Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
MICHUZI: UCHAKACHUAJI WAFANYIKA KWA MATREKTA MADOGO WILAYA YA KILOSA
Hii nimetoa kwa Michuzi. Kwa kifupi ni kuwa Halmashauri ya Wilaya Kilosa imepoteza mamilioni ya fedha katika kununua matrekta madogo yasiyokuwa na viwango vya ubora vya kukidhi matumizi!!!
Kuna haja ya kufuatilia hii ishu zaidi, ikiwezekana hata kuipeleka Halmashauri mahakamani kwa ajili ya matumizi mabovu ya PESA ZA UMMA! Kwa kiingereza tunaweza kuita 'negligent expenditure of public funds'. Sidhani kama kuna sheria yeyote inayolinda hizi Halmashauri dhidi ya ubadhirifu wa fedha za Umma kama huu. Kwangu mimi hii ni sawa na WIZI na hivyo tunapaswa kutumia mbinu zote kurudisha mali yetu na kuhakikisha adhabu inatolewa kwa hawa wezi.
Natumaini Mbunge wa sehemu husika naye atachakaruka katika zoezi hili!
Hii nimetoa kwa Michuzi. Kwa kifupi ni kuwa Halmashauri ya Wilaya Kilosa imepoteza mamilioni ya fedha katika kununua matrekta madogo yasiyokuwa na viwango vya ubora vya kukidhi matumizi!!!
Kuna haja ya kufuatilia hii ishu zaidi, ikiwezekana hata kuipeleka Halmashauri mahakamani kwa ajili ya matumizi mabovu ya PESA ZA UMMA! Kwa kiingereza tunaweza kuita 'negligent expenditure of public funds'. Sidhani kama kuna sheria yeyote inayolinda hizi Halmashauri dhidi ya ubadhirifu wa fedha za Umma kama huu. Kwangu mimi hii ni sawa na WIZI na hivyo tunapaswa kutumia mbinu zote kurudisha mali yetu na kuhakikisha adhabu inatolewa kwa hawa wezi.
Natumaini Mbunge wa sehemu husika naye atachakaruka katika zoezi hili!