Uchaguzi wa Igunga haukuwa huru na wa haki! - Freeman Mbowe

Jana usiku katika kipindi cha "CHANNEL TEN ON MONDAY" nilimsikiliza Mhe. Mbowe akijibu maswali ya jinsi gani walivyopokea matokeo ya Igunga na haya yalikuwa miongoni mwa majibu yake.
Hawakubaliani na matokeo kwa sababu ya kasoro kadha wa kadha kama ifuatavyo:
Tume ya uchaguzi siyo huru
CCM waliwarubuni wananchi kwa kugawa vyakula na maji kwa madai kwamba ni serikali inatekeleza kazi zake
Baadhi ya watu walizuiwa kupiga kura kwa vile hawakua na shahada za kura
Vyombo vya dola hususani Polisi na TAKUKURU hawakuwasiliza walipotoa malalamiko yao
CCM walitoa rushwa kwa kugawa pesa hazarani.
Hebu Mhe. MBOWE tupatie majibu ya Maswali haya ili tukubaliane na madai yako kabala na wewe hatujakuweka kwenye kundi la siasa za uchwara:
madai ya tume kutokuwa huru huja baada kushindwa tu au hata pale mnaposhinda?
Kama vijana wako waliweza kumshambulia Kiongozi wa Serikali (DC) , walishindwa nini kuwadhibiti wana CCM waliokuwa wakigawa pesa , vyakula na maji tena hadharani huku wakijua wanatenda kosa?
Barua mlizowaandikia TAKUKURU, na Polisi kuwaeleza ukiukwaji wa sheria za uchaguzi ziko wapi? mbona cdm tunawaamini kwa uwasilishaji wa document?
CDM mlikiri wenyewe kuwa mliingiza vijana zaidi ya 2000 IGUNGA kulinda kura, je mlitaka tume ya uchaguzi iruhusu watu kupiga kura ili vijana hao wapige kura?
usikurupuke
vaa vizuri hata kama umefumaniwa
 
Naona wewe ndo Mama Mbowe mdogo , haya endelea kujibu maswali yanayomhusu, ehe leo atatoka na nani ww au bi-mkubwa?

kwa kuwa hujakanusha kuwa mume wa aliyengonoka na mwigulu kuwa muungwana, waeleze wanajamvi kamimba ka mkeo kalikochomoka utamfungulia kesi mwigulu?
 
Chadema wana vituko sana!
Nikisikia ndugu yangu anajiunga na wahuni wa CDM namtenga kabisa.
 
toka lini CDM akawekeza kwa Diwani?????????

Mnaanza kuruka eeeeeeeeeeee, wale viongozi wenu wakina Mbowe, Zitto, Lissu nk ambao walikuwa wanawapigia chepuo wagombea wenu wa udiwani walikuwa wanafanya kazi yao binafsi ? au ww kuwekeza unakufikiriaje ?
 
we ndo una tope kichwan!be contingent kjana
ukweli unauma hakuna nani asiyejua hujuma zenu za kugawa mahindi wakati wa kampeni, tena hii ndiyo rushwa kubwa zaidi kuliko hata ile ya kununua vipande vya kupigia kura wa buku kumi kumi - shame.
 
Jana usiku katika kipindi cha "CHANNEL TEN ON MONDAY" nilimsikiliza Mhe. Mbowe akijibu maswali ya jinsi gani walivyopokea matokeo ya Igunga na haya yalikuwa miongoni mwa majibu yake.
Hawakubaliani na matokeo kwa sababu ya kasoro kadha wa kadha kama ifuatavyo:
Tume ya uchaguzi siyo huru
CCM waliwarubuni wananchi kwa kugawa vyakula na maji kwa madai kwamba ni serikali inatekeleza kazi zake
Baadhi ya watu walizuiwa kupiga kura kwa vile hawakua na shahada za kura
Vyombo vya dola hususani Polisi na TAKUKURU hawakuwasiliza walipotoa malalamiko yao
CCM walitoa rushwa kwa kugawa pesa hazarani.
Hebu Mhe. MBOWE tupatie majibu ya Maswali haya ili tukubaliane na madai yako kabala na wewe hatujakuweka kwenye kundi la siasa za uchwara:
madai ya tume kutokuwa huru huja baada kushindwa tu au hata pale mnaposhinda?
Kama vijana wako waliweza kumshambulia Kiongozi wa Serikali (DC) , walishindwa nini kuwadhibiti wana CCM waliokuwa wakigawa pesa , vyakula na maji tena hadharani huku wakijua wanatenda kosa?
Barua mlizowaandikia TAKUKURU, na Polisi kuwaeleza ukiukwaji wa sheria za uchaguzi ziko wapi? mbona cdm tunawaamini kwa uwasilishaji wa document?
CDM mlikiri wenyewe kuwa mliingiza vijana zaidi ya 2000 IGUNGA kulinda kura, je mlitaka tume ya uchaguzi iruhusu watu kupiga kura ili vijana hao wapige kura?

