Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Hatimaye ccm wamempitisha Musa Kingu kupeperusha bendera yao katika uchaguzi mdogo wa kata ya mtibwa baada ya diwani wa kata hiyo kutoka cdm kufariki dunia. Walioangushwa ni pamoja na Salumu Mayanga, Majaliwa, Mkwachu,Richard Sangan.k Nawatakia kila heri kupambana na makamanda wa M4C,mtapigwa kwa mara ya pili!!!!!!!!!!!!!!