Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,920
- 32,335
TUNTEMEKE & Co Kwisha!
Mkuu naona umekuja kujiliwaza kwenye hii thread kumbuka TUNTEMEKE, PAA, MWANAHALIS, wanakusanya Nondo sasa hivi watatia team.
TUNTEMEKE & Co Kwisha!
Kwa hiyo mkuu ina maana Josephine haendi kanisani na walinzi kwa kuwa walinzi ni wa Dr. Slaa na naamini Dr. Slaa haendi kwa Gwajima, au nimekosea?
Mkuu Mkandara kumbe na wewe haujambo enhe katika kuhamisha concetration za watu, kama MTM vileee, LOL! Umeona kule watu hawachoki, wacha utudondoshee link ili tuje huku, haya bana!
Anyway, ninachokiona hapa si kwamba CHADEMA wana safari ndefu bali nchi ina safari ndefu!! Kule akina TUNTEMEKE wametakiwa kutoa ushahidi, hapa hao hao waliowataka wakina TUNTEMEKE watoe ushahidi nao wametoa mada zisizo na ushahid!! Wana raha sana waliozoea jukwa la maladavi, hakuna mambo ya ushahidi kule!
Kwenye Busara point of view, sio mwenendo mzuri sana kuwazungumzia jukwaani na kwa undani namna hii watu kama Mwigamba ambao kwanza ni mwenyekiti wa chama mkoa ambao kuna uchaguzi na pia bado anajihusisha na kazi za kila siku za chama, kwa kuwa hatazijibu hizi tuhuma humu jukwaani moja kwa moja. Huenda anaendelea kujibu kutumia ID ambayo wote hatujui kama ni yeye unless aingie kama verified user. Pia malumbano haya ya wana CDM wa JIKONI humu jukwaa la wazi yanatoa nafasi nzuri sana kwa wapinzani wenu kuwajua vizuri na hivyo kuwamaliza wakipata fursa. Tumejua kinachoendelea na kila mtu achanganye na akili zake kichwani. Rev ulichotupatia ni point muhimu but ufafanuzi wako usijikite katika kuweka hadharani utendaji wa chama na vitu vya ndani sana ya chamaAsante sana mkuu. Hoja hapa sio kuonewa ama kutokuonewa kwa Mwigamba. Hoja ni msingi wa kina Tuntemeke kudhalilisha tena kwa hoja za uongo kabisa viongozi wa Chadema
Sasa unataka kusema motive ya huyu mama kuhusika na kumfukuza Mwigamba ni ipi?. yaani kosa lake ni kuombwa awatafutie Chadema package ya accounting?. Ati mkitaka kufanyie tender jamani mko dunia gani haswa..You missed my point kaka
Sijamaanisha Josephine anataka kupewa uhasibu wa chama hapana
Binafsi sihitaji kujua akina TUNTEMEKE ni akina nani na wala sioni hoja yako hapa............
Cha msingi ni kuthibitisha kama tuhuma zinazotolewa ni za kweli au la
Ni hulka ya binadamu anapobaniwa huamua tukose wote na hasa akama najua madhambi yako, sasa kama akina TUNTEMEKE walikua humo na wakatolewa wewe huoni wananafasi nzuri ya kujua madudu yanayofanyika humo hata kama nao kwa namna moja au nyingine walikuwa wanashiriki?
Binafsi najua kama Mchumba wa Dr Slaa ni aina ya akina mama Mugabe, anafanya atakalo pale HQ na hakuna wa kumgusa na hili mkuu kama kweli upo hapo HQ unalijua vizuri sana
Ni zaidi ya unafiki kusema Josephine hana mkono katika kuondoka kwa Mwigamba
Josephine angejuaje kama CDM wanahita hiyo software kwaajili ya uhasibu? hivi kuna hitaji akili ya ziada kujua Dr na Mchumba wake walikaa chumbani usiku na kupeana hilo deal?, au kunatangazo lilitoka kuwa anatakiwa mtu wa kujitolea kwaajili ya software ya uhasibu?
Softwares za uhasibu zimejaa kibao na kama hiyo ni mpya na imebuniwa na josephine basi kulikuwa na haja gani ya kumfukuza Mwigamba wakati kilichotakiwa ni kufundishwa namna ya kuitumia? hizo zingine ni porojo tu, josephine anatafutiwe sehemu apachikwe
Mkuu acha unafiki na Mungu wako anakuona huko uliko, unajifanya hujui Josephine analipwa hela za Chama na kutumia magari ya chama wakati si mwajiriwa wa chama wala mke wa Dr,
Hivi hawara ana right gani katika chama? bora angekuwa mke wake, Josephine ni HAWARA tu wa Dr Slaa.
Mnaleta habari za usalama wa mtoto ina husu nini na chama?Kisheria Dr slaa yupo single full stopna chama kinawajibika kwake na si kwa hawara, unless angekuwa mkewe labda angepata stahiki fulani fulani
Mkuu kama una access na Dr Slaa mwambie taratibu huyo sijui mchumba wake atamuharibia na kasi anayokwenda nayo kwa kuji involve na mambo ya chama ita mcost Dr slaa mwenyewe, inadaiwa maamuzi mengi Dr anayafanya kwa shinikizo la huyu mama ili apata favour mbali mbali kutoka kwenye chama
Hatumjui mke wa mbowe wala Tundu Lisu wala said Arf ,its all about Josephine,
Hatutaki kuja kupata first lady wa jamii ya akina Anna Mkapa au mama Museven, NOPE
Sasa hizi tuhuma zinahusiana vipi na Dr.Slaa kuwa katibu wa chama au mwana Chadema?..Nimeelewa sasa kwamba JF = CDM. CDM wakisemwa kidogo tu humu watu wanawatetea mpaka mapovu yanawatoka mdomoni
(i) Slaa aoe, kwa nini hataki kuoa hata bomani? Utamu wa k..a zote uko sawa, aache ushamba, atulie manake ninavyoona 2015 anaweza kuja na 'toleo jipya'
(ii) Ni kweli alifukuzwa upadri kwa kula hela ya kumpokea papa (aliliibia kanisa?!)
