtupu kwani wanalipwa kiasi gani hadi huyu mama mwenye ujuzi wake aende kuosha vyombo..
Mimi siku zote husema Mhasibu ni sawa na mwosha vyombo yaani watu wanakula wee meza kubwa kazi yako ni kusafisha meza na kuhakikisha meza inapokea mlaji mwingine. Na kama tulivyoeezwa ana shughuli zake iweje avutiwe na ajira ya uhasibu ambayo hakusomea?..nimeifanya kazi hiyo na nazijua kahara zake.
Paul, my understanding;
ni kweli yule dada ana influene fulani, but not to the extent you shared, kuhusu mahusiano yao nk. nadhani most will agree kwamba that was ugly scene and they need to sort out their relationship; most has been said and done, and as a person who hates one persona repeating the same thing over and over, maybe the fact kwama josephine is not a wife of slaa is clear
kuhusu software, naomba uache insults mkuu, one time two years ago, niliuliza that question, nikaambiwa ni process na wako kwenye process na wana wahasibu vijana wazuri sana waliojitolea kufanya hiyo kazi for free - i think we can guess, but not all the time
ONE THING I HVAE TO AGREE WITH YOU AND POSSIBLY MANY, SLAA needs to leave Josephine home, asipoangalia ataishia kuwa Lucy Kibaki au yule mke wa Mugabe, probably lets be honest, ATAKAYEMUANGUSHA SLAA (IMAGE, RESPECT ETC) NI JOSEPHINE, hata kama watu watakataa, washauri wa Slaa need to take this with a pinch of salt
Mkuu Maranya, baada ya kusoma uzi nimegundua kwamba kwa upande wa Mwigamba kuna elements za kuonewa. Hivi unaleta accounting package ambayo naamini imekuwa developed na siyo kuchukuliwa kutoka dukani (on the shelf) halafu unasema ameshindwa kuitumia; je alikuwa trained, alishirikishwa katika mchakato wa kui develop? Hii package inaonekana kama imekuwa imposed kwa akina Mwigamba bila kufuata utaratibu wa System Development Life Cycle. Siku zote system ambazo hazikufuata utaratibu huwa zina failkwa kuwa hukosa User Acceptance. Pia mkuu umeseme Mwigamba ni fundi mchundo; imekuwa tena aingilie mambo ya IFRS 9 au ni Mhasibu pia kwa maana ya Certified Public Accountant? Kama si mhasibu na mkampa uhasibu basi mlimuonea tangia mwanzo na hapa ni maendelezo tu ya kumuonea.
Kwenye thread ya kina Tuntemeke wamesema wazi kuwa Josephine anataka kupora nafasi ya UhasibuYou missed my point kaka
Sijamaanisha Josephine anataka kupewa uhasibu wa chama hapana
Kuhusu walinzi wa Josephine kumpeleka kanisani.
Ukweli ni kuwa Josephine hana mlinzi. Yupo yeye kama yeye. Hata alipovamiwa na wale majambazi/vibaka josephine alikuwa peke yake. Hata hapa JF tulilalamika sana kwa nini yule mama hana walinzi.
Kimsingi walinzi waliopo ni wale wanaomlinda Dr. Slaa nyumbani kwake. Sasa hawa (Dr. na Josephine) wanaishi pamoja hivyo sio rahisi alindwe Slaa tu Josephine asilindwe.
Na walinzi hawa walipatikana katika mchakato halali kabisa. Walikuwa interviewed na kufanyiwa character assesment.
Coincidence ni kuwa katika walinzi walioajiriwa wapo ambao awali walikuwa Walinzi wa Askofu Gwajima ambaye pia ni askofu wa Josephine. Josephine hana mlinzi binafsi.
Waliotoa mada ile waje wathibitishe walinzi binafsi wa Josephine
Mkuu wangu sidhani kama kaonewa mtu. Ikiwa huyo Mwigamba hakuwa mhasibu na alichukuliwa tu kufanya data entry ndio maana hakujua tofauti zinazozungumzwa. Nawajua watu kibao wanaofikiria anyone can do accounting kwa sababu hutengeneza mahesabu yao kwa kutumia excel, sasa wanapoletea kitu kama hicho huwa hawajui wataanzia wapi kwa sababu Uhasibu ni taaluma sio academic kama wengi wanavyofikiria. Na maadam mnasema Mwigamba ni fundi mchundo basi naelewa kwa nini hafai kubakia accounting.. Hakuonewa hata kidogo ni wakati Chadema wanatakiwa kuajiri watu waliosomea Uhasibu...Mkuu Maranya, baada ya kusoma uzi nimegundua kwamba kwa upande wa Mwigamba kuna elements za kuonewa. Hivi unaleta accounting package ambayo naamini imekuwa developed na siyo kuchukuliwa kutoka dukani (on the shelf) halafu unasema ameshindwa kuitumia; je alikuwa trained, alishirikishwa katika mchakato wa kui develop? Hii package inaonekana kama imekuwa imposed kwa akina Mwigamba bila kufuata utaratibu wa System Development Life Cycle. Siku zote system ambazo hazikufuata utaratibu huwa zina failkwa kuwa hukosa User Acceptance. Pia mkuu umeseme Mwigamba ni fundi mchundo; imekuwa tena aingilie mambo ya IFRS 9 au ni Mhasibu pia kwa maana ya Certified Public Accountant? Kama si mhasibu na mkampa uhasibu basi mlimuonea tangia mwanzo na hapa ni maendelezo tu ya kumuonea.