Uchaguzi wa USA Leo

We tulia ushuhudie historia.

Dunia nzima imesimama na masikio yameelekezwa USA.

USA baby.
Aaah wapi sio kwa dunia ya sasa!! Hapo mpk mtupe matokeo nani kashinda itawachukua almost week! Hakuna tofauti na nyumbani Tanzania!
 
Aaah wapi sio kwa dunia ya sasa!! Hapo mpk mtupe matokeo nani kashinda itawachukua almost week! Hakuna tofauti na nyumbani Tanzania!

By saa tatu usiku saa za ukanda wa mashariki wa Marekani mshindi atakuwa keshajulikana.

You can take that to the bank.
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Leo ndo leo na asiye na mwana aeleke jiwe.

Leo ndo siku pekee ambapo dunia nzima husimama kuzunguka kwenye mhimili wake hadi hapo uchaguzi wa taifa bora kabisa katika historia ya uhai.

Hata wale wanaojifanya kuiponda USA leo wataacha kufanya yao yote na kutega masikio na macho yao kusikilizia na kuona nani atachinjwa na vichinjio vya Wamarekani.

USA ndo dunia na dunia ndo USA. Hilo halina mjadala.

USA baby View attachment 430983 View attachment 430984 View attachment 430985

:D:D haya Nyani
 
Zoezi la upigaji kura nchini Marekani unakamilika leo saa 2 usiku kwa saa za marekani. Tumezoea tanzania mara baada ya zoezi la upigaji kura baadhi ya wagombea huwaambia vijana wao walinde kura. Je Trump nae atawaambia vijana wake walinde kura?
 
Kale kamama sio ka mchezo mchezo kwa rafu, kalimfanyia rafu mshindani wake ndani ya chama. Hofu iliyopo ni kuwa kanaweza fanya kweli na kwenye uchaguzi wenyewe!!!
 
Kando na kumpa rais mpya, wamarekani wanakaribia kuamua ikiwa watapanua eneo kubwa zaidi ambako bangi inakubalika kisheria.
Katika majimbo tisa , katika siku ambayo uchaguzi unafanyika, wapiga kura watapata fursa pia kuwa na kauli yao kuhusu kuidhinishwa kisheria kwa matumizi ya bangi.
Ikiwa watapiga kura ya ndio karibu robo ya wamarekani watakuwa na kibali cha sheria cha kuvuta mmea huo kwa kujifurahisha ama sababu za matibabu watakapotimiza umri unaokubalika kisheria.
Katika kipindi cha miaka 20 suala hili lilikuwa ni mwiko nchini Marekani.
Jimbo la California lenye wakazi karibu milioni 39 itashuhudia mabadiliko hayo Jumanne.
Masanduku ya kupigia kura katikja majimbo matano - Nevada, Arizona, Massachusetts na Maine, pamoja na California - yatajumuisha chaguo la kuwaruhusu watu wenye umri wa miaka 21 kutumia dawa hiyo ya kulevya kujifurahisha.
Wabunge wataka bangi ihalalishwe Uingereza
Wapiga kura katika majimbo mengine manne - Florida, Montana, North Dakota na Arkansas - watapiga kura kuruhusu wagonjwa kupata bangi kwa sababu za kimatibabu ama kupanua zaidi kanuni za sheria ya sasa juu ya kuhalalisha kisheria mmea huo kwa sababu za tiba.
Nchini Marekani majimbo 25 tayari yameidhinisha kisheria matumizi ya marijuana kwa sababu za kimatibabu , huku mengine manne yakiidhinisha muhadarati huo kwa matumizi ya kujifurahisha : Washington, Oregon, Colorado and Alaska, pamoja na mji mkuu wa Marekani Washington DC.
Mabadiliko ya sheria yanaonekana kufanikiwa, kwa mujibu wa kura za maoni, na yatawabadilisha wakazi wa maeneo ya mwambao wa magharibi mwa Marekani, kuanzia New Mexico hadi jimbo la Washington na Alaska, kuwa waraibu wa uvutaji wa bangi.
Walau bangi inaweza kuwasaidia kupunguza maumivu yao, ikiwa hawatapata rais wampendao.

chanzo BBC
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Leo ndo leo na asiye na mwana aeleke jiwe.

Leo ndo siku pekee ambapo dunia nzima husimama kuzunguka kwenye mhimili wake hadi hapo uchaguzi wa taifa bora kabisa katika historia ya uhai.

Hata wale wanaojifanya kuiponda USA leo wataacha kufanya yao yote na kutega masikio na macho yao kusikilizia na kuona nani atachinjwa na vichinjio vya Wamarekani.

USA ndo dunia na dunia ndo USA. Hilo halina mjadala.

USA baby View attachment 430983 View attachment 430984 View attachment 430985
who care?

Bora ungesema ni siku ya kutangazwa Matokeo kidogo wanaofuatilia Siasa za Nje wangekuelewa... Hujaacha kuongea Pumba bado?

Familia yangu hata hawaelewi kama kuna kitu kinaitwa uchaguzi Marekani zaidi ya kujua Marekani wana Katiba yao na inafuatwa kwa asilimia Nyingi chama chochote kikishinda sera zao za nchi ni zile zile tu na umoja wao unaendelea kubakia kama Kawa... Nchi Kwanza
 
Cheichei JF

Tabiria ni yupi kati ya miamba hawa wawili anaenda kuwa rais mpya wa USA mwaka huu 2016.
 
who care?

Bora ungesema ni siku ya kutangazwa Matokeo kidogo wanaofuatilia Siasa za Nje wangekuelewa... Hujaacha kuongea Pumba bado?

Familia yangu hata hawaelewi kama kuna kitu kinaitwa uchaguzi Marekani zaidi ya kujua Marekani wana Katiba yao na inafuatwa kwa asilimia Nyingi chama chochote kikishinda sera zao za nchi ni zile zile tu na umoja wao unaendelea kubakia kama Kawa... Nchi Kwanza

We mwenyewe uko hapa kwenye thread ya uchaguzi wa USA....

FOH
 
Back
Top Bottom