Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Hawa ndugu zetu wapo kiubaguzi sana, sijui kama tutfika mbali sana na hizi tabia zao.
Kwanza muungano wenyewe upo basi!!, ni mng'ang'aniano tu huo, na una faida kwa politicians tu!!!Au serikali kuogopa kuharibu "muungano thabiti tulionao!"
Upuuzi mtupu!