Uchawi Mjini Unguja: Marehemu aonekana mitaani na sokoni

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,331
33,141
WhatsApp Image 2021-08-12 at 18.48.03 (1).jpeg


WhatsApp Image 2021-08-12 at 18.48.03 (2).jpeg



WhatsApp Image 2021-08-12 at 18.48.03 (3).jpeg


WhatsApp Image 2021-08-12 at 18.48.03.jpeg
 
Nimeuliza nikaoanisha na ulivyoniita sijaelewa.

Tanzania kuna vurugu nyingi sana hata kujibu kazi.

Watu wanazikwa wazima kwa sababu hospitali hazina vipimo.

Hapo hata wakitoka makaburini utashangaa?

Hicho kituko kilichotokea kimechunguzwa vipi kama si maigizo ya kupangwa tu?
Mtu akizikwa mzima, anaweza Vip kufukua kifusi chote cha udongo na kutoka nje tena baada ya siku kadhaa toka azikwe?.

Ulitaka huo uchunguzi uletewe mezani kwako?

Siku njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom