Uchaguzi wa USA Leo

I started learning English for the first time in 2013,[Before that I could not utter more than ten English words]

I have never been in a formal school even for a single day where I could learn English language as a subject.

Besides it all I have been living in a non-English speaking countries[However partially in TZ].....I am trying harder to master the language before I start learning two or three more Inter'nal languages.

So your guess is completely right and I'm proud of the minor mistake that I make regularly cause it shows me where am I supposed to work on.
Hakuna English Expert hapa......mwagika unavyoweza......tutaelewa hivyo hivyo.......
 
Hakuna English Expert hapa......mwagika unavyoweza......tutaelewa hivyo hivyo.......
Sawa Mkuu nimekuelewa.

Nashangaa TZ mtu akikosea kwenye English anachukuliwa kama mtu aliyetenda makosa ya uhaini.

Hii Lugha inaasumbua hadi wajukuu wa Malkia, nimewahi kumshuhudia mwingereza anakiri kabisa kwamba lugha yao inawasumbua sana! hasa kwenye grammar.Kila kitu nikujifunza na kufanyia mazoezi.
 
Sawa Mkuu nimekuelewa.

Nashangaa TZ mtu akikosea kwenye English anachukuliwa kama mtu aliyetenda makosa ya uhaini.

Hii Lugha inaasumbua hadi wajukuu wa Malkia, nimewahi kumshuhudia mwingereza anakiri kabisa kwamba lugha yao inawasumbua sana! hasa kwenye grammar.Kila kitu nikujifunza na kufanyia mazoezi.
Mara nyingi sisi tunakosa kujiamini......ukikosea inabidi urekebishwe...sasa unakuta wengine ndo wanaona kama kosa gani sijui kuuubwaaaa..........Tutaendelea kujifunza kupitia makosa.....Tuko pamoja ndugu.
 
Msingi mkuu wa Ubaguzi ni kule kujihisi Ubora na kujikweza dhidi ya wanadamu wenzie Sera ya Trump ya ubaguzi imejihidhirisha tuna safari ndefu ya kutokomeza dhana potofu ya ubaguzi wa aina yoyote Duniani ...Ushindi wa bi Clinton utakuwa ni ushindi kwa walimwengu wote wanaopinga dhuluma za kibaguzi za aina yoyote duniani ....ubaguzi ni sera mbovu zaidi dhidi ya mwanadamu wa karne hii
 
4048f55d3320291ba2fbbcc446d14bb4.jpg

I just did my part! The count down starts right now!
 
Back
Top Bottom