Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mojawapo ya chanzo cha matatizo katika nchi changa no ubaguzi ambao huasisiwa na wachache ,husasan Tabaka Tawala / Wassomi kwa malengo ya Kimkakati.

Nchi yetu Ina bahati kidogo ,kuwa iliwekwa msingi ya kpunguza visabqbishi ikiwemo ,ubaguzi wa kiimani,kmakabila au wa kijiografia!
Kwa kuwa tabia hizi ni za kibinadamu hazijaisha kabisa!

Kuna Mwandishi mmoja wa Historia anaitwa Mohamed Said .Mwandishi huyu no maarufu Sana kwa kuandika Historia ya Tanganyika na Zanzibar.Na kwa mujibu wake ,yeye huandika Historia ambayo anasema ..ilifichwa,makusudi .

Hapa nitatoa mifano ambayo Mwandishi huyu anaandika ambayo inaweza kuleta chuki na mtafaruku katika jamii!

Awali,amebainisha Histori ya TANU,haiwataji baadhi ya Waislam,ili kuficha jitihada za Waislam kudai Uhuru wa Tanganyika! Sijawahi kusikia au kuona hili likikanushwa!
Pili,anaandika na kusisitiza kuwa Wizara ya Elimu,imekuwa ikitumia Uwiano wa 20:80 ktk kuchagua Wanafunzi Kidato chakwanza...hapo 20 ni Waislam!
Mwisho,hivi karibuni amehoji uhalali wa Gaudensia Kabaka kuwa Mwenyekiti wa UWT CCM!,ilhali yeye, alizuia ujenzi wa msikiti na kuwanyanyasa Waislam Chuo Kikuu Cha Dodoma!Kuwa inakuwaje huyu anaioghoza Taasisi iliyoasisiwa na Waislam kina Bibi Titi!?
Bahati mbaya kwangu,sijui uhalali wa shutuma hizi.Ila ni shutuma kubwa ambazo zinalenga kupandikiza chuki!Hapa zijazungumzia mtazamo wake kuwa Nyerere alipokelewa na kutunzwa na Waislam akitokea Bara na akaja kuwa tenga!
Swali langu ni je,inakuwaje wauhusika wanafumbia macho uandishi huu! Kukaa kimya ni kumpa kibali na wasomaji wake tumuamini!
Madhara yake ni makubwa!
Tafadhalini wahusika Serikali,CCM msiache kulizungumzia makala hizi ambazo Mimi huzisoma hapa Jamii Forum!
Sasa kama ni ukweli unataka wakanushe nini?
 
Mleta mada umekiri kwa kusema "bahati mbaya sijui uhalali wa shutuma hizi"
Halafu unataka Mohamed Said achukuliwe hatua!
Mimi ningependa wanahistoria,wapangue shutuma na maandiko ya Mohamed Said kwa hoja na vielelezo
Hujaambiwa tatizo ni historia yake anayoandika. Uwe unasoma andiko kwa utulivu hata mara 7 ili uelewe points za msingi.
Tatizo ni uandishi wake kuonyesha kuwa dini fulani ilibaguliwa/ilionewa na inaendelea kubaguliwa/kuonewa hata sasa.
 
Historia yetu inahitaji kumulikwa zaidi,kuna mengi hatuyajui, hayakuandikwa, yanajaribu kupotoshwa na huenda mengine mengi yamepotoshwa.
 
wewe yeriko unataka kujilinganisha na mzee Mohd ?? wewe umelishwa matango pori na shule za Julius ! acha uelezwe ukweli amabao wengi wetu tulifichwa !
 
Unalalamika sana mzee wangu

Ova
Mrangi,
Hapana tuko hapa tunajadili historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika ambao wengi hawakuwa wanafahamika.

Unajua mimi nimepokea tuzo tano kwa kazi hii.
Jamii haiwaadhimishi walalamikaji.

Jamii inawaadhimisha wale wanaotoa mchango wa maana katika jamii waishizo.

Serikali ya Tanzania ilipotambua mchangowa Abdul Sykes na mdogo wake Ally waliwapa nishani ya Mwenge wa Uhuru mwaka wa 2011 katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.

