wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Mbona hii ni nzuri sana maana wabunge wengi wa CCM hawakupita kwa ridhaa ya wananchi kwahiyo dawa ni kuendelea kuwashtaki kwa wananchi, maana wa TZ sasa wameshaamka na kazi ni moja kuwafanya kama Masha, Dialo, Mrema AR/Batilda, Luhaula, Mramba, Marmo, etc. wasipofanya kazi hadi 2015 hawatoki kabisa.
Swala sahizi ni kuelimisha waTZ waelewe hata kama mtu ni msafi namna gani akishaingia CCM anakuwa Fisadi.
Peoples power
HAYA MAMBO YA :deadhorse: MWISHO WAKE UNAKUJA!!