(iii) Mwigamba mwaga evidences hapa tuchambue
Asante sana mkuu. Hoja hapa sio kuonewa ama kutokuonewa kwa Mwigamba. Hoja ni msingi wa kina Tuntemeke kudhalilisha tena kwa hoja za uongo kabisa viongozi wa Chadema
Mkuu nadhani kwako wewe Tunte,Tii na Paa ni watu watau tofauti. Kama kweli unaamini hivyo utakuwa umekosea sanaNilichokiona hapa ni kuchafua watu bado sijapata connection ya watu hao na tunte/tii/paa. Madhara yake ni makubwa sana kwa cdm ni bora uzi ukafutwa
tatizo la cdm fans ni kuamini kila kitu bila kufikirisha ubongo kwa mapana
Mkuu ofisi hizi zinaficha mengi...... unadhani akihoji uhalali wa malipo ya "familia" ya katibu mkuu ambayo haipo itakuwaje?Sasa unataka kusema motive ya huyu mama kuhusika na kumfukuza Mwigamba ni ipi?. yaani kosa lake ni kuombwa awatafutie Chadema package ya accounting?. Ati mkitaka kufanyie tender jamani mko dunia gani haswa..
Kuhusu Erasto Tumbo, huyu bwana simfahamu lakini kama ni yeye aliyekuwa anasimamia kuregenzi ya habari CHADEMA wako sahihi kabisa kumuondoa kwenye nafasi hiyo. Kwa muda mrefu wadau wengi hapa JF wamelalamika sana kuhusu mawasiliano hafifu ya CHADEMA. Regia Mtema (RIP) ndiye aliyekuwa anaokoa jahazi mara kwa mara kwa kuwapa watu updates (hata wakati wa matukio makubwa). Ni vigumu kuamini kuwa CHADEMA walikuwa wanamlipa mtu kuendesha hii kurugenzi.
Kwenye Busara point of view, sio mwenendo mzuri sana kuwazungumzia jukwaani na kwa undani namna hii watu kama Mwigamba ambao kwanza ni mwenyekiti wa chama mkoa ambao kuna uchaguzi na pia bado anajihusisha na kazi za kila siku za chama, kwa kuwa hatazijibu hizi tuhuma humu jukwaani moja kwa moja. Huenda anaendelea kujibu kutumia ID ambayo wote hatujui kama ni yeye unless aingie kama verified user. Pia malumbano haya ya wana CDM wa JIKONI humu jukwaa la wazi yanatoa nafasi nzuri sana kwa wapinzani wenu kuwajua vizuri na hivyo kuwamaliza wakipata fursa. Tumejua kinachoendelea na kila mtu achanganye na akili zake kichwani. Rev ulichotupatia ni point muhimu but ufafanuzi wako usijikite katika kuweka hadharani utendaji wa chama na vitu vya ndani sana ya chama
Anayezusha yote haya ni Tuntemeke akishirikiana na Komu wala sio Mwigamba..hizi ndio habari za mujini nimemsikia siku nyingi sana huyu Komu na nimewaasa sana hapa JF ila ndio hamkutaka kuamini..
Mkuu kwenye blue nashukuru kama unatambua hiloNakubaliana na wewe kwamba CHADEMA will be better off kwa kumuweka kando Josephine. Aliyokwishafanyia chama ashukuriwe then watu wosenge mbele. Uwepo wake sasa unaanza kuwa source of un-neccessary debate. Ni ushauri tu CHADEMA.
Lakini hapo kwenye red: Mbele ya sheria Dr Slaa sio single. Ukishakaa na mwanamke kwa zaidi ya miezi sita basi anahesabika kama mke. Hivyo kama 'mama mdogo' yuko kwakO tangia mwezi August 2011 basi ndugu una mke! Tarumbeta na ubwabwa ni juu yako lakini mke tayari unaye ndani!
Mkuu ofisi hizi zinaficha mengi...... unadhani akihoji uhalali wa malipo ya "familia" ya katibu mkuu ambayo haipo itakuwaje?
Hivi mkuu naona unaitetea sana hiyo software kama sababu ya kumtoa Mwigamba, Kujua uhasibu na kujua kutumia software ya uhasibu ni vitu viwili tofauti kabisa. there's more than thousands Accounting softwares in this world, you need to learn one in order to use it.........Alifundishwa akashindwa?
Ndio nimesema hawezi hata akifundishwa kwa sababu Uhasibu ni taaluma unayosemea kwa miaka kibao. Uhasibu sio kujaza data bali kuelewa vitu vingi vinavyohusika.. Huwezi kunambia msomi aliyekuwa akifunga vidonda vitani, akifundishwa kusoma MRI basi anaweza kuifanya kazi ya Udaktari.. sii kweli.Mkuu ofisi hizi zinaficha mengi...... unadhani akihoji uhalali wa malipo ya "familia" ya katibu mkuu ambayo haipo itakuwaje?
Hivi mkuu naona unaitetea sana hiyo software kama sababu ya kumtoa Mwigamba, Kujua uhasibu na kujua kutumia software ya uhasibu ni vitu viwili tofauti kabisa. there's more than thousands Accounting softwares in this world, you need to learn one in order to use it.........Alifundishwa akashindwa?