Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Hivi umeelewa hata ulichohoji kwenye andiko lako mwenyewe? Ndio maana nikahoji logic yako ina matege. Unachowahoji kamati kwa Jerry ndio unachokifanya kwa Gwajima. Kama hujaelewa na hapa nitawaachia wenye uwezo zaidi wa kueleweshaGwajima alisema hadharani kuwa mama Samia amehongwa fedha na mabeberu na kuwa aliigiza kuchoma chanjo. Ushahidi gani ametoa kutetea upotoshaji wake huu?