Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,331
- 33,141
HahhaaahahahahDuh aisee,mambo Kama haya suruhisho ni katiba mpya tu.
Soma uzi juu utaelewaKwani kilichotokea ni nini?
Nimeuliza nikaoanisha na ulivyoniita sijaelewa.Soma uzi juu utaelewa
Mtu akizikwa mzima, anaweza Vip kufukua kifusi chote cha udongo na kutoka nje tena baada ya siku kadhaa toka azikwe?.Nimeuliza nikaoanisha na ulivyoniita sijaelewa.
Tanzania kuna vurugu nyingi sana hata kujibu kazi.
Watu wanazikwa wazima kwa sababu hospitali hazina vipimo.
Hapo hata wakitoka makaburini utashangaa?
Hicho kituko kilichotokea kimechunguzwa vipi kama si maigizo ya kupangwa tu?
Hivi ile movie ya The key ulishawahi ichekigi?Issue kama hizi ni SPINNING ,hakuna uhalisia.