Uchumi wa Marekani hoi

Ndiyo sisi tuna migodi lakini tumewagawia wazungu. Wanatuachia 3% na mashimo. Tuna ardhi nzuri lakini pia tumeamua kuwakodishia wageni wajilimie na kupeleka chakula kwao. Wenzetu Carribea watoto karibu wote wanavaa viatu, sisi watoto wetu kwa idadi kubwa bado wanasoma kwenye mavumbi. We should be ashamed.

Roma haikujengwa siku moja. Wewe unataka kesho ukiamka ukute kila Mtanzania ana maisha ya juu? Hiyo haiwezekani. Sisi tunaenda na kasi yetu lakini tunaenda. Na maendeleo yanaonekana. Kama wewe ungekuwa na uwezo wa kuchimba ungechimba uchukue hiyo 97%. Kama ulishindwa basi usilalamike wenzao wakifaidika. Si ndiyo uchumi wa kileo huo?
 
Roma haikujengwa siku moja. Wewe unataka kesho ukiamka ukute kila Mtanzania ana maisha ya juu? Hiyo haiwezekani. Sisi tunaenda na kasi yetu lakini tunaenda. Na maendeleo yanaonekana. Kama wewe ungekuwa na uwezo wa kuchimba ungechimba uchukue hiyo 97%. Kama ulishindwa basi usilalamike wenzao wakifaidika. Si ndiyo uchumi wa kileo huo?
Kasi gani hiyo unayozungumzia? Tanzania ya Kikwete iko nyuma na pale alipotuacha Mkapa. Hospitali zetu hoi, shule zetu hoi, elimu hoi, wakulima hoi, vijana hawana kazi hata baada ya kumaliza vyuo vikuu. Tulikuwa na haraka gani ya kuchimba madini kama uwezo hatuna? Tungesubiri Watanzania waweze kuchimba. Mbona Uganda imeweza? It is a shame!
 
american-dream-bankruptcy-attorney.png

A picture worth a thousand words.
 
Kasi gani hiyo unayozungumzia? Tanzania ya Kikwete iko nyuma na pale alipotuacha Mkapa. Hospitali zetu hoi, shule zetu hoi, elimu hoi, wakulima hoi, vijana hawana kazi hata baada ya kumaliza vyuo vikuu. Tulikuwa na haraka gani ya kuchimba madini kama uwezo hatuna? Tungesubiri Watanzania waweze kuchimba. Mbona Uganda imeweza? It is a shame!

Kasi gani unauliza wakati nimeshaweka link hapa ya kwamba uchumi wa Tanzania unakuwa 6% kwa mwaka? Au niirudishe tena ile post? Halafu hao Waganda unaowaongelea mbona tumewapita kiuchumi? Angalia hapo chini kama huamini. Kuanzia GDP mpaka vipato vya watu tumewapita. Basi kwa mantiki hii sisi tunavyofanya ni bora kuliko wanavyofanya Waganda.

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/ug.html

https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
 
lazima wataporomoka kiuchumi, ni kwasababu wameacha misingi ya waanzilishi wa taifa hili. walimtanguliza Mungu mbele, sasa wanakumbatia sera za,(kishetani shetani) kama ushoga,utoaji mimba, uonevu na ubababe kwa mataifa madogo ambazo ni chukizo kwa Mungu, hawana jinsi mungu ndo anawaadhibu hivyo
 
Kwa shule hizo, kazi utazopata ni za chini kidogo. Yaani hata dola 2000 kwa mwezi unaweza usipate. Upo? Labda urudi mwenyewe ufungue biashara yako kama mjasirimali.

ni kweli mkuu, maana kazi za juu wanapewa wanaojua kujpendekeza na walio watoto wa vigogo waliosoma india, malaysia, turkey na makaratasi ya wapopo UK na USA

hata biashara lazima uwe na wanasiasa wa kukulinda na tra wale kwako

wacha tu nifagie barabara huku si mbaya one day yes naweza nikapa 150K kwa mwaka na kusogeza maisha
 
lazima wataporomoka kiuchumi, ni kwasababu wameacha misingi ya waanzilishi wa taifa hili. walimtanguliza Mungu mbele, sasa wanakumbatia sera za,(kishetani shetani) kama ushoga,utoaji mimba, uonevu na ubababe kwa mataifa madogo ambazo ni chukizo kwa Mungu, hawana jinsi mungu ndo anawaadhibu hivyo

I see . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
 
Siku hizi American dream imegeuka kuwa American nightmare. Wana kazi kweli hawa Waamerika.

The Iranian chief executive went on to describe the US as a “bankrupt government that survives on other people’s money,” saying a government that has a $16 trillion foreign debt should not be allowed to release $32 trillion worth of paper money to plunder the wealth of other nations.​
President Ahmadinejad added that if those [countries] that provided the US with the $16 trillion worth of loans demand repayment, the country would go bankrupt. “In politics as well, US rulers have managed to stay at pinnacles of power through deception, just like an athlete that rises to victory through doping,” he said.

He further asserted that the American people remain under pressure and have no say in their nation’s affairs, noting that all their exchanges, communications and social associations are monitored and tapped as in a high-security zone.

Link PressTV - War and meddling by big powers cannot produce reforms: Ahmadinejad
 
Uchumi wa bongo unakuwa kwa kasi kuliko wa America. Marekani iko hoi karibu wataanza kuomba misaada.
Uchumi wa Tanzania unaweza ukawa "unakuwa" kwa kasi kuliko wa America,lakini hiyo kasi kuwafikia kuwafikia America hata kama ingekuwa kasi ya mwanga kwa utaratibu wetu sisi bado sana...Uchumi haujengwi kwa porojo za simba na yanga.
 
Hivi maendeleo gani mnayoyazungumzia wakati watu kila siku wanakimbizwa India? Hivi ikitokea emergency kweli huo muda wa kukimbizwa India utapatikana? Au ndi watu watabakia kusema kazi ya Mungu?
 
Back
Top Bottom