babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,288
Nyani ngabu tupe updates au usharudi shinyanga???
Nyani ngabu tupe updates au usharudi shinyanga???
Hakuna English Expert hapa......mwagika unavyoweza......tutaelewa hivyo hivyo.......I started learning English for the first time in 2013,[Before that I could not utter more than ten English words]
I have never been in a formal school even for a single day where I could learn English language as a subject.
Besides it all I have been living in a non-English speaking countries[However partially in TZ].....I am trying harder to master the language before I start learning two or three more Inter'nal languages.
So your guess is completely right and I'm proud of the minor mistake that I make regularly cause it shows me where am I supposed to work on.
Sawa Mkuu nimekuelewa.Hakuna English Expert hapa......mwagika unavyoweza......tutaelewa hivyo hivyo.......
Mara nyingi sisi tunakosa kujiamini......ukikosea inabidi urekebishwe...sasa unakuta wengine ndo wanaona kama kosa gani sijui kuuubwaaaa..........Tutaendelea kujifunza kupitia makosa.....Tuko pamoja ndugu.Sawa Mkuu nimekuelewa.
Nashangaa TZ mtu akikosea kwenye English anachukuliwa kama mtu aliyetenda makosa ya uhaini.
Hii Lugha inaasumbua hadi wajukuu wa Malkia, nimewahi kumshuhudia mwingereza anakiri kabisa kwamba lugha yao inawasumbua sana! hasa kwenye grammar.Kila kitu nikujifunza na kufanyia mazoezi.
I just did my part! The count down starts right now!
Nyani ngabu
USA baby
Tupe matokeo
Nyani atafukuzwa na Trump atatupa matokeo ya uongoMarekani ndo mshindi.
Nyani atafukuzwa na Trump atatupa matokeo ya uongo
Hakuna update yoyote
Unalinda kura??Ujue matokeo hayajaanza kutoka
We ndo unajua hivyoUjue matokeo hayajaanza kutoka
We ndo unajua hivyo
Mbona mi nishapata update
Hillary Clinton kashinda
Tatzo inaoneka uko north pole
Unalinda kura??
Hii ni ya kwangu mwenyewe....habari yako imeanza na
Na: COMRED MBWANA ALLYAMTU
je wewe ndie mwandishi wa makala hii au umekopi sehemu? maana nimesha ona mada kama hii humu humu tangu jana usiku.....
anagombea kupitia CCMUSA anagombea kupitia chama gani?