Mbona dogo Ccm inakuharibu?umepewa pesa kiasi gani?Kwani unauliza maswali ambayo mhusika hawezi kukujibu.Vipi unakuwa kama Nape?Umeropokaaaaa sijaona swali hata moja.
 

Sababu hazina mashiko jamaa ameanza kujitetea ili wasimfukuze kwani chama kimekosa mvuto. Kwenye matokeo ya udiwani wa viti 22, CCM wamepata 17 , CDM 5 tu. Na ccm wameshinda udiwani kwenye ngome za CDM kama Rorya, Tarime na Moshi. Hapo utaanza kujua jamaa umaarufu kwishnei

kumbe magamba mnaangalia umaarufu? Wenzenu tunaumia na "system" huku mtaani, umeme hakuna, mikopo ya chuo utata, mafao ya wazee utata, bado hatujazungumzia suala la kuchangia deni la dowans, elimu mbovu, WEWE UNAZUNGUMZIA UMAARUFU? KENGE MKUBWA WEWE,
 
Jana usiku katika kipindi cha "CHANNEL TEN ON MONDAY" nilimsikiliza Mhe. Mbowe akijibu maswali ya jinsi gani walivyopokea matokeo ya Igunga na haya yalikuwa miongoni mwa majibu yake.
Hawakubaliani na matokeo kwa sababu ya kasoro kadha wa kadha kama ifuatavyo:
Tume ya uchaguzi siyo huru
CCM waliwarubuni wananchi kwa kugawa vyakula na maji kwa madai kwamba ni serikali inatekeleza kazi zake
Baadhi ya watu walizuiwa kupiga kura kwa vile hawakua na shahada za kura
Vyombo vya dola hususani Polisi na TAKUKURU hawakuwasiliza walipotoa malalamiko yao
CCM walitoa rushwa kwa kugawa pesa hazarani.
Hebu Mhe. MBOWE tupatie majibu ya Maswali haya ili tukubaliane na madai yako kabala na wewe hatujakuweka kwenye kundi la siasa za uchwara:
madai ya tume kutokuwa huru huja baada kushindwa tu au hata pale mnaposhinda?
Kama vijana wako waliweza kumshambulia Kiongozi wa Serikali (DC) , walishindwa nini kuwadhibiti wana CCM waliokuwa wakigawa pesa , vyakula na maji tena hadharani huku wakijua wanatenda kosa?
Barua mlizowaandikia TAKUKURU, na Polisi kuwaeleza ukiukwaji wa sheria za uchaguzi ziko wapi? mbona cdm tunawaamini kwa uwasilishaji wa document?
CDM mlikiri wenyewe kuwa mliingiza vijana zaidi ya 2000 IGUNGA kulinda kura, je mlitaka tume ya uchaguzi iruhusu watu kupiga kura ili vijana hao wapige kura?
Kiukweli mbowe is too late now kusema hayo.Heri kujipanga kwa chaguzi zijazo
 
ndio uwezo wa magamba kufikiri na kupumbanua mambo unapoishia,bogas kabisa.
Sina sifa ya kuitwa gamba labda mtu mwenye U-CDM na U-CCM. Watanzania wachache wenye utanzania, uafrika na ubinadamu tupo, endeleeni na U-CDM, U-CCM na U-CUF wenu lakini siku ya siku muelewe kuwa Tanzania itabaki kuwa ya Watanzania na si ya MTEI, LOWASA, MBOWE, SLAAA, NDESAMBURO. tunataka tanzania ya Januari Makamba, Zitto Kabwe, John Mnyika, Olesendeka, Maghufuli, Magdalena Sakaya na Moses Machali.
 
Mbowe mzugaji tu hana jipya; leo hii ndiyo anajua tume ya uchaguzi sio huru? Mahakama ipi atakayokwenda? Vyombo vya sheria vimegeuka kuwa mawakala wa CCM yote hayo unayajua! Hizo ruzuku ipo siku zitawatokea puani

Chama
Gongo la Mboto DSM.
 