Angalia picha hapo chini:

1713785296100.jpeg

Medali ya Mwenge wa Uhuru aliyotunukiwa Abdul Sykes 2011
1713785366603.jpeg

Nikiwa nimeishika Medali ya Mwenge wa Uhuru ya Abdul Sykes nikiwa na watoto wake kushoto Kleist Sykes, Miski Sykes, Aisha ''Daisy'' Sykes na Ilyaas Sykes
1713785538885.jpeg

Maxence Melo Executive Director JF​
 
Mrangi,
Hapana tuko hapa tunajadili historia ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika ambao wengi hawakuwa wanafahamika.

Unajua mimi nimepokea tuzo tano kwa kazi hii.
Jamii haiwaadhimishi walalamikaji.

Jamii inawaadhimisha wale wanaotoa mchango wa maana katika jamii waishizo.

Serikali ya Tanzania ilipotambua mchangowa Abdul Sykes na mdogo wake Ally waliwapa nishani ya Mwenge wa Uhuru mwaka wa 2011 katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika.

Angalia picha hapo chini:

View attachment 2970994
Medali ya Mwenge wa Uhuru aliyotunukiwa Abdul Sykes 2011
View attachment 2970996
Nikiwa nimeishika Medali ya Mwenge wa Uhuru ya Abdul Sykes nikiwa na watoto wake kushoto Kleist Sykes, Miski Sykes, Aisha ''Daisy'' Sykes na Ilyaas Sykes
View attachment 2971001
Maxence Melo Executive Director JF​
Huyo daisy amekuwa pamoja na mama yangu mdogo ujuwe
Hiyo familia hata mimi naijuwa vzr tu mzee wangu
Si ajabu hata wewe unaweza ukawa unamjuwa babu yangu hao wakina sykes wote walikuwa
Kundi moja na wana hang pamoja...
Hivi unajuwa nyerere alimchukulia babu yangu shamba lake lilikuwa babati na akampa ukoo wa kifalme ya uingereza,lakini hakuna aliyelalamika yaani fresh tu
Inaelekea na mimi ningekuwa nahuwa kuandika ningeandika mambo mengi
Ila mwishowe tupunguze kulalamika mzee wangu

Ova
 
Huyo daisy amekuwa pamoja na mama yangu mdogo ujuwe
Hiyo familia hata mimi naijuwa vzr tu mzee wangu
Si ajabu hata wewe unaweza ukawa unamjuwa babu yangu hao wakina sykes wote walikuwa
Kundi moja na wana hang pamoja...
Hivi unajuwa nyerere alimchukulia babu yangu shamba lake lilikuwa babati na akampa ukoo wa kifalme ya uingereza,lakini hakuna aliyelalamika yaani fresh tu
Inaelekea na mimi ningekuwa nahuwa kuandika ningeandika mambo mengi
Ila mwishowe tupunguze kulalamika mzee wangu

Ova
Mrangi,
Mimi nishakujibu swali hilo.

Yawezekana namfahamu babu yako mimi babu yangu Salum Abdallah alikuwa anaishi nyumba mkabala na nyumba ya akina Sykes Mtaa wa Kipata (sasa Mtaa wa Kleist Sykes) katika miaka ya 1930s.

Watoto wao wamesoma shule moja Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na wameishi pamoja hadi sisi tunazaliwa.

Huu ndiyo uhusiano wetu na sababu ya mimi kujua mengi katika historia ya TANU.

Angalia picha hiyo hapo chini:

1713792333139.jpeg

Na Ally Sykes Muthaiga Club Nairobi, 1989

 
Baada ya kufahamu udini umemlewesha huyo mzee nilianza kupuuza naandiko yake yenye sumu ya Udini kama sumu kuvu kwenye nafaka.
 
Do! zungukeni kote lakini mwisho hakikisheni unatueleza tunatokaje kwenye umaskini uliokithiri tunaokaa nao bila sababu huku tukiendelea kuwaheshimu na kuwajengea himaya viongozi wasio waaminifu katika mali na raslimali za taifa.
 
Back
Top Bottom