Je unaweza kujibishana na kichaa?

Kama diwani anakutwa na masanduku ya kura, mgambo anakamatwa akitoa rushwa na anadhibitisha ametumwa na viongozi wa magamba, gari inakamatwa ikiwa na rushwa na takukuru pamoja na polisi wanapata taarifa na bado uchaguzi unaendelea je hapo kuna haki? Maana nadhani polisi walitakiwa kufanya jambo moja au mawili -:

Kusimamisha uchaguzi au kumuondoa mgombea wa chama kinachotuhumiwa kwa kutoa rushwa. MANENO YA HAYATI BABA WA TAIFA( MTOA RUSHWA NA MPOKEAJI WOTE WAPELEKWE....) je mtoaji ni nani kama sio magwanda?

Na je mgombea wa ubunge kwa tiketi ya magwanda hajashirikishwa? Yeye pia ni mtuhumiwa wa rushwa kama la angekataa kugombea na angetamka hadharani kuwa amekataa sababu chama kimeamua watoe rushwa
 
kwa kuwa hujakanusha kuwa mume wa aliyengonoka na mwigulu kuwa muungwana, waeleze wanajamvi kamimba ka mkeo kalikochomoka utamfungulia kesi mwigulu?
Ina maana kupewa mimba jana na Mhe. tayari uchungu umeanza, ama kweli na wewe utajifungua mheshimiwa, hongera
 
Thats just silly! Kama hawaendi mahakama kupinga matokeo kwa sababu uchaguzi haukuwa huru na wa haki wanaenda mahakamani kufanya nini? Kwa kutopinga matokeo Mahakamani kunatuambiua kuwa wamekubali kuwa ni matokeo halali na ya haki. Kama kulikuwa na uvunjwaji mkubwa wa haki huko Igunga njia pekee ya kudai haki ni mahakamani. Sasa unaweza vipi kusema "uchaguzi haukuwa huru na wa haki" halafu ukakataa kupinga matokeo yake mahakamani? Unless you really don't believe what you are claiming au hauna ushahidi wa kuweza kuusimamisha mahakamani.
Nafikiri alichokomiongelea Mh Mbowe ni kikubwa zaidi,kwa mantiki. Yaani hata hilo la kubatilisha matokeo linaangukia humo.
 
Je unaweza kujibishana na kichaa?

Kama diwani anakutwa na masanduku ya kura, mgambo anakamatwa akitoa rushwa na anadhibitisha ametumwa na viongozi wa magamba, gari inakamatwa ikiwa na rushwa na takukuru pamoja na polisi wanapata taarifa na bado uchaguzi unaendelea je hapo kuna haki? Maana nadhani polisi walitakiwa kufanya jambo moja au mawili -:

Kusimamisha uchaguzi au kumuondoa mgombea wa chama kinachotuhumiwa kwa kutoa rushwa. MANENO YA HAYATI BABA WA TAIFA( MTOA RUSHWA NA MPOKEAJI WOTE WAPELEKWE....) je mtoaji ni nani kama sio magwanda?

Na je mgombea wa ubunge kwa tiketi ya magwanda hajashirikishwa? Yeye pia ni mtuhumiwa wa rushwa kama la angekataa kugombea na angetamka hadharani kuwa amekataa sababu chama kimeamua watoe rushwa

Wewe umeruhusiwaje kuji-register kwa great thinker?

Yaani polisi ndo wasimamishe uchaguzi au kumuondoa mgombea? Hivi wewe ule mwaka uliiba mtihani wa kumaliza kidato cha nne , polisi ndo alitangaza mitihani isiendelee nchini? ni baraza la mitihani kwa kushirikiana na wizara ya elimu. Pole lakni nadhani baada ya wizi ule wa mitihani hukwenda tena shuleni na ndo maana hujui hata mwenye mamlaka ya kuzuia uchaguzi usiendelee
 
Mwita mzima? Mi ndo nimetoka igunga leo, njoo uchukue asali mwaya na mafuta.

Ahsante mamuu kwa kuniletea zawadi toka igunga. Ndio maana uliadimika ghafla kumbe ulikwenda igunga kimya kimya.

Karibu tena daslam, bila shaka utakuwa umejifunza huko namna ya kudhibiti uchakachuaji.
 
Back
Top Bottom